Zambia kuendelea kushirikiana na Tanzania kiuchukuzi

Dar es Salaam. Zambia imesema itaendelea kuwa mdau muhimu wa sekta ya usafiri na uchukuzi nchini Tanzania, ikibainisha kuwa  ushirikiano kati ya nchi hizo mbili umeleta matokeo chanya kiuchumi kwa wananchi wake na katika ukanda wa kusini mwa Afrika. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi ya Zambia, Fredrick Mwalusaka wakati wa uzinduzi…

Read More

Akutwa amefariki dunia ndani ya nyumba yake

Arusha. Harufu kali mithili ya mzoga wa mnyama iliyotoka ndani ya nyumba ya John Lema (57), mkazi wa Mtaa wa Sokoni II jijini Arusha, imesaidia jamii inayozunguka nyumba yake kufichua kifo chake ambacho chanzo chake bado hakijajulikana. Inasadikika Lema amekufa siku nne zilizopita akiwa ndani ya nyumba yake ambayo anaishi peke yake, hivyo mwili wake…

Read More

Twange atoa maagizo mradi wa umeme Tanzania – Zambia

‎Iringa. Mradi wa kimkakati wa Tanzania- Zambia (Taza) unaolenga kuunganisha nchi hizo mbili kupitia njia ya kusafirisha umeme kutoka Iringa hadi Sumbawanga umefikia asilimia 60 upande wa njia ya kusafirisha umeme Aidha, kwa vituo vya kupoza vimefikia asilimia 31 ya utekelezaji wa mradi huo wenye thamani ya Sh2 trilioni. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme…

Read More

Sababu Udart kusitisha ‘mwendokasi’ Kibaha

Dar es Salaam. Uhaba wa mabasi unatajwa na Kampuni ya Uendeshaji Mabasi Yaendayo Haraka (Udart), kuwa sababu za kusitisha huduma ya usafiri huo kwenda Kibaha, mkoani Pwani. Mradi wa mabasi hayo ulianza kufanya kazi rasmi Mei 2016 katika Barabara ya Morogoro ukiwa na mabasi 210, huku mahitaji yakiwa ni mabasi 305. Akizungumza leo Jumamosi Septemba…

Read More

ASILIMIA 70 YA WAPIGA KURA WAKO TAYARI KUMCHAGUA DKT. SAMIA.

:::::: Kada wa Chama cha Mapinduzi na Mkurugenzi wa Msama Promotion Ndugu Alex Msama amesema kuwa kwa takwimu zilizopo, Mgombea Urais kupitia CCM Dkt Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi wa kesho kwa kishindo kikubwa. Msama amesema hayo kutokanana na takwimu zilizotolewa jana na Katibu Mwenezi wa Chama hicho Ndugu. Kenani Kihongosi kuwa Watanzania Milioni 25…

Read More

Coastal Union, JKT Tanzania mechi ya nafasi

BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 ilioupata Coastal Union dhidi ya Kagera ugenini, leo Mei 25 itakuwa katika Uwanja wa CCM Mkwakwani mjini Tanga kuikaribisha JKT Tanzania. JKT Tanzania Mchezo huo utakaozikutanisha timu hizo ikiwa ni mzunguko wa pili baada ya awali Coastal kuondoka na pointi tatu dhidi ya wanajeshi wa JKT. Coastal ipo nafasi…

Read More

Mil.600 zatengwa kupeleka umeme Kijiji cha Ijinga – Magu

  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewahakikishia wananchi wa Kijiji cha Ijinga kilichopo kwenye kisiwani katika kata ya Kahangara Wilayani Magu mkoani Mwanza kuwa watafikishiwa umeme hivi karibuni baada ya Serikali kutenga kiasi cha Sh milioni 600 zitakazotumika kupeleka umeme wa jua (solar). Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza … (endelea). Amesema…

Read More