Sadaka ina nguvu kukupatanisha na Mungu, kufungua vifungo
Bwana Yesu asifiwe, kwa neema ya Mungu tena nimepata kibali kukuletea somo lihusulo sadaka. Wakristo wengi hatujui kutoa sadaka, hata kama tunatoa tumetumia muda mwingi kulaumu kwa nini huyu mtumishi anakula sadaka yangu, lakini pia tunatoa sadaka na kuangalia fedha tutoayo pasipo kujua kuwa tunamtolea nani? Ukweli ni kwamba sadaka ya namna yoyote unayotoa lazima…