CM YAMG’OA KIGOGO UWANJA WA MKWAKWANI

Na Oscar Assenga,TANGA KAMATI ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga imeagiza kusimamishwa kazi Meneja wa Uwanja wa Mkwakwani Akida Machai kutokana na mapungufu mbalimbali yaliyobainika wakati wa ziara ya kamati hiyo kwa ajili ya kujionekana maendeleo yake. Akizungumza kuhusu maamuzi hayo ,Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Rajab Abdurhaman ambapo alisema…

Read More

Magari Yaponea Chupu Chupu Baada ya Barabara Kupasuka!

Global Publishers February 26, 2026 0 Comments Magari mawili  yameponea chupuchupu  kuzama kwenye shimo kubwa lililofunguka ghafla kwenye makutano ya barabara katika Jimbo la Nebraska, Marekani, Februari 24. Kwa mujibu wa video ya kamera ya trafiki, magari hayo yalikuwa yamesimama kwa utulivu yakisubiri taa za kuongozea magari zibadilike. Hata hivyo, bila dalili yoyote ya hatari,…

Read More

Simba, Yanga zitakavyonogesha Kombe la Muungano 2026

WAKATI za Yanga na Simba zikiwa miongoni mwa timu shiriki za Kombe La Muungano 2026, imeelezwa uwepo wao utaleta ushindani na kuongeza hadhi kwa mashindano hayo. Akizungumza na Mwanaspoti, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), Hussein Ahmada Vuai alisema ushiriki wa timu hizo utazidi kuleta hamasa kwa mashabiki kufika viwanjani kushuhudia burudani…

Read More

Chama cha mawakili wa Serikali, TLS ngoma nzito

Dar es Salaam. Chama cha Mawakili wa Serikali (PBA) kimetoa wito kwa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kuzingatia maadili ya taaluma ya sheria na misingi ya ueledi katika kushughulikia changamoto zinazowakabili wanachama wake. Hii ni kufuatia tamko la TLS linalowataka wanachama wake kusitisha kushiriki katika utoaji wa msaada wa kisheria, kama njia ya kushinikiza hatua…

Read More

Vodacom Tanzania Yazindua Ripoti ya ESG, Ikitia Mkazo Mazingira, Jamii na Utawala Bora

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (kulia), akikata utepe kuzindua Ripoti ya ESG yenye kaulimbiu “Connecting for Good: People, Planet and Possibilities”, huku akishuhudiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Philip Besiimire. Ripoti hiyo inaonesha mchango wa teknolojia na huduma za mawasiliano katika kubadilisha maisha ya watu, kuongeza…

Read More