Mwenyekiti mstaafu CCM Moshi Mjini, Alhaj Shamba Afariki dunia
Moshi. Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Moshi Mjini, Alhaj Omar Shamba, amefariki dunia ghafla leo Septemba 22, 2025 akiwa nyumbani kwake. Alhaj Shamba aliwahi kuhudumu kama Mwenyekiti wa CCM Moshi Mjini kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka 2017 hadi 2022, ambapo alishindwa kutetea nafasi hiyo na kuchukuliwa na Mwenyekiti wa…