Katibu mkuu mpya TFF anukia, Kidao akichomoka

NDANI ya siku sita kutoka leo, wakati wowote Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), linaweza kuingia kwenye hatua kubwa ya mabadiliko kwa kuteuliwa katibu mkuu mpya. Taarifa kutoka TFF ni, Katibu Mkuu wa sasa wa shirikisho hilo, Wilfred Kidao yuko kwenye hatua za kuachia nafasi hiyo. Inaelezwa, Kidao ameshaandika barua ya kuomba kutoendelea na…

Read More

Hesabu za Ismail Mgunda Mashujaa

MSHAMBULIAJI wa Mashujaa, Ismail Mgunda, amesema matarajio yake makubwa msimu huu ni kuhakikisha anaingia katika orodha ya wachezaji watakaokuwa wanatajwa kwa mabao mengi ndani ya Ligi Kuu Bara. Msimu uliyopita kabla ya kwenda kujiunga na AS Viya ya DR Congo, mshambuliaji huyo alifunga mabao mawili, kitu ambacho anakitamani katika Ligi Kuu inayoendelea kufanya vitu vikubwa….

Read More

Meridianbet Yazindua Playson Short Races Ikiwa Na Mamilioni

IKIWA kinara wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet inakuletea promosheni ya kipekee inayochochea msisimko na ushindani inayofahamika kama Playson Short Races. Hii ni fursa ya kila mchezaji kujitosa kwenye mashindano ya kila usiku na kujinyakulia sehemu ya zawadi zinazofikia TZS bilioni 6. Ndiyo, ni bilioni 6. Mashindano haya yanarindima kila siku kuanzia saa 4:00…

Read More

Kombe la Carabao Larejea kwa Kishindo Jumanne Hii

WIKI hii inafungua pazia la raundi ya tatu ya michuano ya Carabao Cup, ambapo miamba ya soka barani Ulaya wanakutana uso kwa uso kutafuta nafasi ya kusonga mbele. Mashabiki wa soka wanatarajia burudani ya hali ya juu, huku Meridianbet ikiwapa nafasi ya kipekee ya kujishindia fedha kupitia odds kubwa zinazopatikana leo. Katika dimba la Sincil…

Read More

TUME YA MADINI YAWAALIKA WADAU KUTUMIA MAABARA YA KISASA

:::::::: Meneja wa Huduma za Maabara ya Tume ya Madini, Mhandisi Mwarabu Mvunilwa amewaalika wadau wa sekta ya madini nchini kutumia maabara ya kisasa ya Tume kwa huduma za uhakika na viwango vya kimataifa. Akizungumza kupitia mahojiano maalum amesema kuwa maabara hiyo, ipo katika Jengo la TIRDO Complex, Msasani – Dar es Salaam, na imekuwa…

Read More

NDIYO MILIONI 20 ZA HESLB ZITAKAVYOSAIDIA KUBORESHA MASOMO YA SAYANSI NCHINI

::::::: Na: Dkt. Reubeni Lumbagala, Tanga Juhudi zinazofanywa na serikali katika kuchochea maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla haziwezi kuzaa matunda kama hakutafanyika uwekezaji wa kutosha katika sekta ya elimu. Hii inatokana na ukweli kuwa maarifa, ujuzi na stadi mbalimbali ni nyenzo muhimu zinazoharakisha kufikiwa kwa malengo na mipango ya maendeleo. Kwa kuzingatia ukweli…

Read More

Taifa huru la Palestina lanukia Umoja wa Mataifa

Dar es Salaam. Dalili za uhuru wa Palestina zazidi kuonekana, kufuatia uungwaji mkono wa karibu mataifa 150, ikiwemo nchi nne zenye kura ya turufu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, ambazo sasa zimetambua rasmi taifa hilo. Chini ya Mkataba wa Montevideo wa mwaka 1933, kuna vigezo ili Palestina itambuliwe kuwa taifa huru chini…

Read More

Dproz yaja na jukwaa kuwasogezea vijana fursa za ajira

Dar es Salaam. Taasisi isiyo ya kiserikali ya Dproz imekuja na suluhisho la ajira kwa vijana kwa kuweka mfumo maalumu utakaowawezesha kupata taarifa kwenye soko la ajira nchini. Akizungumza mkurugenzi wa jukwaa la kidigitali la Dproz linalounganisha vipaji na nafasi za kazi nchini, Iddy Magohe amesema kufuatia changamoto hiyo ya ajira, wao wamekuja na suluhu….

Read More