Utetezi wamuokoa na adhabu ya kunyongwa

Moshi. Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, imemhukumu Sifael Kivuyo, kutumikia kifungo cha miaka 18 jela kwa kosa la kumuua bila kukusudia, mwanamume aliyemkuta chumbani na mpenzi wa kike wa mwalimu wake wa uchoraji. Ndugu yake, Emmanuel Kivuyo alihukumiwa kifungo cha nje katika hatua za awali za kesi baada ya kukiri kosa la kusaidia kuficha taarifa…

Read More

Chama la Wana latenga mzigo bara

STAND United ‘Chama la Wana’ imesema baada ya kupenya katika mtoano (play off), ili kupanda Ligi Kuu Bara, kwa sasa ipo tayari kukutana na timu yoyote huku ikitangaza dau nono kwa wachezaji wa timu hiyo iwapo watafanikiwa kuirejesha kwenye ligi hiyo. Chama hilo la Shinyanga lililowahi kutamba Ligi Kuu misimu mitano nyuma, lilimaliza nafasi ya…

Read More

Kimbunga Hidaya chapungua  nguvu, tahadhari yatolewa

Dodoma. Serikali imesema kuwa kimbunga Hidaya kilichoipiga Pwani ya Mashariki wa Bahari ya Hindi kinaendelea kupungua nguvu kadri kinavyoelekea nchi kavu baada mwenendo wa  mifumo ya hali ya hewa kuonyesha kuwa kimefikia kasi ya kilomita 342 kwa dakika majira ya saa tatu asubuhi kutoka kasi ya kilomita 401 iliyokuwepo saa 9 alfajiri kuamkia leo. Mapema,…

Read More

Tshisekedi ataka Rwanda iwekewe vikwazo

  RAIS Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Tshisekedi, ametoa wito Jumuiya kwa Kimataifa kuiwekea Rwanda, vikwazo kutokana na kuwaunga mkono waasi wa M-23, wanaoendesha vita mashariki mwa nchi hiyo. NEW YORK, Marekani Tshisekedi ameitoa kauli hiyo wakati wa mkutano Mkuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York jana.Tshisekedi ambaye ametaka kuondolewa kwa wanajeshi wa…

Read More

Mrithi wa Mnguto kupatikana Dar kesho Jumamosi

MBIVU na mbichi ya safu mpya ya uongozi ya Bodi ya Ligi (TPLB) itajulikana kesho Jumamosi, Novemba 29, wakati Mkutano Mkuu wa 12 wa Baraza Kuu la bodi hiyo utakapofanyika jijini Dar es Salaam ukiambatana na Uchaguzi Mkuu. Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia saa 2:00 asubuhi kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip utaambatana na…

Read More

Serikali yajitwisha kero za mabaharia Tanzania

Bagamoyo. Serikali ya Tanzania imesema itazifanyia kazi changamoto na fursa zinazowakabili mabaharia nchini. Miongoni mwa changamoto hizo ni nyenzo dhaifu za kusimamia mambo ya bahari yaani mbinu zisizo za wazi na zenye kuakisi wakati uliopo. Ukosefu wa sera na kanuni za ajira za ubaharia na kuwepo kwa mifumo kandamizi za uwajiri wa mabaharia hususan katika…

Read More