Geita, Mwanza waongoza kwa mbwa
Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti amesema taarifa ya sampuli ya sensa ya kilimo, mifugo na uvuvi iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) mwaka 2020, ilikadiriwa Tanzania inao mbwa 2,776,918. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea). Aidha, kupitia taarifa hiyo amesema mikoa iliyoongoza kwa mbwa wengi ni Geita (302,879), Mwanza (287,270) na Tabora…