Talaka yenu inawafunza nini watoto wenu?

Canada. Inakuwaje mtu anakuwa kiongozi mashuhuri, msomi aliyebobea au tajiri wa kutajwa, lakini anashindwa kuhimili ndoa yake?  Je, ni suala la majaliwa, mipango mibovu au ukweli mchungu kwamba binadamu hawezi kuwa na kila kitu kwa wakati mmoja?  Maswali haya yameendelea kuibuka kila tunaposikia habari za talaka katika familia zetu, hasa pale wahusika wanapokuwa watu wa…

Read More

KITULO GARDEN MARATHON KUITANGAZA NJOMBE, RC MTAKA AFUNGUKA

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amewakaribisha Watanzania hasa wanariadha kushiriki Kitulo Garden Marathon inayotarajia kufanyika Mei 2 mwaka huu. Amesema anaamini mbio za Kitulo Garden Marathon zinakwenda kufanyika katika mwezi mzuri kwani mkoa huo utakuwa na wageni wengi ambao watakwenda kwenye sherehe za Mei Mosi hivyo kupitia mbio hizo washiriki…

Read More

Uhamiaji yafungua Ligi Kuu Zanzibar kwa rekodi mbili

LIGI Kuu Zanzibar msimu wa 2025-2026 imeanza leo kwa kufanyika mchezo mmoja huku ikishuhudiwa Uhamiaji ikiweka rekodi mbili. Mechi hiyo iliyofanyika kwenye Uwanja wa Mao A uliopo Unguja, Uhamiaji imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi. Rekodi ya kwanza Uhamiaji imeiweka kupitia mchezaji wake, Mohamed Mussa kufunga bao la kwanza la msimu akifanya…

Read More

Nafasi za Kazi 27 kwa Wataalamu wa Hesabu, TEHAMA, Uhandisi na Sekta Nyingine

Global Publishers February 28, 2026 0 Comments Dodoma, Tanzania – Cereals and Other Produce Board of Tanzania (COPBT) kwa kushirikiana na Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) imetangaza nafasi 27 za kazi kwa Wataalamu wa ndani wenye uadilifu, uthubutu na weledi. Nafasi hizi zinahusisha sekta mbalimbali ikiwemo hesabu, TEHAMA, uhandisi, upimaji wa mazao, ubora wa bidhaa,…

Read More

Tanzania yanyakua ubingwa Ghana | Mwanaspoti

TIMU ya Taifa ya Wanaume ya Kriketi imetawazwa kuwa mabingwa wa mashindano ya kufuzu Kombe la Dunia la T20, Kanda ya Afrika B, ICC Men’s T20 World Cup Sub Regional Africa Qualifier B. Mashindano hayo yaliyofanyika jijini Accra, Ghana, yalianza Machi 22 na kutamatika leo Machi 30, 2026, Tanzania iling’ara mbele ya mataifa mengine sita…

Read More

Fei Toto awaibua wakongwe Ligi Kuu Bara

WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa imesimama kupisha Kombe la Shirikisho la CRDB (FA),  Feisal Salum ‘Fei Toto’ ndiye kinara anayehusika kwenye mabao hadi sasa akikaribiwa na mshambuliaji wa Yanga, Prince Dube, huku wachezaji wa zamani wakimpa maua yake. Kwenye chati ya ufungaji Fabrice Ngoy wa Namungo ndiye anaongoza kwa kufunga mengi akiwa nayo nane mbele…

Read More

Tume ya Uhuru ya UN inagundua kuwa vikosi vya Israeli vimefanya mauaji ya kimbari huko Gaza – maswala ya ulimwengu

Watoto wa Gazan wamesimama kwenye kifusi cha nyumba yao iliyobomolewa huko Rafah. Mikopo: UNICEF/EYAD EL BABA na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Septemba 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Septemba 17 (IPS) – Mnamo Septemba 16, jeshi la Israeli lilianza kukera katika jiji la Gaza, likifuatana na kuongezeka kwa maeneo…

Read More