Mtibwa Sugar shida iko hapa

MABINGWA wa zamani wa Tanzania, Mtibwa Sugar imeanza vibaya Ligi Kuu Bara kwa kufungwa bao 1-0 na Mashujaa mjini Kigoma, huku kocha wa kikosi hicho, Awadh Juma ‘Maniche’ ametaja sababu za kupoteza alama tatu, akiwataja washambuliaji. Mtibwa iliyorejea katika ligi hiyo baada ya kupanda daraja msimu huu tangu iliposhuka msimu wa 2023-2024 kwa kucheza Ligi…

Read More

Fadlu atambulishwa Raja Club Athletic, Simba yamshukuru

Klabu ya Raja Club Athletic imetangaza kufanya mabadiliko katika benchi lake la ufundi. Katika taarifa yake waliyoichapisha kwenye mtandao wa kijamii imesema “Kulingana na mapendekezo ya Mkurugenzi wa Michezo na tathmini ya jumla iliyofanywa na Kamati ya Michezo kuhusu awamu ya maandalizi ya msimu huu, pamoja na mechi rasmi za kwanza, Raja Club Athletic inatangaza…

Read More

Fadlu amaliza utata, aiaga Simba akimtaja Mo Dewji

Hatimaye aliyekuwa Kocha wa Simba, Fadlu Davids ameaga rasmi baada ya tetesi kusambaa katika mitandao ya kijamii na kutoonekana kwake timu ikirudi kutoka Botswana ilipokwenda kucheza dhidi ya Gaborone United mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Kupitia ujumbe alioandika kocha huyo katika ukurasa wake wa Instagram unakamilisha tetesi za kuondoka kwake klabuni hapo na kuwa…

Read More

Rais Samia aendelea kupaisha utalii tiba nchini

-Globalmedicare yapongezwa kwa uratibu mzuri Na Mwandishi Wetu MADAKTARI bingwa wa hospitali tano nchini wanatarajiwa kufanya kambi ya wiki moja nchini Comoro ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan alilotoa wakati wa ziara yake visiwani humo. Hospitali tano zitakazoshiriki kambi ya mwaka huu ni Benjamin Mkapa ya mkoani Dodoma, Hospitali ya Moyo…

Read More

TADB YACHOCHEA MAENDELEO YA KILIMO NA UFUGAJI KIGOMA

Na Mwandishi wetu Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imewezesha  ujenzi wa Kiwanda cha Kuku wa mayai cha Mayai Ltd kinachomilikiwa na Bw. Rupinder Sandhu kimejengwa katika kijiji cha  Kimbwela, kata ya simbo, Mkoani Kigoma. Akizungumzia Kiwanda hicho, Afisa Maendeleo ya Biashara toka  TADB Bwana Patrick D. Kapungu amesema Kiwanda hicho ni kikubwa katika…

Read More

DK.SAMIA AANIKA MKAKATI WA KUUFANYA MKOA WA RUVUMA KUWA KITOVU CHA BIASHARA KWA UKANDA MIKOA YA KUSINI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruvuma MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema katika miaka mitano ijayo Serikali inakwenda kuufungua mkoa wa Ruvuma kuwa kitovu lakini pia ukanda mzima wa kusini (Ruvuma, Mtwara na Lindi) kuwa ukanda wa biashara. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa wa Mji wa Songea mkoani Ruvuma…

Read More

Benki ya NBC ‘Yawanoa’ wafanyabiashara Tanzania – Afrika Kusini kuhusu Masoko ya Fedha za Kigeni

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa elimu maalum kwa wafanyabiashara baina ya Tanzania na Afrika Kusini kuhusu masoko ya fedha za kigeni sambamba na muelekeo wa hali ya kiuchumi hususani nchini Tanzania. Hatua hiyo ililenga kuwajengea uwezo na ufanisi zaidi wafanyabiashara hao utakaowasaidia kufanya uamuzi sahihi kwenye masuala yanayohusu manunuzi ya fedha hizo na…

Read More