Geita, Mwanza waongoza kwa mbwa

Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti amesema taarifa ya sampuli ya sensa ya kilimo, mifugo na uvuvi iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) mwaka 2020, ilikadiriwa Tanzania inao mbwa 2,776,918.  Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea). Aidha, kupitia taarifa hiyo amesema mikoa iliyoongoza kwa mbwa wengi ni Geita (302,879), Mwanza (287,270) na Tabora…

Read More

Ushindi Mnono Unakungoja na Meridianbet Leo

MECHI za kufuzu Kombe la Dunia 2026 bado zinaendelea na wewe leo hii una nafasi ya kushinda pesa kibao kabisa. Meridianbet inakwambia hivi tandika jamvi lako la ushindi sasa na uibuke Milionea sasa. Vinara wa Kundi D, France watakuwa ugenini kusaka ushindi dhidi ya Azerbaijan ambao mpaka sasa wana pointi 1 pekee huku wakiwa nyuma…

Read More

RC Mtanda awakana polisi kukamatwa makada Chadema

Mwanza. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema hakutoa amri ya kukamatwa makada 20 wa Chadema waliokwenda kuonana naye kupata mrejesho wa uchunguzi wa kupotea kwa Katibu wa Baraza la Vijana wa chama hicho (Bavicha), Amani Manengelo. Makada hao wa Chadema wamekamatwa kwa muda leo Jumatano, Februari 26, 2025 saa tatu asubuhi wakati wakielekea…

Read More

Ni zamu ya Ali Maua Kijitonyama

Leo imekua zamu ya Ali Maua Kijitonyama kufikiwa na kampuni ya Meridianbet ambapo wameendelea kufanya ambayo wamekua wakiyafanya mara kwa mara ambapo wamefanikiwa kutoa msaada kwa jamii. Meridianbet wamefanikiwa kufika eneo la Kijitonyama Ali Maua leo na kutoa msaada kwafamilia mbalimbali ambazo zinapitia changamoto mbalimbali na zisizojiweza, Hii inaendeleakuonesha namna mabingwa hao wa kubashiri wanavyoijali…

Read More

Sh750 milioni zatengwa kuwapa mitaji wakulima wadogo wa shayiri

Dar es Salaam. CRDB Bank Foundation (CBF) imetenga kitita cha Sh750 milioni ili kuwapa mitaji wezeshi wakulima wadogo wa shayiri kwenye mikoa ya Kaskazini. CBF imebainisha hayo hivi karibuni wakati wa kusaini mkataba wa makubaliano (MoU) na kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) kwa ajili ya ushirikiano unaolenga kuwawezesha wakulima wadogowadogo wa zao hilo. Mkurugenzi…

Read More

PUMA ENERGY TANZANIA YACHANGIA MITUNGI YA GESI KATIKA SHUGHULI ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU WILAYANI CHALINZE

Puma Energy Tanzania inaendelea kushirikiana na serikali katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ambapo imeshiriki katika hafla ya Mbio za Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Chalinze zilizofanyika jana mkoani Pwani. Mkuu wa Kitengo wa Gesi ya PumaGas Bw. Jeffrey Nasser alikabidhi mitungi ya gesi kwa Mkuu wa Wilaya ya Chalinze Mhe. Shaibu…

Read More

Tatizo la afya ya akili linavyovaliwa njuga

Dar es Salaam. Tatizo la afya ya akili limekuwa likiongezeka kwa kasi, huku sababu mbalimbali zikitajwa kuchangia changamoto hiyo. Kwa kutambua uzito wa suala hili, Benki ya Exim Tanzania imeanzisha tamasha maalum litakalosaidia kutatua changamoto hii. Tamasha hilo, linalojulikana kama Exim Bima Festival 2024, lenye kaulimbiu “Amsha Matumaini”, litafanyika tarehe 28 Septemba 2024 katika viwanja…

Read More