Wanavyoizungumzia Siku ya Kimataifa ya Demokrasia

Dar es Salaam. Tanzania inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Demokrasia ambapo baadhi ya wanasiasa na wanaharakati wametoa jumbe zao kuhusiana na siku hii ikiwemo kuhimiza kuzingatiwa kwa demokrasia nchini. Siku ya Kimataifa ya Demokrasia huadhimishwa kila Septemba 15 ya kila mwaka ambapo ulimwengu hutafakari umuhimu wa demokrasia katika maisha ya…

Read More

Benchikha aivulia kofia Simba mpya “itafanya maajabu”

ALIYEKUWA Kocha wa Simba msimu uliopita, Mualgeria Abdelhak Benchikha amekifuatilia kikosi kipya cha timu hiyo ya Msimbazi kisha kutoa neno, akiitabiria kufanya maajabu msimu wa 2024-2025. Kocha huyo mwenye misimamo na maamuzi magumu alijiunga na Simba, Novemba mwaka jana kabla ya kuachia ngazi  Aprili 2024 mwaka huu mara baada ya Dabi ya Kariakoo iliyoisha kwa…

Read More

MASAHIHISHO STORY YA UTIAJI SAINI TANZANIA NA RWANDA

Na Munir Shemweta, WANMM NGARA Tanzania na Rwanda zimetiliana saini Makubaliano (Agreed Minutes) ya Uimarishaji mpaka wa Kimataifa baina ya nchi hizo. Makubaliano hayo ni pamoja na Tanzania na Rwanda kuandaa Hati ya Makubaliano (MoU) ya Uimarishaji Mpaka wa Kimataifa. Utiaji saini huo umefanyika Juni 12, 2025 mara baada ya kukamilika kwa Kikao cha Kamati…

Read More

Dkt. Abbasi: Watalii Waongezeka kwa asilimia 9 Tanzania

 *Aalika Wananchi Kutalii XMas, Mwaka Mpya Sabasaba Dar Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii. Dkt. Hassan Abbasi amesema hali ya utalii nchini iko imara kuliko wakati wowote katika historia ya sekta hiyo. Dkt. Abbasi ameyasema hayo leo Disemba 24, 2025, jijini Dar es Salaam alipozungumza na waandishi wa habari mara…

Read More

Madeni ya Serikali kwa MSD yawaibua wabunge

Dodoma. Wabunge wameitaka Serikali kulipa deni la Bohari ya Dawa (MSD) linalofikia Sh739.2 bilioni ili kuulinda mnyororo wa ugavi na kuhakikisha huduma zinawafikia wananchi kwa wakati na kwa utoshelevu. Wabunge wameyasema hayo leo Jumatatu Juni 2, 2025 wakati Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi, Elibarick Kingu akiwasilisha makadirio…

Read More

Wanakimanumanu waanza kujipata | Mwanaspoti

KOCHA wa African Sports ‘Wanakimanumanu’, Kessy Abdallah amesema angalau kwa sasa timu hiyo inaendelea kuimarika tofauti na mwanzoni na sababu kuu ni mbili, kuchezea nyumbani na wachezaji kufuata maelekezo yake kwa ufasaha. Timu hiyo imeshinda michezo miwili mfululizo kwa mara ya kwanza msimu huu, tangu mara ya mwisho ilipochapwa mabao 2-0 na Transit Camp Januari…

Read More

DR. POSSI DISMISSES ALLEGATIONS RISED BY REPRESENTATIVE OF EAST AND HORN OF AFRICA HUMAN RIGHTS DEFENDERS NETWORK

 :::::::: On 18 June 2025, during the 5th meeting of the 59th session of the Human Rights Council, Dr. Abdallah S. Possi, the Ambassador and Permanent Representative of the United Republic of Tanzania to the United Nations Offices and Other International Organizations in Geneva, addressed the Council.  He dismissed the allegations raised by the representative…

Read More

Bolt yamteua Dimmy Kanyankole kuwa Meneja Mpya wa Tanzania

Kampuni inayoongoza kwa huduma za usafirishaji Tanzania na Barani Afrika, inafuraha kuwataarifu kuhusu uteuzi wa Bw.Dimmy Kanyankole kuwa Meneja mpya wa Bolt nchini Tanzania. Hatua hii ya kimkakati ni sehemu ya dhamira inayoendelea ya kampuni katika kuimarisha shughuli zake na uzoefu wa wateja katika kanda. Dimmy ni kiongozi atakayesimamia mapato yatokanayo na biashara na kufuatilia…

Read More

Masoud ana mawili Chama la Wana

BAADA ya Stand United ‘Chama la Wana’, kushindwa kupanda Ligi Kuu Bara msimu ujao moja kwa moja, kocha wa timu hiyo, Juma Masoud amesema kwa sasa ana kazi kubwa ya kupambania maeneo mawili muhimu, beki na ushambuliaji. Sare ya Stand United ya bao 1-1, dhidi ya Polisi Tanzania, imeifanya timu hiyo kujihakikishia nafasi ya kucheza…

Read More

Waziri Mhagama akabidhi Ofisi kwa waziri Lukuvi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Afya, Jenista Mhagama, ameahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi, katika maeneo ambayo atahitaji msaada wakati wa kuratibu shughuli za serikali chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu. Jenista alitoa ahadi hiyo leo, Agosti…

Read More