Chato Samia Suluhu Academy kuendeleza vipaji

Chato Samia Cup imeingia makubaliano na Kituo cha Michezo cha Suluhu Academy kutoka Zanzibar, lengo likiwa ni kuibua vipaji vya michezo na kuviendeleza. Utiaji saini makubaliano hayo umefanyika wakati wa mchezo wa ufunguzi wa Ligi ya chato Samia Cup 2024 iliyofanyika kwenye Uwanja wa Mazaina uliopo Chato kati ya timu ya mashabiki wa Simba dhidi…

Read More

Mchakato kodi ya majengo usajili waanza upya

Dar es Salaam. Baada ya miaka minne ya ukusanyaji wa kodi ya majengo kupitia mfumo wa ununuzi wa umeme kwa kutumia mashine za Luku, inaripotiwa kuwa Serikali ipo katika hatua za mwisho za kubadilisha mfumo huo. Kuanzia mwaka ujao wa fedha, kodi hiyo inatarajiwa kukusanywa moja kwa moja kupitia halmashauri. Mchakato wa maandalizi tayari umeanza…

Read More

RAIS MWINYI AKUTANA NA UJUMBE WA SEOM

::::: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi  amekutana na Ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SEOM) Ikulu, Zanzibar. Ujumbe huo unaoongozwa na Spika Mstaafu wa Bunge la Malawi, Mhe. Richard Msowoya umemweleza Mheshimiwa Rais Mwinyi kuwa SEOM imejipanga kupeleka…

Read More