Wahamiaji wa Venezuela wanaendesha faida za kiuchumi huko Ecuador lakini wanakabiliwa na udhaifu unaoendelea – maswala ya ulimwengu

“Ushahidi uko wazi: Wakati wahamiaji wanapata haki na fursa, wanachangia sana kwa jamii zinazowakaribisha,“Alisema Kristina Mejo, mkuu wa shirika hilo huko Ecuador. Venezuelans kwa sasa ni karibu 441,000 katika Ecuador, na kaya zinalipa karibu dola milioni 47 kwa ushuru kila mwaka. Mchango wao umewezeshwa na sera za umma ambazo ziliboresha michakato ya nyaraka, kupanua upatikanaji…

Read More

NI SAMIA CHEMBA…AAHIDI MAKUBWA SEKTA YA KILIMO,SERIKALI KUNUNUA MATREKTA MILIONI 10 KATIKA MIAKA MITANO IJAYO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Chemba WAKULIMA sasa ni neema tele kwao! Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Dk.Samia Suluhu Hassan kuahidi kufanya mageuzi makubwa katika sekta hiyo ikiwemo mpango wa kununua matrekta Milioni 10 katika miaka mitano ijayo ili kuwawezesha wakulima kukodisha trekta kwa nusu bei ya ile inayokodishwa…

Read More

Kocha Fountain Gate Princess azitaka Simba, Yanga

KOCHA wa Fountain Gate Princess, Noah Kanyanga amesema mikakati ya timu hiyo ni kuhakikisha inarudi kwenye makali yake na kupambania ubingwa mbele ya vigogo Simba Queens na Yanga Princess. Kanyanga aliwahi kuzifundisha Ceasiaa Queens, Mburahati Queens, Gets Program na sasa Fountain Gate aliyoanza nayo mwishoni mwa msimu uliopita. Akizungumza na Mwanaspoti, alisema msimu uliopita haukuwa…

Read More

Kesi za wabunge Chato zaahirishwa, watuhumiwa wakwama kufika mahakamani

Geita. Kesi mbili zinazowakabili wabunge wawili wa majimbo ya Chato na baadhi ya madiwani, zimeahirishwa baada ya watuhumiwa kushindwa kufika mahakamani kwa sababu mbalimbali. Kesi hizo zinazowahusu Mbunge wa Chato Kusini, Paschal Lutandula na Mbunge wa Chato Kaskazini, Cornel Magembe pamoja na madiwani wanne akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Bathoromeo Manunga,…

Read More

Mkongwe agusia bato jipya Simba

UWEPO wa Moussa Camara kama kipa namba moja ndani ya Simba unaelezwa ni changamoto kubwa anayokwenda kukabiliana nayo, kipa mpya wa kikosi hicho, Yakoub Suleiman aliyetua hivi karibuni akitokea kwa maafande wa JKT Tanzania. Yakoub ambaye ni kipa namba moja wa timu ya taifa, Taifa Stars kwa sasa, ametua Msimbazi sambamba na beki wa kati,…

Read More

Maji ni Uhai: TRAMEPRO Yaadhimisha Siku ya Maji Duniani 2026

Kila mwaka tarehe 22 Machi, dunia huungana kuadhimisha Siku ya Maji Duniani—siku muhimu inayotukumbusha thamani ya rasilimali maji katika maisha ya kila siku. Mwaka huu wa 2026, maadhimisho haya nchini Tanzania yanafanyika katika Mkoa wa Morogoro, yakileta pamoja wadau wa sekta ya maji, afya na mazingira. Katika kuadhimisha siku hii, Shirika la Dawa Asilia na…

Read More