Vodacom na Sanlam Investments Wazindua M-Wekeza, Uwekezaji Kupitia Simu

*Huduma mpya inawawezesha watumiaji kuwekeza wakati wowote na mahali popote Kampuni inayoongoza katika Teknolojia na Mawasiliano, Vodacom Tanzania Plc kwa kushirikiana na Sanlam Investments East Africa Limited, leo wamezindua M-Wekeza, huduma ya kibunifu ya uwekezaji iliyoundwa ili kuleta fursa rahisi za uwekezaji kwa watumiaji wa M-Pesa kupitia njia ya kidijitali ya simu zao za mkononi….

Read More

Msako wa CEO, KMC yaivamia Yanga

UONGOZI wa KMC unatafuta Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO), baada ya Daniel Mwakasungula, aliyekuwa anashikilia nafasi hiyo kumaliza mkataba wake, huku taarifa zikieleza Mkurugenzi wa Mashindano wa Yanga, Ibrahim Mohamed, ni miongoni mwa wanaotajwa kumrithi.  Licha ya uongozi wa KMC kutoweka wazi juu ya suala hilo, lakini Mwanaspoti linatambua Ibrahim ni miongoni mwa wanaohitajika ili akakiongoze…

Read More

USHINDI WA TANZANIA KWENYE TUZO ZA UTALII DUNIANI NI CHACHU YA KUENDELEA KUTANGAZA MAZAO MAPYA YA UTALII NGORONGORO

Na Mwandishi Wetu. Baada ya Tanzania kutajwa na mtandao wa World Travel Awards kama nchi inayoongoza kwa Utalii wa Safari mwaka 2025 imekuwa ni chachu ya kutangaza mazao mapya ya Utalii katika soko la Dunia yanayopatikana ndani ya hifadhi ya Ngorongoro. Kamishna Msaidizi Mwandamizi anayeshughulikia huduma za utalii ambaye yupo Bahrain ambapo hafla ya utoaji…

Read More