Jifunze mambo haya ukiwa bado shule au chuoni

Dar es Salaam.  “Mtaani” au “duniani” kama maneno yasiyo rasmi yanayotumika kumaanisha maisha baada ya shule au chuo, hufikiriwa kama mahali pa mtu kusubiri kuelekezwa nini cha kufanya. Ukweli ni tofauti. Dunia ni uwanja wa kutumia elimu yako kutatua matatizo ya jamii, siyo kusubiri maagizo. Iwe utaamua kujiajiri au kuajiriwa, kuna sifa ambazo ni za…

Read More

Ukame unavyozua hofu ya uhaba wa chakula nchini

Dar es Salaam. Tanzania inatabiriwa kukumbwa na hali ya ukame. Hali hiyo itaathiri uzalishaji wa chakula na kutishia kuliingiza Taifa katika uhaba wa chakula. Hiyo ni kwa mujibu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), iliyotabiri baadhi ya mikoa kukumbwa na mvua za chini ya wastani na wastani, na vipindi virefu vya ukavu. Mamlaka…

Read More

Kanuni mpya kitanzi kwa madereva zaja, wenyewe wasema…

Dar es Salaam. Ili kupunguza ajali za barabarani zinazotokana na uchovu wa madereva, Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) imekuja na kanuni zitakazowabana madereva wa magari ya kibiashara. Rasimu ya Kanuni za Usimamizi wa Hatari ya Uchovu kwa Madereva, 2025, inaweka wazi viwango vya saa za kuendesha kwa siku na kwa wiki, pamoja na…

Read More

Maofisa Uhamiaji watatu kunyongwa kwa mauaji

Kigoma. Yametimia! Ni maneno unayoweza kuyatumia kuelezea hukumu ya Mahakama Kuu kwa waliokuwa maofisa watatu wa Uhamiaji, kuhukumiwa adhabu ya kifo kwa kumuua Mtanzania waliyemshuku sio raia wa Tanzania. Waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa ni Fredrick Kyomo, Joachim Trathizius na Mabruki Hatibu ambao wamepatikana na hatia ya kumuua Enos Elias, ambaye ni mkazi wa Kakonko mkoani…

Read More

Rais Samia: Tusikubali jeshi kuchafuliwa

Dar es Salaam. Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan, amelitaka Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), kutokubali kuchafuliwa wala kumuacha au kumlinda mtu yeyote mwenye cheo kikubwa au kidogo kukigeuza chombo hicho kuwa cha mashinikizo ya siasa. Rais Samia amesema jeshi ni chombo tofauti na siasa, iwe Mwana-CCM, Mwana-Chadema au chama kingine…

Read More