Dk. Biteko azitaka sekta zote nchini kusoma na kusimamia Sera Mpya ya Taifa ya Biashara
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, ametoa wito kwa sekta zote nchini kusoma na kusimamia Sera Mpya ya Taifa ya Biashara na kuifanyia kazi. Wito huo umetolewa leo, Julai 30, wakati wa uzinduzi wa sera hiyo mpya jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo ilihudhuriwa na mabalozi…