AKU’s F4L Project Transforms Education in Tanzania

*Revolutionizing primary education in Tanzania, one teacher at a time *A three-year journey to revolutionize primary education has culminated in a powerful success story. By Reporter The Aga Khan University’s Institute for Educational Development, East Africa (IED, EA) recently celebrated the conclusion of its groundbreaking Foundations for Learning (F4L) project (2022-2025), a pivotal initiative aimed…

Read More

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA JUKWAA LA BIASHARA NA UWEKEZAJI KATI YA TANZANIA NA MAREKANI

…………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania ipo tayari kufanya kazi kwa karibu na jumuiya ya wafanyabiashara wa Marekani pamoja na kuwezesha uwekezaji kupitia sheria zilizofanyiwa marekebisho, miundombinu iliyoboreshwa, na uchumi huria.   Makamu wa Rais amesema hayo wakati akifungua Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kati…

Read More

Lissu aomba kuirahisishia kazi Jamhuri ushahidi wa kesi yake

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameiomba Jamhuri isihangaike kuwaita mashahidi kuthibitisha baadhi ya vielelezo vya ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili, akisema kuwa hana shida navyo. Lissu amewasilisha ombi hilo mahakamani baada ya kusomewa shtaka la uhaini linalomkabili na kujibu, kisha akasomewa maelezo ya awali ya kesi…

Read More

Moto wateketeza ghorofa Kariakoo, wafanyabiashara wahaha

Dar es Salaam. Moto mkubwa uliozuka leo Jumatatu Septemba 22, 2025, katika jengo la ghorofa saba lililopo Mtaa wa Narung’ombe, Kariakoo, umesababisha taharuki kubwa miongoni mwa wafanyabiashara na wamiliki wa stoo zilizohifadhi bidhaa mbalimbali. Moto huo ulianza saa 10 jioni baada ya wafanyabiashara kushuhudia moshi ukitokea katika ghorofa lililokuwa na shehena ya bidhaa. Miongoni mwa…

Read More