Chama apata chimbo jipya Ligi Kuu Bara

KAMA ulikuwa na fikra kwamba Clatous Chama ndio basi tena katika Ligi Kuu Bara, basi pole kwani kiungo mshambuliaji huyo bado yupo sana na msimu ujao anatarajiwa kukiwasha akiwa na chama jipya la Singida Black Stars. Nyota huyo raia wa Zambia aliyekuwa akikipiga Yanga iliyomsajili msimu uliopita akitokea Simba na kumaliza na mabao sita na…

Read More

Madereva 25 kuchuana Tanga | Mwanaspoti

IDADI ya madereva na waongozaji inatarajiwa kuongezeka maradufu na kufikia 25 wakati mpango wa kuwashirikisha madereva zaidi kutoka Kenya ukiendelea kabla ya mbio hizo kutimua vumbi mkoani Tanga, Julai 21, mwaka huu. Kwa mujibu wa waandaaji wa mbio hizo, Mount Usambara Club, awali ni madereva 15 pekee walithibitisha kushiriki mbio hizo, lakini idadi hiyo sasa…

Read More

Keir Starmer achukua wadhifa wa Waziri Mkuu wa Uingereza – DW – 05.07.2024

Ushindi huo unahitimisha enzi ya serikali ya chama cha kihafidhina cha Conservative, kilichokaa madarakani kwa miaka 14.  Starmer amechukua wadhifa huo muda mfupi baada ya kukutana na Mfalme Charles III kwenye la Buckingham na kuombwa rasmi kuunda serikali mpya. Mwanasiasa huyo amekiongoza chama chake kupata ushindi mkubwa kabisa na wa kihistoria katika uchaguzi wa hapo jana….

Read More

KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC

Na Mwandishi Wetu, Arusha Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara ya kisasa ya 3D Design yenye lengo la kuwajengea wanafunzi wa Kitanzania ujuzi wa kisasa katika fani za uhandisi na ubunifu. Uzinduzi huo umefanyika Mei 23, mwaka huu, na umeashiria kukamilika kwa…

Read More

Mabaraza ya Habari Afrika kukutana Arusha

Arusha. Tanzania inajiandaa kuwa mwenyeji wa mkutano wa pili wa mabaraza ya Habari Afrika 2025, ulioandaliwa na Mtandao wa Mabaraza Huru ya Habari Afrika (NIMCA) kwa kushirikiana na Baraza la Habari Tanzania (MCT). Mkutano huo wa siku tatu utaanza Julai 14 hadi 17,2025 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC), ambapo Makamu wa Rais,…

Read More

SERIKALI YAAGIZA KANISA LA UFUFUO NA UZIMA LIFUNGULIWE.

 Na Janeth Raphael MichuziTv  Waziri Mkuu,Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt Mwigulu Nchemba ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, huku akielekeza lipewe miezi sita ya uangalizi katika kuzingatia miiko, masharti na sheria za uendeshwaji wake. Sambamba na hilo, ameelekeza kurekebishwa kwa sharti linalotaka kufungiwa kwa nyumba ya ibada iwapo atakosea kiongozi, akisisitiza anayekosea…

Read More