Macho na masikio yako hapa bajeti ikisomwa leo

Wabunge wameeleza matarajio yao katika bajeti ya Serikali ya lala salama kabla ya kuvunjwa kwa Bunge la 12 huku wengine wakionesha hofu ya kusuasua kwa upelekwaji wa fedha za maendeleo. Machi 11,2025, Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba aliwasilisha Mwelekeo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2025/26 huku ikionyesha ongezeko la asilimia 13, ikikua kutoka…

Read More

Asasi za Kiraia katika Fedha katika Mkutano wa Kawaida zinahitaji maendeleo ya jamii inayoongozwa na jamii, usawa, na haki za binadamu-maswala ya ulimwengu

Asasi za Kiraia na Viongozi wa Jamii katika Fedha katika Mkutano wa Kawaida 2023. Mikopo: Sebastian Barros/Forus Maoni na Lorena Cotza (Cape Town, Afrika Kusini) Jumatatu, Februari 24, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Cape Town, Afrika Kusini, Februari 24 (IPS) – Kama benki za maendeleo ya umma zinavyokusanyika kwa Fedha katika Mkutano wa Kawaida…

Read More

Mitihani migumu aliyopitia Waziri Stergomena Tax

Dar es Salaam. Pengine kila anayeonekana na mafanikio leo, zipo nyakati ngumu alizopitia jana ambazo kama si kuvaa kibwebwe asingeupata umaarufu alionao. Katika hili, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Stergomena Tax ni kielelezo sahihi; anayesimulia magumu aliyowahi kupitia katika safari yake ya kuisaka elimu. Kwa mujibu wa waziri huyo ambaye ni…

Read More

Straika wa mabao yupo yupo tu

BAADA ya kupandisha timu Ligi Kuu na kuibuka mfungaji bora winga wa Ken Gold, William Edgar amesema bado hajajua hatma yake kubaki au kuondoka kikosini humo msimu ujao. Nyota huyo aliandika historia ya kuwa mchezaji wa kwanza aliyefunga idadi kubwa ya mabao (21) lakini ikiwa mara ya pili kupandisha timu Ligi Kuu, akifanya hivyo 2021/22…

Read More

Wanafunzi TUSIIME kufundishwa program za kompyuta kuanzia msingi hadi sekondari

   Na Mwandishi Wetu KATIKA jitihada za kuendana na mtaala mpya wa elimu uliozinduliwa hivi karibuni na Serikali, unaojumuisha Mahili 11 yanayolenga kuendeleza ujuzi na stadi kwa wanafunzi, shule za Tusiime zimechagua program za Kompyuta kama kipaumbele chao. “Tukiwa na dira ya kuandaa wanafunzi kwa maisha ya kesho yanayotawaliwa na teknolojia, hususan katika zama hizi…

Read More

Ditram Nchimbi apewa miezi sita Mbeya City

MSHAMBULIAJI nyota wa zamani wa Majimaji, Yanga, Polisi Tanzania na Taifa Stars, Ditram Nchimbi amejiunga na Mbeya Kwanza inayoshiriki Ligi ya Championship kwa mkataba wa miezi sita hadi mwisho wa msimu huu. Nchimbi amejiunga na Mbeya Kwanza baada ya kuikacha Biashara United kutokana na timu hiyo kukabiliwa na ukata. Mbeya Kwanza katika Championship msimu huu…

Read More

NDERIANANGA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO KATIKA MKUTANO WA TATU WA KIMATAIFA WA WATU WENYE ULEMAVU UJERUMANI

****** NA. MWANDISHI WETU BERLIN, UJERUMANI 03 APRILI, 2025 Matukio katika picha Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga ametembelea na kujionesha shughuli zinazotekelezwa na taasisi mbalimbali kuhusu Afa za Watu wenye Ulemavu Duniani wakati wa maonesho yanayoendelea katika Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Watu wenye Ulemavu (Third…

Read More

KONA YA MALOTO: Mawakili TLS wamechagua kuiweka siasa juu ya taaluma yao

Jumuiya ya Wanasheria Tanganyika (TLS), ilipata viongozi wake Ijumaa, Agosti 2, 2024. Wakili Boniface Mwabukusi, alichaguliwa kuwa Rais wa TLS kwa muhula wa miaka mitatu. Alimshinda mpinzani wake wa karibu, Sweetbert Nkuba. Wengine ambao Mwabukusi aliwashinda ni Revocutus Kuuli, Ibrahim Bendera, Paul Kaunda na Emmanuel Muga. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye Ukumbi wa CCM Jakaya Kikwete,…

Read More