MZUMBE NA UNDP WASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO
Mwakilishi Mkazi wa UNDP nchini Bw. Shigeki Komatsubara (kushoto) akisalimiana na Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. Allen Mushi (kulia) baada ya kuwasili Chuo Kikuu Mzumbe kwa ajili ya Hafla ya utiaji saini wa Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano kati ya Chuo Kikuu Mzumbe na UNDP Mwakilishi Mkazi wa UNDP nchini Bw. Shigeki…