Kocha Malale amvuta Kelvin Sabato ‘Kiduku’

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Singida Black Stars, Namungo FC, Mtibwa Sugar na maafande wa Tanzania Prisons, Kelvin Sabato ‘Kiduku’, yupo katika hatua za mwisho za kujiunga na KVZ ya visiwani Zanzibar, inayofundishwa na kocha, Malale Hamsini. Nyota huyo ambaye kwa sasa yupo huru baada ya kuachana na Singida Black Stars, amefanya mazungumzo ya moja kwa moja…

Read More

Kipre Junior ana nafasi yake Azam FC

KIUNGO wa zamani wa Azam FC, Kipre Junior, amevunja mkataba na MC Alger ambayo ilikuwa inataka kuingiza mchezaji mwingine kwenye nafasi yake ya wachezaji wa kigeni, huku ikielezwa huenda akarejea kwa mabosi wake wa zamani, Azam FC. Kipre ambaye aliichezea Azam kwa misimu miwili, huku akiacha rekodi ya kufunga mabao 12, mawili mwaka wa kwanza…

Read More

Kwa Nini Kula Karoti ni Muhimu kwa Afya ya Macho

Karoti zinajulikana sana kwa maudhui yake ya juu ya vitamini A, virutubisho muhimu kwa afya ya macho. Vitamini A ni vitamini mumunyifu wa mafuta ambayo ina jukumu muhimu katika kudumisha kornea, safu ya nje ya jicho.Bila vitamini A ya kutosha, unaweza kuteseka na xerophthalmia, hali inayojulikana kama macho makavu, vidonda vya koni, na hata upofu….

Read More

MASHINDANO YA QURA’N YAZINDULIWA, MSHINDI KUCHUKUA MILIONI 30

:::::::::: Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, leo Februari 1, 2026 amezindua rasmi mashindano makubwa ya usomaji wa Qurani ya mabara yote yanayofanyika nchini Tanzania kila mwaka katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Akizungumza katika uzinduzi huo, Abdulla amewashukuru viongozi wa kitaifa wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa…

Read More