Hospitali ya Mount Meru kuwatibu wagonjwa majumbani

Arusha. Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru, itaanza kutoa huduma ya matibabu kwa kuwafuata nyumbani wenye magonjwa ya muda mrefu, magonjwa sugu kama saratani na wenye changamoto za kiharusi. Huduma hiyo ambayo inatarajia kuanza kutolewa Oktoba mwaka huu, tayari Serikali imewekeza zaidi ya Sh300 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa. Mganga Mfawidhi…

Read More

KAMPENI MPYA YA ‘ZIMA UKATILI, WASHA UPENDO’ YAZINDULIWA TANGA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA KWA WATOTO

Raisa Said,Tanga Kampeni ya miaka miwili iliyopewa jina la “Zima Ukatili, Washa Upendo” imezinduliwa jijini Tanga ili kukabiliana na ongezeko la matukio ya ukatili dhidi ya watoto kuanzia miaka sifuri kuendelea na ukatili wa kijinsia kwa ujumla jijini Tanga. Kampeni hiyo itakayo tekelezwa na Asasi iitwayo Tanga Youth Telents Association (TAYOTA) na kuungwa mkono na…

Read More

Utekaji kaa la moto Kenya, Waziri asimulia mwanawe alivyotekwa

Nairobi. Hali ya mambo nchini Kenya inaonekana kuendelea kuwa tata, baada ya Waziri wa Utumishi wa Umma, Justin Muturi kufichua hadharani jinsi mwanawe, Leslie Muturi alivyotekwa na namna Rais William Ruto alivyosaidia na kuhakikisha anachiliwa huru. Kwa mujibu wa Muturi, licha ya kujaribu kuwasiliana na viongozi wa vyombo vya usalama bila mafanikio, alilazimika kumuomba Rais…

Read More

Samia mgeni rasmi Siku ya Wanawake Duniani

Arusha. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, yatakayofanyika kitaifa Machi 8, 2025, mkoani Arusha. Hayo yamesemwa leo Ijumaa, Januari 24, 2025, na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, wakati wa hafla ya makabidhiano ya pikipiki zilizotolewa kwa Jeshi la Polisi ili kuimarisha usalama mkoani humo….

Read More

Serikali kuanzisha uchunguzi baada ya shambulio la Magdeburg – DW – 23.12.2024

  Mwanamume anayeshukiwa kulivurumisha gari lake katikati ya umati wa watu waliokuwa kwenye soko la Krismasi katika mji wa Magdeburg ulio Katikati mwa Ujerumani tayari amefikishwa mahakamani na anakabiliwa na mashtaka ya mauaji na kujaribu kuua, hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya polisi. Soma Zaidi: Ujerumani yachunguza maonyo kuhusu muuaji wa soko la Krismas Mshukiwa, Taleb…

Read More

Manufaa ya mafuta ya ubuyu kwa wenye kisukari

Mafuta ya ubuyu yanatokana na mbegu za matunda ya mti wa ubuyu. Mafuta haya yana thamani kubwa kiafya, hasa kwa wagonjwa wa kisukari. Mafuta ya ubuyu yanaweza kutumika kama sehemu ya lishe ya kila siku kwa kuchanganywa kwenye vyakula kama vile saladi, supu au mboga ili kuongeza virutubisho na ladha. Wagonjwa wa kisukari wanaweza kufaidika…

Read More