Msako mwingine robo fainali kupigwa leo

MSAKO wa kuisaka tiketi ya kucheza robo fainali ya michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), inaendelea leo kwa mechi mbili za kundi A kupigwa ambapo Morocco itacheza na Zambia inayoburuza mkiani. Mechi hiyo itakayopigwa kwenye Uwanja wa Kasarani, Nairobi itapigwa kuanzia saa 11:00 jioni kisha mtanange mwingine wa kundi A kati…

Read More

Mashujaa dakika 630 bila ushindi Bara

WAZEE wa Mapigo na Mwendo, Mashujaa ya Kigoma imefikisha dakika 630 bila kuonja ushindi katika Ligi Kuu Bara baada ya juzi jioni ikiwa nyumbani kutoka suluhu na Coasta Union. Mashujaa inayoshiriki ligi hiyo kwa msimu wa pili mfululizo tangu ilipopanda mwaka juzi, mara ya mwisho kuonja ushindi ilikuwa Novemba 23, mwaka jana ilipoikamua Namungo ya…

Read More

WANA USALAMA WA ANGA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA ZANZIBAR

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema sekta ya utalii ina mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi wa nchi kupitia usafiri wa anga ambao ni kichochea kikuu cha ukuaji wa uchumi. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipofungua Kongamano la sita la usafiri wa anga Jumuiya ya Afrika Mashariki katika…

Read More

BARRICK YADHAMINI KONGAMANO LA WANAFUNZI VYUO VIKUU VYA IRINGA NA DODOMA

Mratibu wa mafunzo (Supervisor Learning and Development wa Barrick Tanzania,Elly shimbi akiongea na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma wakati wa kongamano lakuwajengea uwezo wakujiamini na kuhimili ushindani wa ajira na kujiajiri lililoandaliwa na taasisi ya AIESEC Tanzania lililofanyika katika chuo hicho mwishoni mwa wiki kwaudhamini wa Barrick. Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma na…

Read More

Ishu ya Beno tatizo ni msimamo

ALIYEKUWA kipa wa Singida BS, Beno Kakolanya amemaliza utata, akisema misimamo yake imekuwa ikimponza kwa watu wakimchukulia kama mtovu wa nidhamu. Beno aliyeondoka Singida kiutata dakika za lala salama za Ligi Kuu Bara, kwa kilichoelezwa ni utovu wa nidhamu wakati chama hilo likiwa na mechi ngumu dhidi ya Yanga, aliliambia Mwanaspoti kuwa, yeye ni mchezaji…

Read More

Ajira chanzo wanafunzi kukimbia baadhi ya kozi vyuoni

Dar es Salaam. Wakati idadi ya udahili wa wanafunzi wa mwaka wa kwanza ngazi mbalimbali vyuoni mwaka 2023/2024 ukishuka kwa asilimia 22.3 ikilinganishwa na mwaka uliotangulia, madini na sayansi ya dunia, sayansi ya maisha, utalii na ukarimu zinaongoza kwa kukimbiwa na wanafunzi. Hiyo ni baada ya takwimu kuonyesha kuwapo idadi ndogo ya wanafunzi wanaochagua kusoma…

Read More