Lusajo atua Dodoma Jiji | Mwanaspoti

KLABU ya Dodoma Jiji imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa mshambuliaji wa Mashujaa, Reliants Lusajo kwa mkataba wa mwaka mmoja huku kukiwa na kipengele cha kuongeza mwingine baada ya kuvutiwa na uwezo aliouonyesha msimu uliopita. Nyota huyo aliyeanza msimu na Namungo kisha Januari akajiunga na Mashujaa kwa miezi sita, amejiunga na kikosi hicho baada ya kuvutiwa na…

Read More

TBL kuwafundisha biashara wasambazaji wake

Dar es Salaam. Kampuni ya Bia Tanzania  (TBL) inaendelea na safari yake ya kuwawezesha na kuwaendeleza wauzaji wake kupitia mpango unaojulikana kama (Retailer Development Programme). Mpango huo ambao kwa kifupi unaitwa (RDP), ulizinduliwa Oktoba mwaka jana ukilenga kusaidia wauzaji kukuza biashara zao na kujifunza ujuzi mpya ikiwemo usimamizi wa fedha, hisa, masoko, mauzo na ukuzaji…

Read More

WAZIRI JAFO AZINDUA BODI YA WAKURUGENZI TBS

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo (Mb) ameliagiza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ifikapo mwezi Desemba,2024 kuwachukulia hatua za kisheria kwa wamiliki wa Viwanda na wazalishaji wa bomba (holepipes) wanaokiuka sheria za viwango vinavyowekwa na Shirika hilo ikiwemo kuteketeza bidhaa hizo na gharama za uteketezaji zitakuwa chini ya mmiliki wa bidhaa hizo. Ameyasema hayo…

Read More

Samsung Electronics Names Young Hyun Jun as New Head of Device Solutions Division – MWANAHARAKATI MZALENDO

Samsung Electronics today announced that Young Hyun Jun was named as the new Head of Device Solutions (DS) Division to lead the Company’s semiconductor business and strengthen its competitiveness amid an uncertain global business environment. Vice Chairman Jun, who has extensive experience in the semiconductor and battery businesses, joined Samsung Electronics in 2000 and worked…

Read More

Bashiri Bingwa Wako wa FA na Meridianbet

JE unajua kuwa ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kubashiri chochote ukipendacho?. Mechi za FA zikiwa zinaendelea kule Uingereza tayari wakali hawa wa ubashiri wamekuwekea ODDS za bingwa, hivyo ingia kwenye akaunti yako na ubeti nani atakuwa mshindi. Liverpool ni moja ya timu ambayo inapewa nafasi kubwa kabisa ya kushinda kombe hili kule Uingereza wakiwa…

Read More