NDIYO MILIONI 20 ZA HESLB ZITAKAVYOSAIDIA KUBORESHA MASOMO YA SAYANSI NCHINI

::::::: Na: Dkt. Reubeni Lumbagala, Tanga Juhudi zinazofanywa na serikali katika kuchochea maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla haziwezi kuzaa matunda kama hakutafanyika uwekezaji wa kutosha katika sekta ya elimu. Hii inatokana na ukweli kuwa maarifa, ujuzi na stadi mbalimbali ni nyenzo muhimu zinazoharakisha kufikiwa kwa malengo na mipango ya maendeleo. Kwa kuzingatia ukweli…

Read More

Taifa huru la Palestina lanukia Umoja wa Mataifa

Dar es Salaam. Dalili za uhuru wa Palestina zazidi kuonekana, kufuatia uungwaji mkono wa karibu mataifa 150, ikiwemo nchi nne zenye kura ya turufu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, ambazo sasa zimetambua rasmi taifa hilo. Chini ya Mkataba wa Montevideo wa mwaka 1933, kuna vigezo ili Palestina itambuliwe kuwa taifa huru chini…

Read More

Dproz yaja na jukwaa kuwasogezea vijana fursa za ajira

Dar es Salaam. Taasisi isiyo ya kiserikali ya Dproz imekuja na suluhisho la ajira kwa vijana kwa kuweka mfumo maalumu utakaowawezesha kupata taarifa kwenye soko la ajira nchini. Akizungumza mkurugenzi wa jukwaa la kidigitali la Dproz linalounganisha vipaji na nafasi za kazi nchini, Iddy Magohe amesema kufuatia changamoto hiyo ya ajira, wao wamekuja na suluhu….

Read More

Devota Minja: Chaumma italeta unafuu wa maisha kwa Watanzania

Arusha/Katavi. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devota Minja amesema anasikitishwa na ugumu wa maisha unaowakabili Watanzania ilhali Taifa limebarikiwa rasilimali nyingi. Akihutubia wananchi wa USA River kwenye mkutano wa kampeni sambamba na kukiombea kura chama chake leo Jumatatu Septemba 22, 2025 Jimbo la Arumeru Mashariki, Minja amesema haiwezekani wananchi…

Read More

Wanahabari watakiwa kutumia kalamu zao kuunganisha jamii

Dar es Salaam. Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imewataka waandishi wa habari nchini kujikita katika kuimarisha amani, utulivu na demokrasia kupitia kalamu zao ili taifa lipite kipindi hiki cha uchaguzi likiwa na amani. Wito huo umetolewa jana Septemba 22, 2025 na Katibu Mtendaji wa THBUB, Patience Ntwina wakati wa mafunzo maalumu…

Read More

Wachimbaji wadogo walivyozalisha dhahabu ya Sh3.4 trilioni

Geita. Serikali imesema sekta ya madini imechangia zaidi ya ajira 35,000 kwa vijana na wanawake huku kilo 22,000 za dhahabu yenye thamani ya zaidi ya Sh3.4 trilioni ikizalishwa na wachimbaji wadogo katika kipindi cha miaka minne iliyopita. Uzalishaji huo umechochewa kupitia fursa za maonyesho ya teknolojia ya madini yanayofanyika kila mwaka mkoani Geita. Katika kipindi…

Read More

AKU yaikosha Lindi mafunzo ya ualimu

Dar es Salaam. Uongozi wa Mkoa wa Lindi umesema mradi wa kuwafundisha wakufunzi umesaidia kuwajengea uwezo watendaji kuanzia ngazi elimu, kata, shule hadi halmashauri za mkoa huo. Mradi huo unaoitwa ‘Foundations for Learning’ ulikuwa unatekelezwa na Taasisi ya Maendeleo ya Elimu ya Chuo Kikuu cha Aga Khan, Afrika Mashariki (IED, EA) kuanzia mwaka 2022 hadi…

Read More