SGA SECURITY YASHINDA TUZO YA CHAGUO LA MTUMIAJI 2025

KAMPUNI  ya Ulinzi ya SGA Security imetajwa tena kuwa miongoni mwa watoa huduma za usalama wanaoaminika zaidi barani Afrika, baada ya kushinda Tuzo ya Chaguo la Mtumiaji kwa mwaka 2025 (Consumer Choice Awards Africa 2025). Tuzo hiyo ilitangazwa kwenye tamasha la mwaka la utoaji wa tuzo hizo lililofanyika katika Ukumbi wa SuperDome, Masaki, jijini Dar…

Read More

Kipa Mtibwa awapiga mkwara Camara, Diarra

SAA chache baada ya kuiwezesha Mtibwa Sugar kupanda daraja na kunyakua ubingwa wa Ligi ya Championship, kipa Costantine Malimi amesema kwa sasa ameiva na yuko tayari kwa mikikimikiki ya Ligi Kuu Bara na kuonyesha ushindani dhidi ya Moussa Camara wa Simba na Djigui Diarra wa Yanga. Malimi amekuwa mhimili mkubwa kwenye mafanikio ya Mtibwa Sugar…

Read More

PICHA :Mazishi ya Jenerali mstaafu David Musuguri nyumbani kwake katika Kijiji cha Butiama

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dotto Biteko amewaongoza wananchi na waombolezaji katika mazishi ya  Jenerali mstaafu David Musuguri nyumbani kwake katika Kijiji cha Butiama, wilaya Butiama mkoani Mara Biteko ambaye amemwakilisha Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza waombolezaji wakiwemo viongozi wa Serikali na Wanasiasa katika tukio hilo lililoendeshwa kwa taratibu za…

Read More

Zifahamu ndoa za sogea tuishi, mikasa yake

Unazijua ndoa za sogea tuishi.Ndoa hizi ziko hivi, yoyote kati ya mwanamke au mwanaume anahamia kwa mwenzie na kuanza kuishi kinyumba bila kufuata taratibu za kisheria au kidini za ndoa. Wapo wanaoishi miaka hadi 20 majirani zao wakijua ni mke na mume, wanazaa watoto na wengine kupata hadi wajukuu bila kufunga ndoa halali inayotambulika. Baadhi…

Read More

Gachagua amtaka bosi wa Usalama ajiuzulu

Nairobi. Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua amemtaka Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa hilo, Noordin Haji ajiuzulu kutokana na kushindwa kumshauri Rais William Ruto vizuri kuhusu sakata la maandamano ya Gen Z. Gachagua amesema kama bosi huyo wa Usalama angemfahamisha vyema Rais Ruto kuhusu ukubwa wa maandamano hayo, maandamano yasingetokea na wala yasingefika huko. “Habari…

Read More