WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA PROF. ADOLF MKENDA AUPONGEZA UONGOZI WA MKINGA KUTENGA ENEO LA MJINI WA WANAZUONI GOMBERA

****** Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda ameupongeza uongozi Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga kupitia Mwenyekiti wake Mhe.Amani Juma Kasinga kwa kutenga eneo la kujenga mji wa wanazuoni katika eneo hilo. Akizungumza mara baada ya kukamilisha ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo katika kampasi ya…

Read More

Nikiwa Rais madini ya Tanzanite yatainufaisha Manyara – Doyo

Babati. Mgombea urais kupitia chama cha NLD Doyo Hassan Doyo amesema endapo atachaguliwa kushika nafasi hiyo, atahakikisha madini ya Tanzanite yanawanufaisha wana Manyara kuliko hivi sasa. Doyo ameyasema hayo leo Jumanne Septemba 16, 2025, alipozungumza na wananchi wa maeneo ya Bonga, Hala, Nakwa, Sigino na Singu Wilaya ya Babati mkoani Manyara. Amesema madini ya Tanzanite…

Read More

BEI ZA MAFUTA MWEZI SEPTEMBA 2025 ZAENDELEA KUSHUKA

 Picha na Mtandaoni  ,::::::::::  Bei za mafuta zinazotumika nchini kuanzia leo Septemba 3, 2025, zimeonesha kupungua kwa kwa shilingi 36 kwa petroli na shilingi 23 kwa dizeli kwa mafuta yaliyopokelewa bandari ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara mtawalia.

 Taarifa ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dkt…

Read More

Coca-Cola Kwanza hosts Minister of Industry and Trade

Dar es Salaam, Tanzania, Sunday 24 August 2025 – Coca-Cola Kwanza Ltd proudly hosted the Minister of Industry and Trade, Dr Seleman Said Jafo (MP) at its Dar es Salaam facility. The visit provided a valuable opportunity to showcase the company’s commitment to doing business the right way – guided by integrity, shared value creation, and…

Read More

Uhamiaji yaichapa Black Sailors 2-1

TIMU ya Uhamiaji, imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Black Sailors katika mchezo wa kirafiki uliochezwa leo Ijumaa Machi 27, 2026 kwenye Uwanja wa Mao Zedong B, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya timu hizo kuelekea mashindano yaliyo mbele yao. Katika mchezo huo uliokuwa na ushindani wa hali ya juu, Uhamiaji ilionesha kiwango…

Read More