Dk Slaa: Kampeni za uchaguzi hazijagusa masuala muhimu

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa amesema kampeni za uchaguzi wa mwaka huu, zimekosa chama kinachozungumza masuala muhimu kwa raia. Dk Slaa anasema hayo, wakati chama chake kikiwa si miongoni mwa vinavyoshiriki uchaguzi kutokana na ajenda yake ya kudai mabadiliko mifumo ya uchaguzi maarufu…

Read More

Tishio jipya wizi mita, koki za maji

Dar es Salaam. Wimbi la wizi wa mita na koki za maji limezidi kuwa kero, likiathiri upatikanaji wa huduma kwa mamia ya wananchi na kusababisha upotevu mkubwa wa mapato kwa mamlaka za maji. Uhalifu huo unatajwa kuchangiwa na wauza vyuma chakavu na mafundi wanaotengeneza mapambo au vifaa vya matumizi ya nyumbani kwa kutumia miundombinu hiyo…

Read More

MZUMBE NA UNDP WAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO

Farida Mangube, Morogoro Katika jitihada za kuendeleza elimu ya juu, utafiti na ubunifu nchini, Chuo Kikuu Mzumbe kimesaini mkataba wa ushirikiano na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Makubaliano hayo ambayo yanalenga kuimarisha mchango wa elimu katika kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) huku yakitoa fursa kwa vijana na watafiti nchini kushiriki kikamilifu…

Read More

Matumizi ya Nishati Safi Kupikia Yapata Msukumo Mpya

Na Mwandishi Wetu, Mwanza MATUMIZI ya nishati safi ya kupikia yamepata msukumo mpya jijini Mwanza baada ya baadhi ya wananchi kukabidhiwa zawadi walizojishindia kupitia kampeni ya “Gesi Yente” inayoendeshwa na kampuni ya Oryx Energies, kama motisha ya kuhamasisha ununuzi na matumizi ya gesi ya kupikia. Hafla ya kukabidhi zawadi hizo imefanyika leo Septemba 2, 2025…

Read More

Deusdedity Okoyo mbioni kujiunga na Mbeya City

UONGOZI wa Mbeya City upo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa Deusdedity Okoyo aliyekuwa akiichezea KMC msimu uliopita ili kuongeza nguvu kwenye eneo la kiungo cha kati. Kama uhamisho wa Okoyo utakamilika atakutana na ushindani wa wachezaji wengine wanaotajwa kujiunga na kikosi hicho Omary Chibada anayedaiwa kutokea Kagera Sugar, Jeremie Ntambwe Nkolomoni ambaye ni…

Read More

Gamondi  aanza na sare Kagame 

KOCHA Miguel Gamondi ameanza na sare akiwa na Singida Black Stars kwenye mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame dhidi ya Ethiopian Coffee kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Katika mechi hiyo ya kwanza ya kimashindano kwa kocha huyo aliyewahi kuifundisha Yanga, tangu apewa mikoba ya kuongoza kikosi hicho, Singida BS ilionekana kutokuwa na makali katika…

Read More