Asia Masimba anayewaongoza wanawake 400 wachimbaji madini

Geita. Ujasiri na uthubutu wa Asia Masimba ni simulizi ya kuvunja miiko iliyodumu kwa miongo kadhaa katika sekta ya madini mkoani Geita. Katika mazingira ambayo wanawake walionekana kuwa mkosi machimboni, Asia alithubutu kuingia duarani, akakubali kutukanwa, kufukuzwa na hata kucharazwa viboko, lakini hakurudi nyuma. Kwa miaka mitano mfululizo alipambana na imani potofu zilizotamalaki katika jamii…

Read More

Mkongwe agusia bato jipya Simba

UWEPO wa Moussa Camara kama kipa namba moja ndani ya Simba unaelezwa ni changamoto kubwa anayokwenda kukabiliana nayo, kipa mpya wa kikosi hicho, Yakoub Suleiman aliyetua hivi karibuni akitokea kwa maafande wa JKT Tanzania. Yakoub ambaye ni kipa namba moja wa timu ya taifa, Taifa Stars kwa sasa, ametua Msimbazi sambamba na beki wa kati,…

Read More

Achana Na ‘Siwezi Kuishi Bila Yeye’, Kuna Maisha Bila Yeye! – Global Publishers

HAKUNA shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri ya anayependa! Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi…

Read More

Hawa ndio wapinzani wa ‘mnyama’ Simba Day

KATIKA kuhitimisha maandalizi ya msimu mpya, Simba itashuka dimbani leo, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuwakabili mabingwa wa kihistoria wa Kenya, Gor Mahia katika tamasha la Simba Day. Mechi hiyo ya haitakuwa tu fursa kwa mashabiki wa Wekundu wa Msimbazi kuwaona wachezaji wapya, bali ni kipimo cha kikosi hicho kabla ya mechi ya Ngao ya…

Read More

Samia kunadi sera Makunduchi  | Mwananchi

Unguja. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan kesho atafanya mkutano wa kwanza wa kampeni kisiwani Unguja, Zanzibar. Samia ambaye ameteuliwa kupeperusha bendera ya CCM kwenye nafasi hiyo akiwa mwanamke wa kwanza, ataomba kura kwenye ardhi ya Zanzibar ambako ndipo lilipo chimbuko lake. Taarifa…

Read More

Aliyemuua baba yake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama Kuu, Masijala Ndogo ya Bukoba, imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Victor Alex baada ya kumkuta na hatia ya kumuua baba yake mzazi, Alex Marcel, kwa kumkata kwa panga. Mauaji hayo yalitokea Aprili 29, 2024 katika Kitongoji cha Rwamashanga, Kijiji cha Ruzinga, wilayani Karagwe, mkoani Kagera. Hukumu hiyo ilitolewa Machi 18, 2026 na…

Read More

Auawa akitoka msikitini, familia yataka uchunguzi

Tanga.  Tukio la mauaji ya kikatili ya Swalehe Shekanga (60), mkazi wa kijiji cha Mawei, kata ya Soni wilayani Lushoto, limeacha majonzi na hofu kubwa miongoni mwa wakazi baada ya kuuawa na watu wasiojulikana. Shekanga aliuawa kwa kukatwa sehemu mbalimbali za mwili wake akitokea msikitini Machi 21, 2026, na mwili wake kukutwa Machi 22, ukiwa…

Read More

WANAWAKE 10,000 WANUFAIKA NA MRADI WA KUJENGA UWEZO KIUCHUMI

Wanawake wajasiriamali kutoka mikoa mbalimbali nchini wamejengewa uwezo kupitia mradi wa Women Creating Wealth (WCW) unaotekelezwa na Shirika la Graca Machel Trust, ukiwa na lengo la kuwawezesha kujikwamua kiuchumi na kukuza mitaji yao ya kibiashara. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam katika mahafali ya wahitimu wa mradi huo, Mratibu wa Women Creating Wealth (WCW), Angaja…

Read More