
Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 katika Wilaya ya Ilala kukagua miradi 7 yenye thamani ya Tsh Bil.40
Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 katika Wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam umekimbizwa umbali wa KM 81.7 na kupitia miradi 7 yenye thamani ya Tsh 40,941,764,931 Mwenge wa Uhuru katika Wilaya hiyo ukiongozwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg Godfrey Eliakimu Mnzava umetembelea, umekagua, umeweka jiwe la msingi…