CRDB BANK YAKUTANISHA VIONGOZI NA WATEJA MOROGORO KATIKA FUTARI YA RAMADHANI
Farida Mangube, Morogoro MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, amewataka Watanzania kuendelea kudumisha amani, umoja na mshikamano katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani na hata baada ya kumalizika kwa mwezi huo. RC Malima ametoa wito huo wakati akizungumza kwenye futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa ajili ya wateja wake pamoja na…