Anayedaiwa kusafirisha vinyonga 164, amwangukia DPP

Dar es Salaam. Mshtakiwa, Eric Ayo anayedaiwa kusafirisha vinyonga 164, nyoka na mijusi,  amemwandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) akiomba kufanya majadiliano ya kukiri makosa yake na apunguziwe adhabu. Ayo na wenzake wawili wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 23/2021 yenye mashtaka matatu yakiwamo ya kuongoza genge la uhalifu na kusafirisha nyara za…

Read More

Watuhumiwa wa Mauaji ya Shyrose Mabula Wauawa na Polisi Mbeya – Video – Global Publishers

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, limetoa taarifa kuwa watuhumiwa watatu waliokuwa wakituhumiwa kumteka kisha kumuua Shyrose Mabula, mwanafunzi wa Shahada ya Sheria Chuo Kikuu cha Mzumbe, Tawi la Mbeya, Shyrose Mahande (21), wameuawa wakati wakijaribu kupambana na polisi wakati wa ukamataji wao. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, amewataja waliouawa kuwa ni Marwa Nyahega,…

Read More

Sh1.08 trilioni kusaidia utekelezaji uchumi wa buluu

Dar es Salaam. Ili kuongeza mchango wa uchumi wa buluu katika pato la Taifa, Umoja wa Ulaya umetoa zaidi ya Sh1.08 trilioni kwa benki za biashara nchini ili zikopeshwe kwa makundi yaliyopo katika mnyororo wa thamani wa sekta hiyo. Fedha hizo, zilizotolewa na Benki ya Uwekezaji ya Ulaya (EIB), tayari zinatolewa kupitia benki za CRDB,…

Read More

Waislamu nchini watakiwa kulinda amani, kuepuka matamanio

Dodoma. Waislamu nchini wametakiwa kudumisha amani na utulivu huku wakisisitizwa kujiepusha na tabia ya kuchanganya masuala ya dini na matamanio yao binafsi. Wito huo umetolewa leo Jumamosi, Machi 21, 2026 na Sheikh Omar Itara wakati akitoa mawaidha katika Swala ya Idd El-Fitri iliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma. Akizungumza mbele ya waumini, Shekhe Itara…

Read More