Sowah abanwa, hatarini kufungiwa | Mwanaspoti

SIMBA kwa sasa inaugulia maumivu ya kipigo kutoka kwa Azam FC, lakini wakati wowote huenda maumivu  yanaweza kuongezeka kupitia mshambuliaji wake, Jonathan Sowah. Iko hivi. Wakati Simba inacheza dhidi ya Azam Desemba 7, 2025 na kukubali kipigo cha mabao 2-0, Sowah dakika ya 90+6 katika mechi ikiwa mwishoni alimpiga kiwiko kiungo wa Azam, Himid Mao….

Read More

Miloud agusia dabi, wakiikabili Prisons

WAKATI Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Amani Josiah akisema kwa muda waliofanya mazoezi vijana wake wameonyesha ari na morali kubwa hivyo kesho matarajio ni kuendeleza matokeo mazuri, yule wa Yanga, Miloud Hamdi amesema wako tayari na fiti kwa ajili ya mechi hiyo, lakini akigusia kidogo kuhusu Dabi ya Kariakoo. Tanzania Prisons inatarajiwa kuwa wenyeji wa…

Read More

Hatifungani ya kijani ya Tanga uwasa yasajiliwa rasmi DSE

Hatifungani ya Kijani ya Miundombinu ya Maji Tanga inayosimamiwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanga (Tanga UWASA) imesajiliwa rasmi katika Soko la Hisa la Dar Es Salaam (DSE) katika hafla maalumu iliyofanyika Jijini Dodoma katika ofisi za Hazina baada ya mauzo ya Hatifungani hiyo kufanya vizuri kwa 103% zaidi ya lengo. Akizungumza…

Read More

Dk Nchimbi awaonya wanaCCM udalali kwa wasaka uongozi

Njombe. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amewataka wanachama na viongozi wa chama hicho kujiepusha kuwa madalali wa watu wanaosaka nafasi za uongozi. Dk Nchimbi amesema kama kuna kitu kinachoweza kukidhoofisha chama hicho tawala ni viongozi kukubali kuwa madalali wa wagombea. “Mtu anayetaka kukufanya uwe dalali tafsiri yake ameshakupima, amegundua unanunulika,…

Read More