LAAC yabaini kasoro utekelezaji wa miradi ya maendeleo Mwanza
Dar es Salaam. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imetoa ushauri na maelekezo yenye lengo la kuimarisha usimamizi wa fedha na ukamilishaji wa miradi hiyo jijini Mwanza. Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) wakikagua moja ya miradi ya maendeleo ya Jiji la Mwanza…