
VIVUTIO VYA UTALII 187 VYASAJILIWA KWENYE MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI (NaPA)
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (WHMTH) kwa kushirikiana na Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania-TANAPA, kupitia mradi wa Anwani za Makazi (NaPA) imefanikiwa kusajili anwani za makazi za vivutio vya utalii 187 na barabara zaidi ya 60 zinazopatikana ndani ya Hifadhi tatu zilizofanyiwa kazi. Katika zoezi hilo lililoendeshwa katika Hifadhi za Taifa…