TFF yasubiriwa kuzirudisha Simba, Yanga Sokoine

BAADA ya kukosa uhondo wa Ligi Kuu Bara, huenda mashabiki wa soka jijini Mbeya wakaanza kushuhudia timu zao Mbeya City, Tanzania Prisons pindi ligi hiyo itakapoendelea baada ya uwanja wa Sokoine kufanyiwa maboresho. Pamoja na uongozi wa uwanja huo kuthibitisha kukamilika maboresho yake, inasubiriwa uamuzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Bodi…

Read More

Yanga yamficha winga mpya Avic

YANGA bado inapiga hesabu za kusajili winga wa maana na mezani kwao kuna mawinga wawili akiwemo Philipe Kunzumbi na Basiala Agee, lakini mmoja kati ya hao wawili akawahishwa kambi ya klabu hiyo ya Jangwani iliyopo Avic Town fasta akiwekewa mtego wa maana. Yanga ilimfungia safari Agee baada ya Rais wa klabu hiyo, Injinia Hersi Said…

Read More

DC MPOGOLO ATOA MAELEKEZO SIKU YA LISHE

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ameongoza maadhimisho ya Siku ya Lishe Duniani, ambayo kiwilaya yamefantika  katika viwanja vya Shule ya Msingi Majohe, huku akitoa maelekezo kadhaa. Akizungumza katika maadhimisho hayo, jijini Dar es Salaam,  DC Mpogolo, ameelekeza  chakula  kutolewa shuleni kuwa ni jambo lazima hivyo kuzitaka kamati za shule, maofisa elimu kata na…

Read More

Rais Mwinyi: Serikali zinaendelea kushughulikia changamoto za Muungano

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali zote za Tanzania na Zanzibar mbili zinaendelea kuchukua hatua mbalimbali kushughulikia na kupata ufumbuzi wa changamoto za Muungano zinazojitokeza. Amesema utatuzi wa changamoto hizo umezidi kujenga imani kubwa kwa wananchi kuhusu uimara wa Muungano huo. Kwa nyakati mbalimbali juhudi zimekuwa zikichukuliwa na Serikali ya Jamhuri ya…

Read More

Yanga Princess yaipa sita Ceasiaa Queens

CEASIAA Queens imesema pamoja na ugumu wa Ligi Kuu ya Wanawake, lakini kuifunga Yanga Princess nje na ndani imewapa kujiamini kuhakikisha msimu huu wanamaliza tatu bora. Timu hiyo ya mjini Iringa inashiriki ligi hiyo kwa msimu wa nne, ambapo mwaka huu imeonekana kuwa imara ikiwa imekusanya pointi 26 na kuwa nafasi ya tatu ikiachwa alama…

Read More

Sababu mauzo ya korosho kupaa

Dar es Salaam. Uongezaji wa thamani na kuongezeka kwa korosho zinazozalishwa kumetajwa kuwa sababu ya kupaa kwa mauzo ya zao hilo katika masoko ya nje. Mauzo ya korosho yalifikia Sh1.544 trilioni katika mwaka ulioishia Januari mwaka huu, ikiwa ni ongezeko kutoka Sh585.77 bilioni katika kipindi kama hicho mwaka uliotangulia, kwa mujibu wa ripoti ya hali…

Read More

Othman akomaa na ahadi ya kuimarisha demokrasia

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema endapo akishika madaraka Oktoba 29, mwaka huu atahakikisha anajenga demokrasia ili Wazanzibari wawe huru kuchagua na kuchaguliwa katika chaguzi huru. Amefafanua kuwa Serikali atakayoiunda itakomesha utaratibu wa viongozi kuchaguliwa kwa njia zisizo halali, hali inayosababisha Wazanzibari kupokwa haki yao ya kuchagua…

Read More