Jamii yatakiwa kuwapokea wafungwa uraiani

Mbeya. Jeshi la Magereza mkoani Mbeya limeiomba jamii kuwapokea vizuri wafungwa wanaomaliza muda wao wa adhabu gerezani kurejea uraiani, ili kuwafundisha kutii sheria na kuondokana na uhalifu. Hayo yamebainishwa leo Jumanne Agosti 26, 2025 kwenye maadhimisho ya miaka 64 ya Jeshi la Magereza baada ya uhuru, na Mkuu wa Gereza la Ruanda jijini Mbeya, Christopher…

Read More

Mkutano wa Doha utawezesha kuizima Israel?

Doha. Linaweza kuwa swali la kizushi. Je, mkutano wa dharura uliokutananisha mataifa ya Kiarabu na Kiislamu Doha nchini Qatar unaweza kudhoofisha ubabe wa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu. Ni mkutano uliokuwa chini ya uenyekiti wa Amiri wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani baada ya Israel kuishambulia Doha wiki moja iliyopita na kusababisha…

Read More

TAKUKURU YAREJESHA MAMILIONI SERIKALINI – MICHUZI BLOG

  Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imefanikiwa kuzuia upotevu wa zaidi ya Sh milioni 94.21 zilizokuwa zimefujwa kupitia miradi ya maendeleo na malipo haramu. Akizungumza na waandishi wa habari kuelezea utendaji wa taasisi hiyo kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka (Oktoba hadi Desemba 2026), Naibu Mkuu wa TAKUKURU…

Read More