GCLA YAWAFIKIA WANANCHI MAONESHO YA MADINI GEITA

Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Maabara za Sayansi Jinai na Vinasaba vya Binadamu, Fidelis Segumba (kushoto), akimsikiliza mdau aliyetembelea banda la Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea mkoani Geita. Meneja wa Mamlaka, Ofisi ya Kanda ya Ziwa, John Wanjala (kushoto), akitoa…

Read More

KASI YA MRADI WA EACOP YAPONGEZWA NA WATUMISHI WIZARA YA NISHATI

:::::::::; 📌*Mradi wafikia asilimia 81 huku uchomeleaji wa mabomba ukikamilika kwa asilimia 100* Watumishi kutoka Wizara ya Nishati wamepongeza kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ambao umefikia asilimia 81 huku ukifungua fursa nyingi kwa wananchi ikiwemo upatikanaji wa ajira na ujuzi.. Akizungumza Februari 27, 2026, Chongoleani, Tanga,…

Read More

Kupunguzwa kwa fedha kunaweza kushinikiza watoto zaidi ya milioni 6 kutoka shuleni, anaonya UNICEF – maswala ya ulimwengu

Msaada wa Maendeleo rasmi (ODA) kwa elimu unakadiriwa Kuanguka kwa $ 3.2 bilioni – Kushuka kwa asilimia 24 kutoka 2023 – na serikali tatu tu za wafadhili zinahasibu kwa karibu asilimia 80 ya kupunguzwa. Kupungua kama vile kushinikiza idadi ya watoto wa nje ya shule ulimwenguni kutoka milioni 272 hadi milioni 278. UNICEF Alisema –…

Read More

Malindi ipo tayari kuivaa Chipukizi ZPL

KIKOSI cha timu ya Malindi, leo kinatarajia kusafiri kutoka Unguja kuelekea Pemba kwa ajili ya kucheza mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) dhidi ya Chipukizi itakayofanyika Septemba 27, 2025, kwenye Uwanja wa Gombani uliopo kisiwani humo, saa 10:15 jioni. Msafara wa timu hiyo utakuwa na watu 32 wakiwemo wachezaji 22, viongozi saba na…

Read More

DKT NCHIMBI "UTAFITI MAENEO YA MADINI KUONGEZEKA KWA 50%"

Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama Cha Mapindizi (CCM). Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi amesema Serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, endapo kama Itaingia Madarakani kwa mara nyingine itahakikisha inatenga maeneo mengine ya kutosha kwa ajili ya Wachimbaji Wadogo, ikiwa ni pamoja na kuongeza kiwango cha Utafiti kwenye maeneo ya Madini kutoka asilimia…

Read More

Albania yateua waziri roboti wa kupambana na ufisadi

Tirana. Albania imeweka rekodi ya dunia kwa kuwa nchi ya kwanza kuteua waziri aliyeundwa kwa akili bandia (AI), siyo waziri wa teknolojia ya AI, bali waziri halisi wa kidijitali, aliyeundwa kwa misimbo na kuendeshwa na mfumo wa kisasa wa akili bandia. Jina lake ni Diella, linalomaanisha ‘mwanga wa jua’ kwa Kialbania ndilo jina la roboti,…

Read More