Mvua Yazuia Mechi ya TRA United vs Simba SC Jijini Arusha
Global Publishers March 14, 2026 0 Comments MECHI ya TRA United vs Simba iliyotarajiwa kuchezwa leo Machi 14,2026 imeahirishwa kutokana na Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kujaa maji. Kwa mujibu wa Kamishna wa mchezo kati ya TRA United vs Simba SC mechi namba namba 7, Mussa Nyamandege amebainisha kuwa pande zote mbili zimeridhia maamuzi hayo….