Mojtaba Khamenei Aripotiwa Kuwa Katika Koma Baada ya Mashambulizi Tehran
Global Publishers March 13, 2026 0 Comments Kiongozi mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei Ripoti mpya imeeleza kuwa Kiongozi mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, anadaiwa kuwa katika hali ya koma hospitalini na hajui kinachoendelea kuhusu vita vya Mashariki ya Kati wala kwamba ameteuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa nchi hiyo. Mojtaba mwenye umri wa miaka 56 alichukua…