Ulinzi umegeuka nguzo muhimu Simba, Yanga

Uimara wa safu za ulinzi ulioonyeshwa na Simba na Yanga katika mechi za mwanzo za msimu unaashiria ushindani mkubwa ambao utakuwepo baina ya timu hizo mbili katika mashindano mbalimbali ambayo zinashiriki. Tofauti na mechi za mwanzo za msimu uliopita, safari hii kila timu inaonekana kuwa imara zaidi katika eneo hilo na hilo linathibitishwa na takwimu…

Read More

Mechi 4 za kuheshimiana Ligi Kuu

KUNA mechi nne za kuchezesha karata ngumu. Ni lkesho jioni majibu yote yatapatikana. Mjadala mkubwa zaidi ukiwa kwa Yanga na KMC pale Mwenge, Dar es Salaam. Rekodi zinaonyesha kuwa mbaya kwa KMC kwani mechi 13 walizowahi kukutana na Yanga kwenye ligi imeambulia ushindi mara moja na sare mbili. KMC watakaowakaribisha Yanga, ni mchezo mmoja kati…

Read More

RC Malisa apongeza TBS kwa kuwainua wajasiriamali kupitia maonesho ya biashara

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mheshimiwa Beno Malisa, ameipongeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa juhudi zake za kuwafikia na kuwahudumia wajasiriamali kupitia maonesho mbalimbali ya kibiashara nchini. Akizungumza wakati wa Tamasha la Maonesho ya Kimataifa ya Kusini ya Biashara yanayoendelea mkoani Mbeya, Mh. Malisa alisema hatua ya TBS kutembelea na kutoa msaada wa kitaalamu…

Read More

Othman: Lengo letu ni amani ya kudumu Zanzibar

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema malengo ya chama hicho ni kuifanya Zanzibar kuwa na amani na utulivu wa kudumu na siyo kuishia kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Masoud ameyasema hayo jana, Jumatatu Agosti 25, 2025 alipozungumza na ujumbe wa kamati ya mambo ya nje ya Bunge la Marekani,…

Read More