Nyaishozi Mfano wa shule Bora zinazotangaza ushirika kielimu

Na Diana Byera,Karagwe Wamiliki wa shule binafsi wilayani Karagwe, mkoani Kagera, wametakiwa kuzingatia lengo kuu la kuanzisha shule,ambalo ni kutoa huduma ya elimu badala ya kuzigeuza shule hizo kuwa chanzo cha biashara na faida kubwa.  Wito huo umetolewa kufuatia ongezeko la malalamiko kutoka kwa jamii kuhusu gharama kubwa na michango mingi isiyoelezeka katika baadhi ya…

Read More

Kasongo: Kuna makosa saba kila baada ya dakika 90

OFISA Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB), Almasi Kasongo amesema kutegemea kamati ya waamuzi bado ni tatizo tofauti na mataifa mengine yaliyoendelea, wakati akichangia mjadala unaohusu, ‘Makosa ya waamuzi Ligi Kuu Bara, nini kifanyike? Kasongo ameyasema hayo leo Jumatano Februari 26, 2025 kupitia mjadala kwa njia ya mtandao wa Mwananchi X space wenye Mada…

Read More

Mwalimu aahidi kujenga Kariakoo ndogo Nkasi

Nkasi. Ili kukuza uchumi wa wananchi wanaoishi maeneo ya mipakani na kuimarisha fursa za kibiashara kati ya Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimeahidi kuanzisha soko la biashara la ‘Kariakoo ndogo’ katika Kijiji cha Kirando, wilayani Nkasi, Mkoa wa Rukwa endapo kitachaguliwa kuunda Serikali Jumatano ya Oktoba…

Read More

Tanzania mwenyeji mkutano wa Fiata Rame 2025, mageuzi ya kidijitali kuangaziwa

Unguja. Wakati mkutano wa kimataifa wa Shirikisho la Vyama vya Mawakala wa Ushuru na Forodha Afrika Mashariki na Kati (Fiata Rame) ukitarajiwa kufanyika Zanzibar, uimarishaji ujuzi katika usafirishaji ni miongoni mwa mambo yanayotarajiwa kujadili kwa kina. Malengo mengine yatakayofikiwa ni kuchunguza mageuzi ya kidijitali, teknolojia mpya na suluhisho za ubunifu katika sekta ya vifaa ili…

Read More

Kocha Mchenga ataja kilichowatibulia | Mwanaspoti

KOCHA mkuu wa Mchenga Star, Mohamed Yusuph pointi walizofungwa robo ya tatu na JKT ndizo zilizochangia kupoteza mchezo huo kwa vikapu 70-65 licha ya vijana wake kucheza vizuri kwenye Uwanja wa Donbosco Oysterbay. Katika mchezo huo, timu zote zilianza taratibu huku zikisomana na robo ya kwanza kufungana pointi  21-21. Hata hivyo, robo ya pili, JKT…

Read More

Wafugaji waitwa kupatiwa chanjo ya kichaa cha mbwa bure

Unguja. Wakati ugonjwa wa kichaa cha mbwa ukitajwa na wataalamu kutokuwa na dawa, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeanza kutoa chanjo ya kichaa cha mbwa bure na kuwataka wamiliki wa wanyama hao kujitokeza kuwachanja ili kuepusha athari zinazoweza kujitokeza. Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo kupitia Idara ya Maendeleo ya Mifugo, imeeleza kuwa itaendelea kutoa…

Read More