Machupa: Simba ya 1999 inaweza kujirudia

WAKATI Simba ikikosa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa tatu mfululizo, mshambuliaji wa zamani wa Simba, Athuman Machupa ameitaka usajili ujao kuongeza nguvu eneo la ushambuliaji, kiungo na beki wa kati kwa kutafuta wachezaji bora watakaoisaidia kubeba ubingwa. Machupa ambaye amestaafu soka la ushindani, amesema kati ya mwaka 1999 hadi 2007 Simba ilisuka…

Read More

Pochettino anukia ukocha Marekani | Mwanaspoti

NEW YORK, MAREKANI: MAURICIO Pochettino ameripotiwa kujitokeza kama mtu anayepewa nafasi kubwa ya kupewa kiti cha ukocha wa timu ya taifa ya soka ya Marekani baada ya kutimuliwa kwa Gregg Berhalter. Berhalter alifutwa kazi baada ya matokeo mabovu ya kikosi cha Marekani kwenye michuano ya Copa America 2024 ambako walitolewa katika hatua ya makundi. Katika…

Read More

Chaumma kubinafsisha sekta ya maji ikishika dola

Dodoma. Mgombea mwenza Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amesema tatizo la maji nchini litakomeshwa chini ya Serikali ya chama hicho kwa sekta hiyo kubinafsishwa. Amesema ubinafsishaji ni sehemu ya kuondoa kero ya maji ambayo kwa muda mrefu Serikali chini ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imeshindwa kuwapatia huduma ya uhakika Watanzania. Mgombea mwenza…

Read More

Mtoto wa miaka mitatu adaiwa kuuawa kwa kipigo Kahama

Shinyanga. Mtoto Sofia Ndoni (3) amefariki dunia kwa madai ya kushambuliwa kwa kipigo sehemu mbalimbali za mwili wake na kisha kukabwa shingo na bibi yake Christina Kishiwa aliyekuwa akiishi naye Mtaa wa Nyakato, Kata ya Nyasubi Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga. Mtoto Sofia enzi za uhai wake alikuwa akiishi na mtuhumiwa ambaye ni mama mdogo…

Read More

AG, IGP kujitetea kesi ya waumini Kanisa la Gwajima

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma imetoa siku 10 kwa wajibu maombi kuwasilisha utetezi wa maandishi katika shauri la Kikatiba lililofunguliwa na baadhi ya waumini wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church. Shauri hilo la maombi mchanganyiko namba 16408 limefunguliwa na Dinali Mbaga na wenzake 51 dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali…

Read More