Sadaka ina nguvu kukupatanisha na Mungu, kufungua vifungo

Bwana Yesu asifiwe, kwa neema ya Mungu tena nimepata kibali kukuletea somo lihusulo sadaka. Wakristo wengi hatujui kutoa sadaka, hata kama tunatoa tumetumia muda mwingi kulaumu kwa nini huyu mtumishi anakula sadaka yangu, lakini pia tunatoa sadaka na kuangalia fedha tutoayo pasipo kujua kuwa tunamtolea nani? Ukweli ni kwamba sadaka ya namna yoyote unayotoa lazima…

Read More

Wanaomkejeli Mukwala leo, ndio watakaomshangilia kesho

HUKO mitaani kwa sasa usajili unaojadiliwa sana vijiweni ni ule wa straika mpya wa Simba, Steven Mukwala aliyetua hivi karibuni akitokea, Asante Kotoko ya Ghana. Kuanzia vijiwe vya kahawa, vile vya daladala hadi katika mitandao ya kijamii ni ishu nzima ya usajili wa Mukwala ndani ya Yanga kupitia dirisha kubwa lililofungwa katikati ya mwezi huu….

Read More

Chama la Lunyamila hali tete Mexico

CHAMA la Mazaltan anayoichezea Mtanzania Enekia Lunyamila limeanza msimu vibaya kwa kupoteza michezo sita kati ya saba iliyocheza ya ligi. Lunyamila alijiunga na timu hiyo msimu huu akitokea Eastern Flames iliyokuwa inashiriki Ligi Kuu ya Saudi Arabia na alifunga mabao saba, timu hiyo ikimaliza nafasi ya saba kati ya nane. Tangu kiraka huyo atambulishwe Mazaltan…

Read More

“MSIGWA”BANDARI YA KWALA ITAPUNGUZA GHARAMA YA UCHELEWESHWAJI WA MIZIGO,KUIMARISHA MAZINGIRA KIBIASHARA NA UWEKEZAJI NCHINI

 Serikali ya Tanzania, kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), imewekeza katika ujenzi wa Bandari Kavu ya Kwala, mradi wa kimkakati unaolenga kuongeza ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam na kuifanya kuwa kitovu bora cha biashara kwa nchi jirani. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Machi 16, 2025, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa,…

Read More

Waziri Mhagama ajitwisha zigo bima ya afya kwa wote

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Waziri wa Afya, Jenister Mhagama amesema atahakikisha mchakato wa uanzishwaji Bima ya Afya kwa Wote unakamilika haraka kwa sababu magonjwa hayasubiri na hilo ndilo jukumu kubwa alilopewa. Waziri Mhagama ameyasema hayo leo Septemba 11,2024 baada ya kutembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) na Taasisi ya Tiba ya Mifupa,…

Read More

Wababe wa Yanga watambiana Tabora

Timu za Tabora United na Azam FC ambazo ndio timu pekee zilizoifunga Yanga kwa msimu huu zimetambiana kueleeka mchezo wa Ligi kuu bara utakaochezwa leo Desemba 13, 2024 kila mmoja ikijinasibu kufanya vizuri katika mchezo huo utaakopigwa Alsan Mwinyi mkoani Tabora. Akizungumza na Mwanaspoti Kocha wa Tabora United mwenyeji wa DR Congo Anicet Makiadi amesema…

Read More

Askari Kinapa, mgambo matatani wakituhumiwa kwa mauaji

Moshi. Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linawashikilia askari wawili wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa) na mgambo kwa tuhuma za kumuua kwa risasi kijana Octovania Temba. Temba ni mkazi wa Kijiji cha Komela kilichopo Kata ya Marangu Magharibi, wilayani Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro. Wakazi wa Kijiji cha Komela kilichopo Kata ya Marangu Magharibi, wilayani…

Read More