Mtibwa Sugar shida iko hapa
MABINGWA wa zamani wa Tanzania, Mtibwa Sugar imeanza vibaya Ligi Kuu Bara kwa kufungwa bao 1-0 na Mashujaa mjini Kigoma, huku kocha wa kikosi hicho, Awadh Juma ‘Maniche’ ametaja sababu za kupoteza alama tatu, akiwataja washambuliaji. Mtibwa iliyorejea katika ligi hiyo baada ya kupanda daraja msimu huu tangu iliposhuka msimu wa 2023-2024 kwa kucheza Ligi…