WASTAAFU DODOMA MJINI WANAOLIPWA NA HAZINA WAANZA KUPEWA VITAMBULISHO VYA KIELEKTRONIKI.
Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Wizara ya Fedha imetoa wito kwa Wastaafu wa Wilaya ya Dodoma Mjini wanaolipwa na Hazina kufika katika Ofisi za Hazina Dodoma ili kupatiwa vitambulisho vya wastaafu vya kielektroniki. Wito huo umetolewa na Mhasibu Mkuu Daraja la kwanza kutoka Wizara ya Fedha, Bi. Jenipha Ntangeki, katika Ofisi ya Wizara ya Fedha,…