Abdulla ageukia ripoti ya Tume ya Haki Jinai

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema ripoti ya Tume ya Haki Jinai inadhihirisha kuwa, utendaji wa taasisi hizo nchini hauridhishi kwa kuwa wananchi wameonesha uhitaji wa kufanya mabadiliko katika utoaji wa huduma unaozingatia haki na uwazi. Amesema mapendekezo hayo yapo ya Muungano na Zanzibar yakijumuisha udhibiti wa makosa ya…

Read More

Makamba awasili China kutekeleza makubaliano ya Rais Samia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba (Mb.) leo tarehe 16 Mei 2024 amewasili nchini China kuanza ziara ya kikazi.  Ziara hii mbali na kudumisha ushirikiano wa kidiplomasia wa kihistoria uliopo baina ya mataifa haya mawili ni muendelezo wa utekelezaji wa Diplomasia ya Uchumi ikilenga kufuatilia utekelezaji wa makubaliano…

Read More

Rich Panda kutoka Meridianbet ndiyo suluhisho

  MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wamekujia na mchezo mpya wa Sloti ya kasino mitandaoni unafahamika kama Rich Panda. Mchezo huu unakupa fursa ya kupiga mkwanja wa kutosha. Ukicheza mchezo wa Rich Panda kutoka Meridianbet unapata fursa ya kujishindia mamilioni kuptia Sloti hii ambayo inabamba zaidi mjini kwasasa. Kwanini Ucheze Rich Panda?…

Read More

Mbeki ataka ukweli kwa viongozi wa Afrika

Dar es Salaam. Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki amewataka viongozi wa Bara la Afrika kuwa wakweli na waaminifu katika kulinda masilahi ya bara lao, ili kufanikisha malengo ya kukuza uchumi na kuboresha maisha ya Waafrika. Mbeki ameyasema hayo katika hafla ya chakula cha jioni iliyofanyika Mei 23, 2025 jijini Dar es Salaam. Mbeki…

Read More