Vita Ghaza Lazima Vikome, Hamas Waachilie Mateka – Global Publishers
Last updated Sep 23, 2025 Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN), Annalena Baerbock ameuambia mkutano wa suluhisho la mataifa mawili uliofanyika makao makuu ya umoja huo jana Jumatatu: kuwa “nchi-dola huru ya Palestina lazima ianzishwe”. Baerbock akaongeza: “hali halisi ya watoto wa Ghaza ni vita na uharibifu. Wengi…