Lukuvi Aacha Historia Nzito Tanzania – Huu Ndio Wasifu Wake

Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Vangimembe Lukuvi. Kifo cha William Vangimembe Lukuvi kimeacha pengo kubwa katika uongozi na jamii ya Tanzania, huku akitambulika kama mmoja wa viongozi waliotoa mchango mkubwa katika siasa na maendeleo ya taifa kwa miongo kadhaa. Maisha ya Awali na ElimuWilliam Lukuvi…

Read More

Bunge la 13 bila wakongwe

Dar es Salaam. Bunge la 13, limeendelea kupoteza wabunge wakongwe zaidi, baada ya kifo cha Mbunge wa Isimani (CCM), William Lukuvi, ikiwa ni miezi minne tangu pigo kama hilo, lilipoukuta muhimili huo muhimu kwa utunzi na usimamizi wa sheria. Lukuvi ambaye hadi anafariki dunia alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu…

Read More

Mwanasiasa Mkongwe William Lukuvi Afariki Dodoma – Video

Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, William Vangimembe Lukuvi enzi za uhai wake. Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, William Vangimembe Lukuvi, amefariki dunia asubuhi ya Machi 25, 2026 akiwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa alipokuwa akipatiwa matibabu. Kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Moses M. Kusiluka, Lukuvi…

Read More

Mafuriko yaathiri kaya zaidi ya 100 Kilombero

Kilombero. Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Dunstan Kyobya ameeleza kuwa zaidi ya kaya 100 zimeathirika na mafuriko huku miundombinu ya barabara ya Ifakara Mlimba katika eneo la Mbingu na Lumemo ikiharibika, kufuatia mvua kubwa zinazoendelea wilayani humo Akizungumza baada ya kutembelea kaya zilizokumbwa na mafuriko Kyobya amesema hadi sasa hakuna taarifa ya vifo vilivyotokana na…

Read More