Nusu watahiniwa wenye matokeo wapata daraja la nne, sifuri

Dar es Salaam. Wakati matokeo ya kidato cha nne 2025 yakionyesha kuongezeka kwa ufaulu kufikia asilimia 94. 98, nusu ya watahiniwa hao wamepata daraja la nne na sifuri. Kwa mujibu wa matokeo hayo yaliyotangazwa Januari 31, 2025 na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Profesa Said Mohamed watahiniwa takribani 271,216 sawa na asilimia…

Read More

Askari wapya JWTZ waonywa dhidi ya siasa, kamari na madeni

Msata, Pwani. Askari wapya wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliohitimu mafunzo Msata mkoani Pwani, wametakiwa kukiishi kiapo cha utii wakati wote watakapokuwa wakitekeleza majukumu yao katika sehemu mbalimbali watakazopangiwa. Katika hilo, wameaswa kutotenda mambo ambayo ni kinyume na taratibu za kijeshi, ikiwemo kutojihusisha na siasa, matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii,…

Read More

Shabiki Ampiga Ngumi Mangungu – Video

Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu jioni ya leo ameingia kwenye ‘kashkash’ baada ya shabiki wa Simba kutaka kumshushia kichapo.   Sekeseke hilo limetokea nje ya Dimba la Benjamin Mkapa baada ya kumalizika kwa mchezo kati ya Simba na Esperance de Tunis, Simba ikilazimishwa sare ya 2-2.   Askari na maafisa…

Read More

SAFARI ZA SGR KUSITISHWA PALE USALAMA UNAPOKUWA HATARINI

:::::::::: Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amewahakikishia Watanzania kuwa Serikali haitafanya mchezo na usalama wa abiria wanaotumia Reli ya Kisasa (SGR), huku akisisitiza kuwa uamuzi wa kusitisha safari nyakati za changamoto za kibiashara au kimazingira unalenga kulinda maisha ya watu. Akizungumza na waandishi wa habari katika mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma, February mosi,2026…

Read More