ACT-Wazalendo, Chadema yataka uwajibikaji watendaji waliowaengua wagombea wao
Dar es Salaam. Wakati Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa akiagiza kamati za rufani za wilaya kuitisha fomu za wagombea wote walioenguliwa ili kujiridhisha na sababu za kutoteuliwa, vyama vya ACT-Wazalendo na Chadema vimetaka uwajibika kwa watendaji walioengua wagombea wao kinyume cha utaratibu. Vyama hivyo,…