GCLA YAWAFIKIA WANANCHI MAONESHO YA MADINI GEITA
Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Maabara za Sayansi Jinai na Vinasaba vya Binadamu, Fidelis Segumba (kushoto), akimsikiliza mdau aliyetembelea banda la Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea mkoani Geita. Meneja wa Mamlaka, Ofisi ya Kanda ya Ziwa, John Wanjala (kushoto), akitoa…