Moto wazuka kwenye jengo jipya Kariakoo

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa Kariakoo leo wamekumbwa na taharuki baada ya moto kuzuka katika jengo moja lililopo katika makutano ya mitaa ya Aggrey na Sikukuu na kuharibu chumba kimoja cha duka kati ya vyumba 100 vilivyopo katika jengo hilo.Tukio hilo limetokea leo Agosti 31, 2025 saa 5:30 asubuhi na kuwashtua wafanyabiashara na wateja waliokuwa…

Read More

NMB yatangaza neema kwa wadau wa utalii

Dar es Salaam. Wakati sekta ya utalii nchini Tanzania ikiendelea kuwa kinara katika uingizaji wa fedha za kigeni, wadau na wafanyabiashara wanaohusika kwenye sekta hiyo wamehakikishiwa ushirikiano ili kuendelea kukua kwa kasi. Kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT), zaidi ya watalii milioni 5.3 wametembelea vivutio na hifadhi mbalimbali nchini na kuingiza…

Read More

Mpango wa Chaumma kikichukua dola Oktoba

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimetangaza ajenda kuu zitakazotekelezwa iwapo kitapewa ridhaa ya kuongoza Tanzania, kikisisitiza nia yake ya kuleta mabadiliko ya kweli kwa Watanzania kupitia sera zinazolenga kuboresha maisha, kupambana na ufisadi na kuinua uchumi wa wananchi wa kawaida. Pia, kimeahidi kudhibiti ufisadi na kuongeza uwajibikaji serikalini kwa kuhakikisha utawala…

Read More

Wastaafu CCM wampigia chapuo Samia, urais 2025

Dodoma. Viongozi wastaafu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Serikali wamemwelezea mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan, kama chaguo bora katika nafasi hiyo, huku wakiwataka wananchi kwenda kumpigia kura, ili aendelee kuliongoza taifa. CCM kinaendelea na kampeni katika maeneo mbalimbali, na tangu kilipozindua kampeni zake Agosti 28, tayari mgombea huyo urais amefanya kampeni…

Read More

Simba, Yanga zabanwa, kisha zalainishiwa Bara

VIGOGO vya soka nchini, Simba, Yanga na Azam FC wamelainishwa mambo katika ishu za usajili, lakini wakabanwa kwa upande mwingine katika Ligi Kuu Bara na michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) kwa msimu mpya wa 2025-26. Msimu huo unatarajiwa kuzinduliwa na mechi ya Ngao ya Jamii itakayopigwa Septemba 16 Kwa Mkapa ikizikutanisha Simba na Yanga…

Read More

Profesa Lipumba: Tumemleta mshindani thabiti kutoka CUF

Mwanza. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema chama hicho kimemteua mgombea urais thabiti ambaye ni kiboko na atakitetemesha Chama cha Mapinduzi (CCM). ‎CUF inawakilishwa na mgombea urais, Gombo Samandito Gombo na mgombea mwenza, Husna Mohamed Abdallah. ‎Lipumba ametoa kauli hiyo leo Jumapili Agosti 31, 2025 wakati akiwatambulisha wagombea hao kwenye uzinduzi…

Read More

Mikataba hewa, marejesho yawatesa bodaboda

Mbeya. Waendesha pikipiki ‘bodaboda’ jijini Mbeya wamesema ili kupunguza wimbi la ajali za mara kwa mara barabarani ni kuwapo mikataba rasmi na mikopo isiyoumiza. Wamesema chanzo cha wao kutajwa kuwa chanzo cha ajali za barabarani ni kuwahi abiria ili kukusanya marejesho ya waajiri wao na kukamilisha mikopo waliyonayo. Wakizungumza katika hafla fupi ya maadhimisho ya…

Read More