DKT. LAZARO BUNUNGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA PERAMIHO
Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Peramiho kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Lazaro Komba Bunungu, amechukua rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge katika jimbo hilo lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea. Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo, Dkt. Bunungu amesema amejiandaa kikamilifu kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Peramiho endapo atapewa…