Dk Nchimbi atoa maagizo wizara ya Bashe, wakala wa mbegu

Namtumbo. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameiagiza Wizara ya Kilimo kuongeza kasi ya utafiti na uzalishaji mbegu za alizeti ili wananchi na Taifa liondokane na uagizaji mafuta ya kupikia nje ya nchi. Mtendaji mkuu huyo wa CCM ameutaka Wakala wa Mbegu za Kilimo Tanzania (ASA) kuhakikisha inafungua maduka maeneo mbalimbali…

Read More

Mjumbe wa UN anahimiza msaada wa kimataifa kwa Afrika Magharibi na Sahel – Maswala ya Ulimwenguni

Leonardo Santos Simão aliangazia kiwango cha shida inayoathiri sehemu za Sahel, ambapo vikundi vya kigaidi vinaendelea kusababisha shida, haswa katika Bonde la Ziwa la Chad linalojumuisha Cameroon, Chad, Niger na Nigeria. Bwana Simão, ambaye anaongoza Ofisi ya UN kwa Afrika Magharibi na Sahel (Unowas), alishuhudia athari wakati wa ziara ya hivi karibuni katika mji wa…

Read More

Ridhiwani aeleza tatizo la vijana kwenye mikopo

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete amezitaka taasisi za kifedha kuwajengea uwezo vijana ili wawe na sifa ya kukopesheka, akisema tatizo la vijana wengi nchini ni kukosa nidhamu ya fedha. Amesema kijana anapopata fedha hutumia nje ya malengo kusudiwa kutokana na kukosa nidhamu…

Read More

Maadui wa Rais Samia pale anapowahudumia Watanzania

Katika saikolojia, kuna somo linaitwa “Ingratiation”. Maana yake ni mbinu za kisaikolojia ambazo mtu anaweza kuzitumia kumvuta adui upande wake. Mwanasaikolojia bingwa, Edward Jones ‘Ned’, ambaye alipata kuwa profesa wa vyuo vikuu vya Duke na Princeton, Marekani, anatajwa kama baba wa Ingratiation kutokana na kazi kubwa aliyoifanya. Ingratiation ni mbinu ya kutoa sifa za ukweli…

Read More

Ajira 26,755 serikalini: Mbinu bora ya kuomba, kufanikiwa

Dar es Salaam. Wakati Serikali ya Tanzania ikitangaza ajira 26,755 ndani ya kipindi cha miezi miwili, wataalamu wa masuala ya rasilimali watu wameeleza mbinu za kuomba ajira hizo na kuingia kwenye usaili. Baadhi ya mbinu hizo, wakati wa usaili ni lazima muombaji wa ajira aonyeshe anakwenda kuongeza ubunifu na kuleta matokeo na si uhitaji wa kazi,…

Read More