MWANA FA AWAOMBA WANA MUHEZA WAMPE KURA NYINGI ZA KUTOSHA MGOMBEA URAIS WA CCM DKT SAMIA SULUHU NA YEYE OCTOBA 29
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Muheza (CCM) Hamisi Mwinjuma alimaarufu Mwana FA amesema hana wasiwasi na watu wa Tarafa ya Amani na wilaya ya Muheza isipokuwa amewaomba kila atakayekwenda kupiga kuwa Octoba 29 amchukue na mwenzake ili wilaya hiyo iongoze kwa kura nyingi za Rais na Madiwani wa CCM katika Kata 37 za Muheza…