Mchengerwa aagiza waganga wa tiba asili wasiosajiliwa wabanwe

Dar es Salaam. Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amesema yeyote atakayejitangaza kutoa huduma za tiba sili awe amesajiliwa. Mchengerwa ametoa maagizo hayo kwenye banda la Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), alilotembelea katika mkutano wake na  watoa huduma wa tiba asili unaofanyika Dodoma leo Jumatano, Machi 25, 2026. Waziri huyo amesema lazima watu…

Read More

Wanawake wanavyoondolewa vikwazo vya kiuchumi Zanzibar

Unguja. Ukosefu wa mitaji, majukumu ya malezi yasiyolipwa, ukatili na unyanyasaji wa kijinsia ni miongoni mwa changamoto ambazo zinawakumba wanawake wengi na kurejesha uchumi wao nyuma. Kwa mujibu wa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (OCGS), mwaka 2025 yaliripotiwa matukio 1,228, mwaka 2024 yalikuwa matukio 1,809 na mwaka 2023 yalikuwa matukio…

Read More

Serikali yatoa ahadi ulinzi wa bahari IORA ikiadhimisha miaka 29

Dodoma. Tanzania imesema ulinzi wa bahari na rasilimali zake utaendelea kupewa kipaumbele, hasa katika kipindi hiki ambacho Dunia inapitia changamoto ya mabadiliko ya tabianchi. Kauli hiyo imetolewa leo, Jumamosi, Machi 7, 2026, na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira anayeshughulikia Mazingira, Balozi Baraka Luvanda, wakati wa maadhimisho ya Siku…

Read More

Singida alenga ushindi dhidi Mbeya City

BAADA ya kudondosha pointi sita katika mechi mbili Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga na Simba, kocha wa Singida Black Stars, David Ouma amewataka wachezaji wake kusahau matokeo hayo na kuelekeza nguvu katika mchezo dhidi ya Mbeya City. Ouma alisema licha ya kupoteza michezo hiyo migumu anaamini kikosi chake kilionyesha kiwango kizuri na kilistahili kupata…

Read More

Wanne washikwa mkono gofu kimataifa

WAKATI mashindano ya gofu kwa chipukizi Afrika yakianza jana Jumatatu nchini Kenya, Benki ya NCBA imejitolea kuwadhamini watoto wanne watakaoiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo. Watoto hao wanatarajia kuibeba Tanzania katika mashindano yatakayofanyika kati ya Machi 23 hadi 26 mwaka huu nchini Kenya katika Jiji la Nairobi. Watoto hao wanaoiwakilisha Tanzania ni Ibrahim Juma, Julius James,…

Read More

HUSTLERS WAUNGANA UZINDUZI CHROME GIN KWA SGANGWE LA KIPEKEE

 :::::::::  Dar es Salaam ilishuhudia usiku wa burudani na sherehe zisizosahaulika pale Tanganyika Packers – Kawe, wakati wa uzinduzi wa Chrome Gin, kinywaji kipya kinacholenga kusherehekea hustlers wa Tanzania. Kwa mara ya kwanza, hustlers kutoka maeneo mbalimbali ya jiji waliunganishwa pamoja – kuanzia Manzese, Kariakoo hadi Kinondoni – wote wakija kusherehekea ushindi wao, mdogo au…

Read More