WANAWAKE MKOANI IRINGA WAASWA KUACHANA NA MIKOPO YA SHIKILIA DERA

Na Rose Ngunangwa, Iringa Wanawake Mkoani Iringa wameaswa kuachana na mikopo almarufu kama Shikilia Dera au Ndala mkononi kwani mikopo hiyo imekuwa ikisababisha mali za familia kuuzwa au kutaifishwa ili kufidia na kuiacha familia ikiingia kwenye lindi la umaskini. Mikopo hiyo imepewa jina la shikilia dera au kandamili mkononi kutokana na wanawake wanaochukua kulazimika kushikilia…

Read More

Mikakati kumaliza changamoto ya umbali wa shule Fukayosi yaanza -3

Bagamoyo. Changamoto ya baadhi ya wanafunzi kutembea umbali mrefu katika Kata ya Fukayosi, iliyobainishwa na uchunguzi wa Mwananchi, imeanza kupatiwa ufumbuzi kupitia hatua mbalimbali zinazochukuliwa. Uchunguzi wa Mwananchi katika baadhi ya vijiji vya Kata ya Fukayosi, ikiwemo Mkenge, Kidomole na Mwavi, katika Halmashauri ya Bagamoyo mkoani Pwani, ulibaini kuwa baadhi ya wanafunzi wa shule za…

Read More

Mgombea udiwani Marangu aahidi kushirikiana na mbunge kuleta maji

Moshi. Mgombea udiwani wa Kata ya Marangu Mashariki kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Innocent Shirima ameahidi kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi wa kata hiyo, ikiwemo upatikanaji wa maji safi na salama, barabara za ndani pamoja na ajira kwa vijana. Akizungumza leo Septemba 26, katika mkutano wa kampeni uliofanyika Uwanja wa Marangu Mtoni, Shirima amesema changamoto kubwa…

Read More

Morocco: Wale Niger tutamalizana nao vizuri tu

KOCHA wa timu ya Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesema kikosi hicho kina nafasi kubwa ya kufanya vizuri katika mechi ya kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026, dhidi ya Niger itakayopigwa Septemba 9, kwenye Uwanja wa New Amaan Zanzibar. Kauli ya kocha huyo inakuja baada ya timu hiyo kushindwa kuwika juzi ugenini kufuatia kulazimishwa sare…

Read More

Maafisa wa Mrekani na Ukraine wameanza mazungumzo nchini Saudi Arabia

Maafisa wa Marekani na Ukraine wameanza mazungumzo leo Jumanne nchini Saudi Arabia huku upande wa Ukraine ukitarajiwa kuwasilisha sehemu ya mpango wa kusitisha mapigano na Russia. Mpango wa Ukraine unajumuisha kusitisha mafanikio ya makombora ya masafa marefu na sitisho la linalohusisha Black Sea. Hata Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy hakushiriki katika mikutano ya Jumanne, huku…

Read More

DKT JINGU AZINDUA KAMATI YA MAKAO YA TAIFA YA WATOTO KIKOMBO.

……………… Na WMJJWM-Dodoma. Serikali inaendelea kuweka mazingira mazuri na rafiki kwa ajili ya ustawi wa watoto nchini kupitia utekelezaji na uimarishaji wa afua mbalimbali hususan watoto waliotokea katika mazingira magumu. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu katika uzinduzi wa Kamati ya makao…

Read More

Kwa nini watoi wanaonewa bure?

Japo sijui umri wala sura zenu, kwa walengwao mjijuao, nitakuiteni waheshimiwa msiojulikana mnaofanya mambo yanayojulikana tena ya kuudhi. Nawapa shikamoo kama ishara ya heshima ila siyo kuwazeesha bali kuwasifia na kuwafurahisheni msiniteke, kunipoteza, hata kunidedisha kama wale wenzangu. Juzi, nilisikitika sana na kushangaa. Nilihuzunika na kuchukia namna wengine wanavyokasirika na kufyatuka kiasi cha kupayuka na…

Read More

Bashiri na Meridianbet Mechi za UEFA Leo

JE, unajua kuwa siku ya leo unaweza ukaibuka na pesa ndefu ukibashiri mechi zako zote na Meridianbet?. Timu zinawania nafasi ya kufuzu hatua ya Robo Fainali zinakungoja. Jisajili sasa. Mechi itakayoanza ni hii ya Barcelona vs Newcastle United huku mechi ya kwanza walipokutana walitoa sare, ambapo vijana wa Hans Flick wakkisawazisha bado dakika za mwaisho…

Read More