WAZIRI MKUU AONGOZA MAZIKO YA MAREHEMU LAWRENCE MAFURU

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Novemba 15, 2024 ameungana na ndugu, jamaa, marafiki na viongozi wengine wa Serikali katika mazishi ya aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Tume ya Mipango, Marehemu Lawrence Nyasebwa Mafuru. Maziko hayo yamefanyika katika Makaburi ya Kondo, Ununio jijini Dar es Salaam. Marehemu Mafuru alifariki Novemba 09, 2024 katika Hospitali ya Apollo nchini…

Read More

Plankton, hali ya hewa, na mbio za kuelewa bahari yetu inayobadilika – maswala ya ulimwengu

Asubuhi iliyochomwa na jua kutoka pwani ya Villefranche-sur-mer, The Sagitta III Kupunguza kupitia maji ya cobalt ya Bahari ya Mediterania, zamani za marinas tulivu na matuta ya pine-pine ya Côte d’Azur ya Ufaransa. Chombo cha kisayansi cha futi 40-kilichopewa jina la zooplankton ya kutisha na taya zilizo na ndoano-huteleza kuelekea buoy ya manjano ya upweke….

Read More

Wakosa makazi nyumba zao zikibomolewa Kibaha

Kibaha. Zaidi ya wananchi 100 katika Kata ya Pangani Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani ,wamekosa makazi baada ya nyumba zao kubomolewa na tingatinga leo Mei 31, 2024. Wakati wananchi hao wakisema hawakupewa taarifa ya ubomoaji huo, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha, Fokas Bundara amesema ni wavamizi na kwamba walipewa…

Read More

Viongozi wa dini watakiwa kusimamia ukweli, kutokuwa waoga

Dar es Salaam. Viongozi wa dini nchini wamehimizwa kusema ukweli kuhusu mambo yanayotokea katika jamii kwa kuwa wao wanaaminiwa na Watanzania, hivyo wasiogope kutishwa. Hayo yamebainishwa na wadau mbalimbali kwenye mkutano wa Jukwaa la Dini Mbalimbali uliofanyika jana Novemba 7, 2024 jijini Dar es Salaam ukiwakutanisha viongozi wa dini, wanazuoni na asasi za kiraia. Jukwaa…

Read More

Tanesco yataja sababu mikoa kadhaa kukosa umeme

Dar es Salaam. Mikoa inayopata huduma ya umeme katika gridi ya Taifa imekosa umeme kutokana na hitilafu iliyojitozea. Hayo yamebainishwa na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kutokana na hitilafu iliyojitokeza katika mfumo wa gridi ya Taifa leo asubuhi ya Desemba 4, 2024. “Tunautaarifu umma kuhusu hitilafu iliyojitokeza katika mfumo wa Gridi ya Taifa leo Disemba…

Read More

Kesi ya ukahaba yaibua mapya, hakimu kuwashtaki waendesha mashtaka

Dar es Salaam. Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Sokoine Drive, Dar es Salaam, Lugano-Rachae Kasebele amewashtaki Mahakama Kuu, waendesha mashtaka katika kesi ya ukahaba inayowakabili washtakiwa watano, baada ya kuidharau mahakama hiyo kwa kushindwa kutekeleza amri alizotoa kwao. Hakimu Kasebele amefikia hatua hiyo baada ya amri mbili alizotoa Julai 8,2024 dhidi ya upande wa…

Read More

Waamuzi 17 Tanzania wapata beji za FIFA 2026

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa orodha ya waamuzi 17 waliopata beji za Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA) kwa mwaka 2026. Katika orodha hiyo, kuna waamuzi wa kati sita wanaocheza mpira wa miguu ambao ni Ahmed Arajiga, Nasir Salum Siyah, Ramadhan Omary Kayoko, Hery Ally Sasii, Tatu Nuru Malogo na…

Read More

Serikali Yasisitiza Uhifadhi wa Ziwa Tanganyika

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis ametoa wito kwa Nchi Wanachama wa Ziwa Tanganyika kuendelea kulinda ziwa hili ili lisaidie katika shughuli za kijamii. Ametoa witi huo wakati akiwasilisha taarifa wakati wa Mkutano wa Tatu wa Mawaziri wa Nchi za Ziwa Tanganyika zinazoundwa na Tanzania, Zambia, Burundi…

Read More