MAUREEN SIZYA AENDELEA KUIPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA

MTANZANIA Maureen Sizya amekuwa mmoja wa makocha wasaidizi ambao wameteuliwa kushiriki katika Kampeni ya BAL4HER ambayo ni mradi wa BAL Afrika unaolenga kuibua, kuendeleza, na kuwawezesha wanawake wa Kiafrika katika nyanja ya uongozi wa michezo. Kupitia mpango huo, makocha wanawake huchaguliwa kutoka nchi mbalimbali za Afrika ili kupata mafunzo, uzoefu wa kitaalamu, na fursa za…

Read More

UDSM YAWAALIKA WADAU KATIKA MAONESHO YA WIKI YA UTAFITI NA UBUNIFU MSIMU WA 9 YATAKAYOFANYIKA JUNI 5-7, 2024

    Chuo Kikuu cha Dar es Salaam- UDSM kinakualika katika maonesho ya wiki ya Utafiti na Ubunifu msimu wa 9 – 2024 yatakayofanyika 5 -7, June 2024 katika ukumbi wa Maktaba Mpya.   Akizungumza katika Ukaribisho huo, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Utafiti, Profesa Nelson Boniface amesema mwaka huu wamejipanga vyema hivyo washiriki wajitokeze…

Read More

Putin asifu kasi ya vikosi vyake dhidi ya Ukraine – DW – 02.09.2024

Akiwahutubia wanafunzi katika hafla iliyooneshwa kupitia televisheni katika jimbo la Siberia nchini Urusi, Putin alisema kuwa jaribio la Ukraine la kusitisha kusonga mbele kwa vikosi vya Urusi katika eneo la Donbass kwa kufanya mashambulizi katika eneo la Kursk halijapata ufanisi. Urusi yaishambulia Ukraine usiku kucha Putin amesema hayo saa chache baada ya Urusi kuishambulia Ukraine…

Read More

Utamu, uchungu mgawanyo wa majimbo

Dar es Salaam. Utamu na uchungu, ndiyo maneno mafupi yanayoakisi kilichoelezwa na wadau wa siasa kuhusu matokeo ya uamuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kugawanya majimbo. Mgawanyo huo umesababisha kuzaliwa kwa majimbo mapya manane ya uchaguzi na hivyo, kufanya uchaguzi wa baadaye mwaka huu uhusishe jumla ya majimbo 272, Tanzania Bara na…

Read More

Aucho ataja kilichoibeba Yanga msimu huu 2023/2024

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Khalid Aucho amezungumzia jinsi majeraha yalivyompunguzia kasi ya kupambana msimu huu (2023/24), hata hivyo kilichompa faraja ni timu hiyo kunyakua taji la ubingwa mara tatu mfululizo. Aucho ambaye amechukua ubingwa mara mbili akiwa na Yanga aliyojiunga nayo msimu wa 2021/22 akitokea El Makkasa, alisema kuna kitu kimeongezeka kwenye karia yake, tangu…

Read More

Serikali ya Awamu ya tano ilivyofuta ufalme wa Manji

Dar es Salaam. Mfanyabiashara maarufu Tanzania, Yusuf Manji (49) amezikwa jana Florida nchini Marekani, akiacha historia ya kuwa miongoni mwa wawekezaji wakubwa waliowahi kutokea nchini. Heshima na jina lake, lisingekuwa kitu kipya katika masikio ya Watanzania wengi nyakati hizo, hiyo ilitokana na utajiri wake, kadhalika kujihusisha kwake na uwekezaji katika mpira wa maguu. Manji aliyefariki…

Read More

Matatizo ya ‘automatic gearbox’ yanatibika, soma hapa

Watu wengi wanaokumbana na matatizo kwenye Automatic gearbox huishia kubadili ‘gearbox’ zao. Mfano wa matatizo hayo ni ‘gearbox’ inagoma kupokea gia au inachelewa kubadili, injini kuendelea kuzunguka katika RPM kubwa hata baada ya kukanyaga breki, ‘gearbox’ kukwama katika ‘Neutral’. Mengine ni kutopata vizuri gia ya kurudisha gari nyuma (reverse gear), mtikisiko wakati wa kubadili gia…

Read More