Mwenge wa Uhuru kuzindua miradi ya Sh55 bilioni Rukwa

Rukwa. Mwenge wa Uhuru umepokewa  leo Jumapili Septemba 28, 2025 katika Kijiji cha Kizi, Kata ya Paramawe mkoani Rukwa ambako utakimbizwa kwa kilomita 653.1, huku ukizindua miradi saba ya maendeleo, kuwekea mawe ya msingi miradi 15 na kukagua mingine 12. Shughuli za mapokezi ya Mwenge huo ukitokea mkoani Katavi, zimehudhuriwa na viongozi wa Serikali, vyombo…

Read More

TEC yawapa onyo mapadri, watawa

Dar es Salaam. Kanisa Katoliki nchibni Tanzania limewapiga marufuku watawa, mapadri na waseminari kujihusisha na kampeni za uchaguzi za chama chochote cha siasa, wala kuvaa sare zao ili kulinda heshima na usafi wa kanisa hilo. Wito huo umetolewa leo Septemba 25, 2025 na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Wolfgang Pisa, wakati…

Read More

NMB yatoa fursa ya mkopo hadi Sh500 bilioni kwa mteja mmoja

Dar es Salaam. Benki ya NMB imesema ina uwezo wa kumkopesha mteja mmoja zaidi ya Sh500 bilioni kwa ajili ya kuendeleza shughuli za biashara na uzalishaji ikiwamo kilimo, mifugo, viwanda na madini, kutokana na ukuaji wa mtaji wake. Mikopo hiyo inalenga kuwasaidia wateja kuongeza uzalishaji na hutolewa kupitia suluhu mbalimbali za kifedha kulingana na mahitaji…

Read More

Watu wawili wafariki ajali ya basi na lori Shinyanga

Shinyanga. Madereva wawili wa Fuso na basi aina ya Tata wamepoteza maisha katika ajali iliyotokea barabara kuu ya Tinde–Isaka, eneo la Tarafa ya Itwangi, Kijiji cha Nyashimbi. Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo akisema chanzo ni uzembe wa dereva wa basi.  Amesema ajali hiyo ilitokea Septemba 6, 2025 majira…

Read More

Kibwana afafanua ishu ya kiungo Yanga

BAADA ya kuwapo kwa taarifa za kiungo mshambuliaji wa Yanga Princess, Aregash Kalsa kuachwa na timu hiyo, mratibu wa kikosi hicho Kibwana Matokeo amesema nyota huyo bado yupo Jangwani. Kumekuwapo na taarifa mitandaoni zinazodai kwamba mchezaji huyo anayetumia mguu wa kushoto amejiunga na RS Berkane ya Ligi Kuu ya Wanawake Morocco. Kalsa alijiunga na Yanga…

Read More

Wakati asasi za kiraia zinahifadhiwa nje, tunapaswa kujenga chumba kikubwa – maswala ya ulimwengu

Mkopo: UN PICHA/LOEY FELIPE Maoni na Harvey Dupiton (New York) Jumatano, Septemba 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NEW YORK, Septemba 17 (IPS)-Nakala ya hivi karibuni ya IPS, “Mikutano ya kiwango cha juu cha Unga: NGOs zilizopigwa marufuku tena,” ilitumika kama ukumbusho wenye uchungu wa kitendawili cha muda mrefu: Umoja wa Mataifa, shirika lililoanzishwa…

Read More