Kamwe amjibu Fadlu, awataja Pacome, Nzengeli

Ulisikia kocha wa Simba, Fadlu Davids akidai kwamba kikosi chake kinakosa mchezaji mwenye uwezo mkubwa wa kuamua mechi akitumia neno X- factor? Basi Yanga imemjibu. Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe amemjibu Fadlu kiaina akisema timu yao wala haina shida na wachezaji wenye ubora huo. Kamwe amesema Yanga ina wachezaji wengi wenye…

Read More

Ninja nje hadi dirisha dogo

BEKI wa kati Abdallah Shaibu ‘Ninja’ licha ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Transit Camp inayojiandaa kushiriki Ligi ya Championship, huenda asionekane uwanjani hadi utakapofika usajili wa dirisha dogo. Baada ya usajili huo, Mwanaspoti lilimtafuta Ninja kuhusu mipango yake ya Ligi ya Championship na alisema amefurahi kujiunga na timu hiyo, lakini hataanza msimu hadi…

Read More

‘Rijali’ hashindi mitandaoni kutoa mipasho

Zamani, sifa kuu ya mwanaume rijali ilikuwa ni busara, utulivu, na uwezo wa kumeza maneno hata pale anapokwazwa. Mwanaume alionekana kama mwamba; mtu asiyeyumbishwa na maneno ya shombo au majungu. Lakini katika ulimwengu wa sasa wa mitandao ya kijamii, picha hiyo inaanza kufutika kwa kasi ya ajabu. Leo hii, si ajabu kukuta mwanaume mzima, mwenye…

Read More

Wakulima kurahisishiwa upatikanaji wa mbegu bora

Dar es Salaam. Tanzania imelenga kuongeza tija ya uzalishaji wa kilimo katika mazao 13 ya kimkakati baada ya kusainiwa kwa makubaliano yanayolenga kuhakikisha wakulima wote walio katika vyama vya ushirika wanapatiwa mbegu bora na zenye tija kwa wakati. Mkataba huo wa makubaliano wa miaka mitano uliosainiwa kati ya Shirikisho la Vyama Vya Ushirika Tanzania (TFC)…

Read More

Folz ashindwe mwenyewe Yanga | Mwanaspoti

VIONGOZI wa Yanga wamefanya kila kitu kuhakikisha timu hiyo inaendelea kuwa na kikosi kizuri chenye uwezo wa kutetea mataji iliyobeba msimu uliopita ikiwamo Ligi Kuu Bara. Yanga ikiwa ndiyo klabu yenye mafanikio zaidi katika Ligi Kuu Bara ikichukua taji hilo mara 31, inaingia msimu huu ikiwa na deni la kutetea ubingwa wake. Katika kutetea ubingwa…

Read More

Ngecha apigiwa hesabu Dodoma | Mwanaspoti

UONGOZI wa Dodoma Jiji uko katika mazungumzo kumrejesha beki wake wa kati wa zamani, Ibrahim Ngecha baada ya Vedastus Masinde wa TMA ya Arusha aliyehitajika mwanzoni kudaiwa anakaribia kujiunga na kikosi cha Simba. Masinde ni miongoni mwa mabeki waliohitajika na timu mbalimbali zikiwemo Singida Black na Dodoma Jiji, lakini inaelezwa yupo hatua za mwisho kwenda…

Read More