Kelvin ana kibarua kizito Denmark

LICHA ya kuanza vizuri msimu akiwa na timu ya Aalborg BK inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Kelvin John ‘Mbappe’ amekiri ana kibarua kizito  katika kikosi hicho kwa vile ushindani ni mkubwa kwenye nafasi anayocheza. Kelvin amefunguka hayo wakati akizungumza na Mwanaspoti ambapo aliweka wazi kuwa eneo la ushambuliaji katika kikosi…

Read More

Serikali Yatoa Mwongozo Kwa Waliopoteza Pasipoti Nje ya Nchi – Video

Global Publishers March 26, 2026 0 Comments Ofisa Uchunguzi Mkuu kutoka Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Selestine Makoba. Ofisa Uchunguzi Mkuu kutoka Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Selestine Makoba, amewataka Watanzania walioko nje ya nchi kuhakikisha wanachukua hatua za haraka pindi wanapokumbana na hali ya…

Read More

JKT Queens inataka mechi tatu

KOCHA Mkuu wa JKT Queens, Abdallah Kessy amesema anapanga kucheza mechi za kirafiki zisizopungua tatu kabla ya kurejea kwa ligi ili kuipima timu na kujua changamoto. Kessy alisema maandalizi hayo ni muhimu kwa kikosi hicho baada ya mapumziko ya ligi na michezo ya kirafiki itampa picha halisi ya kiwango cha wachezaji wake kabla ya kurejea…

Read More

Kilio cha maabara, vifaa kwa wanafunzi wa sayansi

Soma simulizi hii: “Jina langu ni Amina, mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya umma iliyo  mkoani Pwani. Kila Jumatatu asubuhi tunakuwa na kipindi cha Kemia, kipindi ambacho kwa wengi wetu kingepaswa kuwa cha kusisimua, majaribio, mabadiliko ya rangi ya kemikali, na mvuke unaopanda juu ya mitungi ya maabara.  Lakini kwetu sisi,…

Read More

Zaidi ya wanafunzi 1,000 kupelekwa India, China, Malaysia na Uturuki wakiwa Mabalozi wa Utalii na Uwekezaji wa Tanzania”

Na Mwandishi Wetu WAKALA wa Elimu Nje ya Nchi Global Education Link (GEL) inatarajia kusafirisha wanafunzi zaidi ya 1,000 kwenda kusoma kozi mbalimbali nje ya nchi na imeanza kushirikiana na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), kuwatumia wanafunzi wanaosoma nje ya nchi kutangaza utalii. Hayo yalisemwa jana jijjini Dar es Saaalaam na Mkurugenzi Mkuu wa (GEL),…

Read More

Sikia hii ya Mwangosi Simba

MSHAMBULIAJI wa Simba, Baraka Mwangosi ametajwa kama mchezaji atakayefanya makubwa baadaye, huku akitakiwa hivi sasa kujifunza vitu vingi kiufundi na ushindani vitakavyomjengea kujiamini na kutegemewa katika timu hiyo na Taifa Stars. Miongoni mwa walioliona hilo ni staa wa zamani wa Simba, Emmanuel Gabriel aliyesema Mwangosi anatakiwa kupewa muda kupata uzoefu, kujifunza vitu vingi katika timu,…

Read More