Saumu Mwalimu atoa ahadi kwa wachimbaji akiomba kura

Katoro. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi mageuzi makubwa katika sekta ya madini kwa kuwalinda wachimbaji wadogo, hasa vijana, dhidi ya kile alichokiita ni unyanyasaji wa kuondolewa katika maeneo yenye rasilimali kama atachaguliwa. Amesema wimbi la unyanyasaji kwa wachimbaji hao limezidi, wanafukuzwa kwa nguvu na kunyimwa haki…

Read More

STARTIMES WAMESHUSHA TENA BURUDANI KWA WATEJA WAO.

KUELEKEA Msimu wa Sikukuu za Eid na pasaka Kampuni ya Startimes imezindua rasmi Kampeni ya “Lipa tukubusti” itakayodumu mwezi mmoja tu ili kuwaweka karibu watazamaji wake kiburudani na kimichezo 100% kipindi hiki cha Sikukuu. Akizungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam, Meneja Masoko wa Kampuni ya Startimes David Malisa amesema msimu huu wa Sikukuu familia…

Read More

Mke wa Kiongozi Mkuu wa Zamani wa Iran Auawa Nyumbani Kwake

Global Publishers March 2, 2026 0 Comments Kituo cha televisheni ya taifa ya Iran, Channel Two, kimethibitisha kuwa Mansoureh Khojasteh Bagherzadeh, mke wa Kiongozi Mkuu wa zamani wa Iran Ali Khamenei, ameuawa nyumbani kwake. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Bagherzadeh aliuawa katika mazingira ambayo bado hayajawekwa wazi kwa kina na mamlaka za Iran. Awali, magazeti…

Read More

Simba hiyooo, sasa kuivaa Nsingizini Hotspurs

SIMBA imefuzu raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya jioni ya leo kulazimishwa sare ya 1-1 na Gaborone United ya Botswana, lakini imepenya kwa ushindi wa jumla wa mabao 2-1. Kufuzu kwa Simba kumetokana na ushindi wa bao 1-0 ilioupata ugenini wiki iliyopita ambao kwa matokeo ya mechi ya leo iliyopigwa Kwa…

Read More

TANZANIA YATAKIWA KUWEKA VIWANGO VYA UBORA WA HUDUMA ZA RADIOLOJIA KWA KIWANGO CHA KIMATAIFA

………….. Wataalamu wa huduma za mionzi tiba na uchunguzi kutoka Taasisi za dini, Hospitali ya Taifa, Kanda, Maalum pamoja na zile binafsi wametakiwa kuhakikisha wanaweka na kuzingatia viwango vya ubora wa huduma vinavyokubalika kimataifa ili kuongeza tija na ufanisi katika utoaji wa huduma hizo. Wito huo umetolewa na Mratibu wa Huduma za Radiografia kutoka Wizara…

Read More