MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AWAJIBU WANAOSEMA CCM INABEBA WATU NA MAGARI KUJAZA UWANJA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Rungwe MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hasan amewajibu wanaosema Chama hicho kinabeba wanachama wake kwenye magari kuwapeleka katıka mikutano ya kampeni zake ambapo amesema siyo shida wala siyo aibu kuwasafirisha wanaokwenda katika mikutano. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa Wilaya Rungwe mkoani Mbeya wakati wa mkutano…

Read More

Dk Migiro Katibu Mkuu mpya CCM

Dar es Salaam. Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikiteua wagombea ubunge na uwakilishi watakaopeperusha bendera yake katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, pia kimemteua Dk Asha-Rose Migiro kuwa katibu mkuu wake mpya. Uteuzi huo umetangazwa leo Agosti 23, 2025 na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, makao makuu ya CCM, jijini Dodoma ikiwa…

Read More

Ufugaji watajwa chanzo cha magugu maji Ziwa Victoria

Dodoma. Bodi ya Maji ya Bonde la Ziwa Victoria imeeleza kuwa shughuli za kibinadamu, hususan ufugaji, ndicho chanzo kikuu cha magugu maji katika Ziwa Victoria. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa, Machi 6, 2026, na Mkurugenzi wa Bodi ya Maji wa Bonde la Ziwa Victoria, Dk Renatus Shinhu, wakati akielezea shughuli zinazofanyika katika bonde hilo. Dk…

Read More

Vohra, Karan waitwa Guru Nanak Rally

CHAMA kinachosimamia mchezo wa mbio za magari nchini (AAT) kimemtangaza dereva Ahmed Huwel kuwa kinara wa msimamo wa mbio za kusaka taji la taifa kwa mwaka huu. Kwa mujibu wa msimamo wa AAT, Huwel, ambaye ameingia na gari isiyokamatika ya Toyota Yaris, anaongoza akiwa na pointi 105 na kumuacha mpinzani wake wa karibu, Randeep Singh…

Read More

TARANGIRE SCHOOL YAANDIKA HISTORIA, YAFANYA MAHAFALI YA DARASA LA SABA HIFADHINI

Na Pamela Mollel,Manyara  Shule ya Tarangire Pre & Primary English Medium School (Tarangire School) imeibua ubunifu wa aina yake baada ya kufanya mahafali ya darasa la saba kwa mwaka 2025 ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire, tukio ambalo halijawahi kushuhudiwa mkoani Manyara. Mahafali hayo yaliyofanyika Jumamosi, Septemba 13, 2025, yaliwaaga wanafunzi 40 walioketi mtihani…

Read More

TANZANIA IMEJENGWA KWA MISINGI IMARA YA AMANI NA UZALENDO-MAJALIWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waumini wa dini ya kiislam alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika baraza la Maulid Kitaifa linalofanyika, Korogwe mkoani Tanga, Septemba 05, 2025. ……………………. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania imejengwa kwa misingi imara ya amani, uzalendo na maadili mema ambayo yameasisiwa na viongozi wa Taifa hilo. Amesema…

Read More