Kocha Malale amvuta Kelvin Sabato ‘Kiduku’
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Singida Black Stars, Namungo FC, Mtibwa Sugar na maafande wa Tanzania Prisons, Kelvin Sabato ‘Kiduku’, yupo katika hatua za mwisho za kujiunga na KVZ ya visiwani Zanzibar, inayofundishwa na kocha, Malale Hamsini. Nyota huyo ambaye kwa sasa yupo huru baada ya kuachana na Singida Black Stars, amefanya mazungumzo ya moja kwa moja…