WAFANYABIASHARA WA MADINI WAHIMIZWA KUTUMIA VIPIMO SAHIHI

GEITA Meneja wa Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Geita Bi. Eva Ikula amewatakawafanyabiashara wa madini mkoani humo kuzingatia matumizi ya vipimo sahihikatika biashara yao ili kuhakikisha kunakuwa na usawa kwa pande zotezinazohusika na kuepusha upande wowote kupunjika. Ametoa wito huo Septemba 25, 2025 alipozungumza na waandishi wa habarikatika maonesho ya kimataifa ya teknolojia ya…

Read More

Kachwele aanza na kishindo Marekani

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Cyprian Kachwele anayekipiga Whitecaps FC 2 amesema amekuwa na wakati mzuri tangu alipotoka kwenye kipindi cha kuuguza majeraha ya nyama za paja mwezi Juni mwaka huu. Kinda huyo wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ aliyewahi kupita timu ya vijana ya Azam FC, huu ni msimu wake wa pili Marekani na uliopita akiwa…

Read More

Vita vya Ghuba ‘havijadhibitiwa’, Guterres aonya, wakati Umoja wa Mataifa ukimteua mjumbe kusukuma amani – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza nje ya Umoja wa Mataifa Baraza la Usalama mjini New York kwa waandishi wa habari siku ya Jumatano, Bw. Guterres alisema mzozo huo umeongezeka zaidi ya vile viongozi walivyotarajia. “Ulimwengu unatazama chini pipa la vita pana zaidi, wimbi linaloongezeka la mateso ya wanadamu, na mshtuko mkubwa wa kiuchumi wa kimataifa.,” akasema, akiongeza kwa uwazi:…

Read More

Fursa ya Beti za Bure kwenye Non-Stop Win&Go Drop

KWA wapenzi wote wa michezo ya kasino ya mtandaoni, hii ni habari inayopaswa kukuburudisha na kusisimua moyo wako kwani Meridianbet, kampuni namba moja ya kubashiri na kasino mtandaoni, imezindua promosheni kubwa ya Non-Stop Win&Go Drop, ikiwapa wateja wake nafasi ya kupata bonasi za beti za bure hadi 500 kila siku kwa hatua rahisi tu. Hii…

Read More

Dereva mbaroni kwa kusafirisha wahamiaji haramu

Njombe. Jeshi la polisi mkoa wa Njombe linamshikilia Sipha Credo Mgonde (47) ambaye ni dereva na mkazi wa Mbagala  jijini Dar es salaam kwa tuhuma za kusafirisha wahamiaji haramu ambao wanatajwa kuwa ni raia wa kigeni kutoka huko nchini Ethiopia. Dereva huyo amekamatwa katika Kijiji cha Mtewele kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe huko mkoani…

Read More