Lukuvi Aacha Historia Nzito Tanzania – Huu Ndio Wasifu Wake
Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Vangimembe Lukuvi. Kifo cha William Vangimembe Lukuvi kimeacha pengo kubwa katika uongozi na jamii ya Tanzania, huku akitambulika kama mmoja wa viongozi waliotoa mchango mkubwa katika siasa na maendeleo ya taifa kwa miongo kadhaa. Maisha ya Awali na ElimuWilliam Lukuvi…