MAPAMBANO DHIDI YA UKATILI: Kipunguni wabuni mbinu kuwashughulikia wanaokatili watoto

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Sauti nyingi zinapazwa kila uchao kuhusu ustawi wa watoto kutokana na vitendo vya ukatili vinavyoendelea kuripotiwa sehemu mbalimbali nchini ambavyo vingi vinaumiza na kufifisha kizazi kinachotarajiwa kuwa cha kesho. Ripoti ya takwimu za Uhalifu na Usalama Barabarani ya kuanzia Januari hadi Desemba mwaka 2023 iliyotolewa na Jeshi la Polisi Tanzania…

Read More

Saba wafariki dunia ajali ya ambulance na toyo

Mafinga. Watu saba wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa katika ajali ya gari la kubeba wagonjwa (ambulance) kugongana na toyo katika eneo la Luganga, lililopo katika Halmashauri ya Mji Mafinga, Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa. Akizungumza baada ya kutembelea majeruhi wa ajali hiyo leo Jumamosi, Aprili 19, 2025, Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Dk Linda…

Read More

Simba yapasua mtu 11-0, Mnunka arejea na mbili

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens leo jioni wameichakaza Mlandizi Queens kwa mabao 11-0 kwenye Uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo, Jentrix Shikangwa alifunga mabao manne, Asha Djafar alitupia hat-trick, Aisha Mnunka aliweka kambani mawili wakati Precious Christopher na Ruth Ingosi kila moja alifunga mara moja….

Read More

Rais Samia afanya uteuzi abadilisha msemaji wa Serikali

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali, akimteua Thobias Makoba kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali. Kabla ya uteuzi, Makoba alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano serikalini, Ofisi ya Msajili wa Hazina. Makoba anachukua nafasi ya Mobhare Matinyi ambaye amepangiwa majukumu mengine. Kwa mujibu…

Read More

Aliyetafuta hifadhi ya kuishi Tanzania atupwa jela

Dar es Salaam. Raia wa Nigeria, Ezeaka Oluchukwu (50) amehukumiwa kulipa faini ya Sh500,000 au kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini Tanzania bila kuwa na kibali. Oluchukwu amehukumiwa kifungo hicho, leo Jumanne Agosti 6, 2024, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam baada ya kukiri…

Read More