Mkuu wa Msaada wa UN anakaribisha maendeleo kuelekea utapeli wa miezi mitatu-maswala ya ulimwengu

“Karibu maendeleo kutoka Misri, Saudi Arabia, UAE na Amerika kuelekea haraka inahitajika kwa haraka miezi 3 ya kibinadamu huko Sudani,” Bwana Fletcher aliandika kwenye vyombo vya habari vya kijamii. “Tunasimama tayari kutoa,” akaongeza. “Ufikiaji salama, usio na dhamana ni muhimu.” Taarifa ya pamoja iliyotolewa na nchi hizo nne inakuja wakati wa Sudan Mgogoro wa Spiraling…

Read More

Taifa Stars mambo yake ni magumu

Taifa Stars imepoteza matumaini ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026, baada ya kulala kwa bao 1-0 dhidi ya Niger kwenye mchezo uliopigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar. Stars ilikuwa inatakiwa kuhakikisha inapata ushindi kwenye mchezo huu ili kufikisha pointi 13 ambazo zingefufua matumaini yake ya kucheza hatua ya mchujo wa michuano hiyo,…

Read More

Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar

Ni sahihi kusema hakuna unyonge! Simba imemaliza uteja wa kupoteza michezo mitano dhidi ya Yanga baada ya kulazimisha suluhu kwenye mchezo mkali wa Dabi ya Kariakoo uliopigwa kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar. Huu ulikuwa mchezo wa kwanza Simba wanaitawala Yanga kwa dakika nyingi katika michezo ya hivi karibuni, huku ikiwatumia wachezaji wake wapya, Libase Gueye,…

Read More