Kamati ya Kudumu ya Bunge yatoa maagizo Mwanza

Dar es Salaam. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imetoa ushauri na maelekezo yenye lengo la kuimarisha usimamizi wa fedha na ukamilishaji wa miradi hiyo jijini Mwanza. Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) wakikagua moja ya miradi ya maendeleo ya Jiji la Mwanza…

Read More

A – Z: Biashara Ya Mafuta Ya Magendo Inavyofanyika Tanzania, Bandari Hatari Zatajwa – Video

Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Uchunguzi uliofanywa na Global TV kupitia makala yake maalum umeweka wazi ukweli unaoshtua kuhusu biashara ya mafuta ya kula ya magendo nchini. Biashara hii, ambayo imekuwa ikisambaa kimyakimya, inaonekana kuwa na mtandao mpana unaovuka mipaka na kuhusisha wahusika mbalimbali kutoka ngazi ya usafirishaji hadi wauzaji wa rejareja. Kwa…

Read More

LAAC yatoa maagizo Mwanza | Mwananchi

Dar es Salaam. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imetoa ushauri na maelekezo yenye lengo la kuimarisha usimamizi wa fedha na ukamilishaji wa miradi hiyo jijini Mwanza. Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) wakikagua moja ya miradi ya maendeleo ya Jiji la Mwanza…

Read More

Lukuvi Aacha Historia Nzito Tanzania – Huu Ndio Wasifu Wake

Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Vangimembe Lukuvi. Kifo cha William Vangimembe Lukuvi kimeacha pengo kubwa katika uongozi na jamii ya Tanzania, huku akitambulika kama mmoja wa viongozi waliotoa mchango mkubwa katika siasa na maendeleo ya taifa kwa miongo kadhaa. Maisha ya Awali na ElimuWilliam Lukuvi…

Read More

Bunge la 13 bila wakongwe

Dar es Salaam. Bunge la 13, limeendelea kupoteza wabunge wakongwe zaidi, baada ya kifo cha Mbunge wa Isimani (CCM), William Lukuvi, ikiwa ni miezi minne tangu pigo kama hilo, lilipoukuta muhimili huo muhimu kwa utunzi na usimamizi wa sheria. Lukuvi ambaye hadi anafariki dunia alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu…

Read More