Mashabiki Simba, Yanga kuonyeshana umwamba

Mashabiki wa Simba na Yanga watacheza mechi ya kirafiki, Jumapili, Desemba 21, 2025 kwa lengo la kuhamasisha upendo na umoja baina yao. Mechi hiyo itachezwa katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam kuanzia saa 10:00 jioni na hakutakuwa na kiingilio kwa mashabiki. Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amewaomba mashabiki wajitokeze kwa…

Read More

MAGAMBA FOREST WALKATHON AND ADVENTURE SEASON III KUFANYIKA DESEMBA 17 HADI 20 MWAKA HUU

Na Oscar Assenga, LUSHOTO. MATEMBEZI Maalumu ndani ya Hifadhi ya Misitu ya Mazingira Asilia Magamba (Magamba Forest Walkathon and Andventure Season 111) yenye lengo la kutangaza na kuhamasisha utalii zinatarajiwa kufanyika Desemba 17 -20 katika mji wa Lushoto mkoani Tanga huku maandalizi yakielezwa kukamilika kwa asilimia 85. Akizungumza na Mtandao huo Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi…

Read More

Mageuzi ya bandari yaimarisha biashara za kikanda

Arusha. Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, amesema mafanikio yanayoendelea kushuhudiwa katika sekta ya bandari nchini yametokana na uwekezaji wa kimkakati uliofanywa na Serikali. Alisema ufanisi wa uhudumiaji wa shehena mbalimbali katika bandari zinazosimamiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) umeendelea kuongezeka, huku Bandari ya Dar es Salaam ikionesha mafanikio makubwa zaidi. “Kwa mujibu wa…

Read More

Mamilioni ya Watu Wako Hatarini mnamo 2026 Bajeti za Misaada Zilipopungua Kihistoria – Masuala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres akihutubia tukio la ngazi ya juu la kuahidi kuhusu Hazina Kuu ya Kukabiliana na Dharura (CERF) 2026. Credit: UN Photo/Mark Garten na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Jumanne, Desemba 16, 2025 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Desemba 16 (IPS) – 2025 umekuwa mwaka wenye misukosuko hasa…

Read More

Marekani yaihakikishia Ukraine usalama ikiachana na Nato

Dar es Salaam. Marekani imesema iko tayari kuipa Ukraine hakikisho la usalama linazofanana na la Jumuiya ya Kujihami ya Mataifa ya Magharibi (Nato), ili kulinda makubaliano ya kusitisha mapigano yanayoendelea nchini humo. Wakati Marekani ikitoa hakikisho hilo kwa Ukraine, suala la udhibiti wa ardhi, hususan Donbas, bado limekuwa kikwazo kikubwa cha kufikiwa kwa amani Ukraine…

Read More