Majaliwa ataka mikakati iendane na mabadiliko teknolojia

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amevisihi vyama vya wafanyakazi barani Afrika, kuweka mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia duniani. Amesema kwa kufanya hivyo kutawawezesha kupunguza hatari ya kupoteza ajira kutokana na ujio wa mashine na matumizi ya teknolojia mpya ikiwemo za akili unde. Majaliwa ameyasema hayo jijini Dar es Salaam leo Ijumaa,…

Read More

Simba, Yanga kuna kazi Oktoba 9

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetoa ratiba ya ufunguzi wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) itakayoanza kuchezwa kwa mechi za nusu fainali ya Ngao ya Jamii zitakazopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge Dar es Salaam. Timu zilizomaliza nafasi nne katika msimamo wa Ligi ya msimu uliopita ambazo ni bingwa mtetezi JKT Queens, Simba Queens,…

Read More

Makubaliano Musongati yafungua ukurasa mpya uchimbaji Nikeli Afrika Mashariki

Dar es Salaam. Kampuni ya Lifezone Metals inayomiliki Tembo Nickel, imesaini makubaliano ya miezi 14 na Serikali ya Burundi kuhusu maendeleo ya mgodi wa Nikeli wa Musongati. Hatua hiyo inatajwa kuwa inaenda kuimarisha ushirikiano wa kikanda katika sekta ya madini na miundombinu. Akizungumza kuhusu makubaliano hayo yaliyosainiwa Machi 10, 2026, Mkurugenzi Mtendaji wa Tembo Nickel,…

Read More

Samsung Galaxy A25 Yakungoja Ukicheza Super Heli

USHINDI haupo tu kwenye dau unaloliweka bali upo kwenye namna unavyozitumia fursa, na aina ya zawadiunazozipata. Meridianbet imebadilisha mchezo kwa kuleta ofa ya kipekee, simu mpya ya Samsung Galaxy A25 kwa wachezaji wa Super Heli. Hii si promosheni ya kawaida, ni mwaliko wa kuingia kwenye dunia ya ushindi wa teknolojia. Super Heli ni mchezo wa…

Read More

Biashara ya chakula yatawala kwa Mkapa

ACHANA na mauzo ya jezi, biashara inayoonekana kuuzika kwa kiasi kikubwa ni vyakula mbalimbali. Ukiwatoa wale wanaouza kwenye mabanda hatua chache kidogo na Uwanja wa Mkapa, kuna walioweka meza pembezoni mwa uwanja huo uliowekewa uzuo. Kila aina ya chakula unayoijua ipo kwa Mkapa siyo chipsi na vitu vingine wala wali na ugali zipo sambusa zile…

Read More

SOMBA AANZA KAZI NA TPBRC

****** Afisa habari wa chama cha makocha wa ngumi za kulipwa nchini Tanzania TPBCA, Dauka Somba amefanya kikao na makamu mwenyekiti wa kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania, TPBRC, Jacob Mbuya. Somba na Mbuya wamefanya kikao hiko leo katika ofisi za TPBRC zilizopo Ilala jijini Dar es salaam lengo likiwa ni kuandaa mikakati ya kuboresha…

Read More