Mikakati ya Arusha kuwasafisha ombaomba ndani ya miezi sita

Arusha. Serikali ya Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na wataalamu wa maendeleo ya jamii imeweka malengo ya kuwafuta ombaomba wote ndani ya Jiji la Arusha ndani ya miezi sita. Hatua hii inalenga kupunguza kero kwa watalii, wageni na wafanyabiashara jijini humo. Azimio hilo lilifikiwa katika Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika leo…

Read More

Yaliyojiri mzunguko wa 29 Ligi Kuu Bara

Yanga imekabidhiwa taji la ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa staili ya aina yake kwa kombe hilo kushushwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jana kwa chopa, tukio ambalo halikuwahi kufanyika katika ligi hiyo misimu iliyopita, huku ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tabora United. Tukio hilo hapana shaka ndilo lilikuwa likisubiriwa kwa hamu…

Read More

NIC yanadi bima ya kilimo Maonesho Nanenane

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Dodoma Shirika la Bima la Taifa (NIC) limewataka wakulima kulinda mazao yao kwa kuyakatia bima ya kilimo ili kujilinda dhidi ya majanga mbalimbali. Shirika hilo linaanza kulinda kilimo kwenye shamba la kuanzia hekta 100 ambapo wakulima wadogo wanaweza kuungana katika vikundi au kupitia vyama vya msingi ili kupata hekta hizo…

Read More

Majaliwa ataja mbinu kukabili ukosefu wa ajira

Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema somo la biashara litakuwa ni lazima kwa wanafunzi wote kuanzia mwaka wa masomo 2025/26,  kwa lengo la kujenga kizazi chenye kufikiri kwa mrengo wa kibiashara zaidi. Amesema hayo leo Ijumaa Novemba 22, 2024 alipofungua kongamano la tano la maendeleo ya biashara na uchumi lililoandaliwa na Chuo cha Elimu ya…

Read More

Machafuko yaendelea Ukingo wa Magharibi – DW – 07.01.2025

Jeshi la Israel limesema ndege yake ya kivita iliwalenga magaidi katika eneo la Tamun la Bonde la Jordan. Shambulizi hilo la Israel kwenye Ukingo wa Magharibi limetokea baada ya Waisrael watatu kuuawa na watu wengine wanane kujeruhiwa katika shambulizi lililotokea kaskazini mwa Ukingo huo. Vyombo vya habari viliripoti kuwa mshambuliaji wa Kipalestina alilifyatulia risasi basi…

Read More

UN tayari kusaidia Nepal kufuatia maandamano mabaya juu ya marufuku ya media ya kijamii – maswala ya ulimwengu

Polisi walitumia gesi ya machozi na kufungua moto kwa waandamanaji kujaribu kujaribu kutikisa Bunge katika mji mkuu, Kathmandu, kulingana na ripoti za vyombo vya habari. Kutengwa kwa watu kumewekwa katika sehemu za jiji na Rupandehi, na vizuizi kwa harakati zenye ufanisi katika Pokhara. ‘Kwa hivyo tofauti na Nepal’ Mratibu wa mkazi wa UN, Hanaa Fikry…

Read More

Wasota kwa saa nne kusubiri karatasi za kupigia kura

Malinyi. Baadhi ya wananchi walijitokeza kupiga kura katika kituo cha Makerere, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi, mkoani Morogoro, wamelazimika kusubiri hadi saa nne asubuhi bila kupiga kura, kutokana na ukosefu wa karatasi za kupigia kura. Msimamizi wa uchaguzi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Malinyi, Khamis Katimba amesema changamoto hiyo ilitokea mapema leo asubuhi…

Read More