MWANAMKE NDIYE MSINGI WA MAADILI KATIKA JAMII

Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Kahama, Martha Kapela akizungumza na wanawake juu ya majukumu ya wanawake katika malezi, elimu ya maadili, na utunzaji wa familia huku akiwahimiza walimu kushirikiana katika malezi ya watoto shuleni. Na Neema Nkumbi, Kahama Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Kahama, Martha Kapela, amesema mwanamke ndiye chanzo cha maadili katika jamii, huku…

Read More

Kocha Yanga apata shavu Morocco

ALIYEKUWA kocha wa viungo wa Yanga, Taibi Lagrouni amejiunga na kikosi cha Olympique de Safi cha Morocco baada ya mtaalamu huyo kuondoka kwa mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2024-2025 kutokana na mkataba wake kumalizika. Lagrouni alijiunga na Yanga Julai 18, 2023 na kukitumikia kikosi hicho kwa mkataba wa miaka miwili, ambapo…

Read More

Nani Kuibuka Kidedea EPL? – Global Publishers

Katika kuendelea kuhakikisha kuwa Meridianbet haikuachi hivi hivi, Jumatatu ya leo wameamua kukupatia ODDS za kibabe kwenye mechi zote za leo. Nani kuondoka na ushindi leo?. Tandika jamvi lako na ushinde sasa. LALIGA kule Hispania inatarajiwa kuendelea Athletic Bilbao atamenyana vikali dhidi ya Rayo Vallecano ambao mechi iliyopita walishinda, huku mwenyeji wao akishinda pia. Hivyo…

Read More

Bado elimu ni ufunguo wa maisha?

Dar es Salaam. Usemi elimu ni ufunguo wa maisha, umeibua mjadala wa makundi mawili yanayopingana. Lipo linalosema kuna matajiri wa shahada za elimu, lakini masikini wa maisha, huku lingine likisema wapo mafukara wa elimu wanaishi maisha bora. Upinzani huo umekwenda mbali zaidi na kuibua, mjadala mwingine kati ya wanaosema elimu si nyenzo ya kuyafungua maisha,…

Read More