CP. WAKULYAMBA AWATAKA MAOFISA WA NCAA KUWA WAADILIFU.

********* Na Sixmund Begashe,Karatu Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii anayeshughulikia Uhifadhi, Kamishna wa Polisi (CP) Benedict Wakulyamba, amewavisha vyeo Maofisa 22 na Askari watatu wa Jeshi la Uhifadhi la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) waliokamilisha mafunzo ya mabadiliko kutoka mfumo wa kiraia kwenda kijeshi. Akizungumza katika hafla iliyofanyika Kituo cha Mafunzo…

Read More

Madhara ya watu wazima kutegemea wazazi kiuchumi

Kutegemea wazazi kiuchumi wakati mtu ameshakuwa mtu mzima kunaweza kuwa na madhara makubwa kwa maisha ya mtu binafsi, familia, na hata jamii kwa ujumla. Ingawa kuna hali zinazolazimisha baadhi ya watu kuendelea kutegemea wazazi, kama ugonjwa au ukosefu wa ajira, kuwa tegemezi kwa muda mrefu kunaweza kuathiri maendeleo ya mtu binafsi na mfumo wa kifamilia….

Read More

DKT. MWAMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA AFISA MTENDAJI MKUU WA TAASISI YA BWB YA UINGEREZA

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Bankers Without Boundaries (BWB) kutoka Uingereza, Bw. Chris Smith, ambapo wamejadili masuala ya ushirikiano wa kimaendeleo katika sekta mbalimbali zikiwemo Afya, elimu, Uchumi na maendeleo ya kijamii.   Mazungumzo hayo ambayo yamefanyika…

Read More

Simulizi ya familia ya mgombea ubunge CUF aliyeuawa

Familia ya mgombea ubunge kupitia Chama cha Wananchi (CUF) katika Jimbo la Siha, Daudi Ntuyehabi, ambaye amefariki baada ya kushambuliwa na kundi la watu zaidi ya wanane, imeeleza ilivyopokea taarifa za kuuawa kwa ndugu yao na kuiomba Serikali kuingilia kati na kuchukua hatua kwa waliohusika na mauaji hayo ya kikatili. Akizungumza dada wa mgombea huyo,…

Read More

Ubebaji huu hatari kwa mtoto chini ya miaka mitano

Dar es Salaam. Mazoea ya baadhi ya watu kuwabeba watoto wadogo chini ya miaka mitano kwa kuwashika mikono na kuwavuta juu, kuwaweka kichwani au shingoni na kisha kuwashusha kwa njia ileile, yanatajwa na wataalamu wa afya kuwa ya hatari kwa usalama wao. Wapo pia wazazi na walezi wanaowaburuza watoto kwa kuwashika mkono wanapokataa kutembea, wakidhani…

Read More

Wibol Maseke aomba msimu uishe tu

KIPA wa KMC, Wibol Maseke amesema kwa namna mambo yalivyomuendea kombo akiwa na kikosi hicho kwa msimu huu kwa kucheza mechi saba tu, anaona ni vyema msimu ulishe ili ajipange upya. Maseke ametumika katika mechi sita za Ligi Kuu Bara na moja ya Kombe la Shirikisho (FA), huku muda mwingi akiishia kukaa benchi kitu ambacho…

Read More

Familia zapaza sauti wanne wakidaiwa kutekwa, polisi wahusishwa

Dar es Salaam. Matukio ya watu kutoweka katika mazingira yenye kutatanisha huku askari polisi wakihusishwa kuwashikilia yanaendelea kushika kasi nchini. Taarifa mpya zilizolifikia Mwananchi zinadai kuwa vijana wanne wilayani Temeke, Dar es Salaam na mkazi mmoja mkoani Geita wametoweka na jitihada za kuwatafuta hazijazaa matunda kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa. Taarifa zinasema vijana Ramadhan…

Read More