Mnyika Afichua Mapya Zuio la Chadema Mahakama ya Rufaa Dodoma
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika. Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, amesema mwenendo wa shauri la marejeo ya kesi ya mgawanyo wa mali za chama umeanza kufichua ukweli kuhusu tafsiri halisi ya amri ya zuio iliyotolewa Juni 10, 2025. Akizungumza baada ya kusikilizwa kwa…