CCM yaahidi kilimo cha kisasa, skimu za umwagiliaji

Kondoa. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeahidi kuanzisha mashamba makubwa ya kilimo cha kisasa katika eneo la Pahi lililopo Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma. Mashamba hayo yatawekewa skimu za umwagiliaji ili kuwawezesha wakulima kulima mara mbili kwa mwaka, jambo litakalochochea uzalishaji mkubwa na kuongeza fursa za ajira kwa vijana. Hayo yamebainishwa na mgombea urais wa chama…

Read More

Haroun Mandanda kutua Polisi Tanzania

TIMU ya maafande wa Polisi Tanzania iko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa aliyekuwa kipa wa kikosi cha Tabora United, Haroun Mandanda baada ya kumaliza mkataba, huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mwingine. Nyota huyo aliyetamba na timu mbalimbali za Mbeya City, Ihefu (Singida Black Stars) kisha baadaye pia kujiunga na Tabora United,…

Read More

Mgaza aiokoa Dodoma Jiji dakika za jioni

WAKATI Tanzania Prisons ikiwa na matumaini ya kuondoka na pointi tatu, mshambuliaji wa Dodoma Jiji, Yassin Mgaza dakika ya mwisho akaiokoa timu hiyo na kichapo katika mechi ya kwanza wa mashindano ya Tanzanite Pre-Season International. Mchezo huo ulioanza kupigwa  saa 7:00 mchana leo Agosti 31, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, kipindi cha kwanza kilimalizika…

Read More

Samatta, Gomes waitwa Taifa Stars

NAHODHA na nyota wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga, Le Havre ya Ufaransa, Mbwana Samatta na mshambuliaji mpya wa Simba, Seleman Mwalimu ‘Gomes’ ni miongoni mwa wachezaji waliotwa katika kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kilichotangazwa rasmi leo Jumapili. Kocha mkuu wa timu hiyo, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amekitaja kikosi hicho kwa ajili ya kambi ya…

Read More

HUSTLERS WAUNGANA UZINDUZI CHROME GIN KWA SGANGWE LA KIPEKEE

 :::::::::  Dar es Salaam ilishuhudia usiku wa burudani na sherehe zisizosahaulika pale Tanganyika Packers – Kawe, wakati wa uzinduzi wa Chrome Gin, kinywaji kipya kinacholenga kusherehekea hustlers wa Tanzania. Kwa mara ya kwanza, hustlers kutoka maeneo mbalimbali ya jiji waliunganishwa pamoja – kuanzia Manzese, Kariakoo hadi Kinondoni – wote wakija kusherehekea ushindi wao, mdogo au…

Read More

Mpango kuinua kikapu vijana wazinduliwa

MPANGO maalumu wa kuwawezesha vijana kujifunza mchezo wa kikapu umezinduliwa wikiendi kwa ushirikiano baina ya Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Vodacom Tanzania sambamba na Shirika la Salesian of Donbosco Kanda ya Tanzania. Uzinduzi huo umefanyika kwenye viwanja vya Donbosco Oysterbay, jijini Dar es Salaam ukishuhudiwa na viongozi wa Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa…

Read More

Kitambi aibukia Fountain Gate kumrithi Mnigeria

FOUNTAIN Gate katika kuboresha kikosi hicho kwa msimu wa 2025-2026, imemchukua Denis Kitambi kuwa kocha mkuu. Kitambi aliyewahi kufundisha timu mbalimbali za Ligi Kuu ikiwemo Simba, Namungo, Geita Gold na Singida Black Stars, anachukua nafasi ya Mnigeria, Ortega Deniran. Taarifa za uhakika kutoka ndani ya kambi ya Fountain Gate, zinasema uamuzi wa kumchukua Kitambi umekuja…

Read More