Bodi ya sukari, wazalishaji jino kwa jino

MVUTANO wa utoaji wa vibali za sukari na nakisi umeendelea kushika kasi, baada ya Bodi ya Sukari Tanzania (SBT) kueleza kuwa wazalishaji hawasemi ukweli juu ya hali iliyotokea mwaka jana na mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Balozi Ami Mpungwe Kauli hiyo ya SBT inakuja siku chache baada ya Umoja wa Wazalishaji Sukari Tanzania…

Read More

VIDEO: Lishe duni kwa vijana inavyoathiri afya ya uzazi

Dar es Salaam. Lishe duni ya vijana rika la balehe inatajwa kuwa chanzo cha matatizo ya afya ya uzazi miongoni mwa wanawake na wanaume. Upungufu wa virutubisho muhimu kwa watoto na vijana unaelezwa kuathiri via vya uzazi. Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Lishe, Wizara ya Afya, Neema Joshua anasema udumavu, uzito pungufu, ukondefu, uzito kupita…

Read More

SERIKALI IMEDHAMIRIA KUTOA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA WANANCHI – PROF. NAGU

 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia afya Prof. Tumaini Nagu amesema Serikali imedhamiria kutoa suluhisho na kutatua kero zinazowakabili wananchi. Prof. Nagu ameyasema hayo alipotembelea katika mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Muhoro, kilichopo katika Halmashauri ya Mji wa Rufiji ambacho kumekuwa kikikumbwa na changamoto ya mafuriko ya mara kwa mara. “Kituo…

Read More

Mashimo ya viraka barabarani yawatesa madeva

Dar/Mikoani. Hivi unajua shimo la barabara linapochongwa ili kuwekwa kiraka linapaswa lidumu kwa saa 72 tu kabla ya kuzibwa? Si hivyo tu, hata barabara inapokatwa kwa ajili ya kuwekwa kiraka, utekelezwaji wake unapaswa kufanyika kwa muda usiozidi saa 48. Kwa mujibu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), uwekaji wa kiraka ni mbinu ya dharura inayofanywa…

Read More

Pesa ipo mechi za kirafiki leo

Michuano mikubwa mbalimbali imemalizika sasa ni mechi za kirafiki za kujiandaa na msimu mpya ambapo timu kibao leo zipo dimbani na ODDS KUBWA za kijanja zimeshawekwa ndani ya Meridianbet. Ingia na uanze kubeti sasa. FC Copenhagen ya Denmark itakipiga dhidi ya Sdenderjyske ambapo mechi hii imepewa ODDS 1.44 kwa 4.80. Mwenyeji amemaliza nafasi ya 3…

Read More

SUA YAWEKA MIKAKATI KUONGEZA FEDHA MAPATO YA NDANI

    NA FARIDA MANGUBE  SUA imeiomba Benki ya Dunia kupitia Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) pindi watakapoongeza fedha za maendeleo katika vyuo vikuu kuangazia maeneo yanayomilikiwa na Chuo hicho kwa kuyaboresha na kuyapa thamani kwani vyanzo vyake vya mapato vitasaidia kuongeza pato la Chuo na Taifa kwa ujumla kwa…

Read More

Sita kizimbani kwa jaribio la kumteka mfanyabiashara Tarimo

Dar es Salaam. Watu sita Wakazi wa jijini hapa wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni iliyopo Kinondoni, wakikabiliwa na shtaka la kujaribu kumteka mfanyabiashara Deogratius Tarimo. Washtakiwa hao waliopandishwa kizimbani ni pamoja na Fredrick Juma Said mjasiriamali, Isack Mwaifani, Benki Mwakalebela, Mkazi wa Mbezi Makabe na wakala stendi ya Magufuli;  Bato Bahati Tweze…

Read More