Msasi: Dawa hutawanywa kulingana na ngazi ya matibabu-2
Dar es Salaam. Wakati malalamiko ya wananchi kuhusu ukosefu wa dawa yakiendelea kusikika katika baadhi ya vituo vya afya nchini, imebainika sehemu ya changamoto hiyo inatokana na wagonjwa kuhitaji dawa ambazo hazijapangwa kwa ajili ya ngazi ya huduma wanazozifuata. Hali hiyo inaonekana zaidi kwa wagonjwa wanaopata matibabu katika hospitali za juu kama za rufaa za…