Singida Black Srats itakula sana raha za Chama

SINGIDA Black Stars ilianza kwa kusuasua sana mashindano ya Kombe la Kagame yaliyomalizika Jumatatu wiki hii kwa fainali baina yao na Al Hilal ya Sudan. Na sio kama ilikuwa inacheza vibaya bali pale mbele haikuwa na mtu wa kulainisha. Pupa zilikuwa nyingi sana ilipokuwa inashambulia. Ilionekana wazi Mwamba wa Lusaka ambaye alisajiliwa lakini akachelewa kujiunga…

Read More

Profesa Mahalu afariki dunia, aacha historia

Dar es Salaam. Profesa wa sheria na mwanadiplomasia nguli, Profesa Costa Mahalu (77) amefariki dunia. Taarifa kutoka kwa familia yake imethibitisha Profesa Mahalu amefariki dunia leo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) alikokuwa akipatiwa matibabu. Hadi anafariki dunia, Profesa Mahalu alikuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu St Augustine akiendelea kutoa elimu ya sheria. …

Read More

Kihenzile Avutiwa na Uwekezaji wa Bandari ya Durban, Aisifia Ushirikiano wa Sekta Binafsi

DURBAN: Naibu  Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, ametembelea Bandari ya Durban iliyopo nchini Afrika Kusini, kwaajili ya kujionea utendaji na uwekezaji mkubwa katika bandari hiyo inayohesabika miongoni mwa bandari kuu za kontena barani Afrika. Bandari ya Durban ina jumla ya gati 58 zinazohudumia aina mbalimbali za mizigo ikiwemo makasha (containers), magari, mizigo ya kawaida (break…

Read More

UN Chief Hails ‘mfano wa kushangaza’ wa Papua New Guinea wakati anahitimisha safari ya kihistoria – maswala ya ulimwengu

Akiwa ameshikwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, James Marape, Bwana Guterres aliuliza Maoni Alifanya wakati wa hotuba katika Bunge la Kitaifa Jumatano, ambayo alielezea Papua New Guineans kama “Mabingwa wa Multilateralism na Suluhisho za Kimataifa.” Katibu Mkuu alibaini kuwa, katika ulimwengu ambao “tunaona maadili ya kidemokrasia yakihojiwa,” nchi-ambapo lugha 800 zinazungumzwa-inashikilia upendeleo wa kutatua…

Read More

Hisia pekee hazitoshi, jifunze kupenda

Dar es Salaam. Katika jamii ya leo, mapenzi mara nyingi hufafanuliwa kwa hisia kali: msisimko wa kukutana, mapigo ya moyo yanayoongezeka, hamu ya kuwa karibu kila wakati na mtu fulani.  Hisia hizi zimepewa nafasi kubwa kupitia nyimbo, filamu na mitandao ya kijamii kiasi cha kufanya wengi waamini kuwa mapenzi ni suala la kuhisi tu.  Hata…

Read More

MACHIFU KUTUMIA MBINU ZA KIJADI KUWADHIBITI WANAOMBEZA RAIS SAMIA MITANDAONI … “TUNAKASIRISHWA SANA”

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mbalizi WAKATI mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Rais Dk.Samia Suluhu Hassan akiwa katika mkutano mkoani Mbeya machifu nchini wametangaza kuchukua hatua kwa njia za kimila kuwakomesha wale wote wanaobeza maendeleo na wengine kutoa lugha chafu kwa Rais Dk.Samia. Machifu wamesema katika mambo ambayo yanawakasirisha na kuona au kusikia Rais Samia akitukwana…

Read More

Kariakoo Derby Kupigwa Amaan Complex Leo Usiku

Global Publishers March 1, 2026 0 Comments Macho na masikio ya mashabiki wa soka nchini yataelekezwa Zanzibar usiku wa leo wakati watani wa jadi watakapokutana katika pambano la Kariakoo Derby. Mchezo huo unatarajiwa kupigwa katika dimba la Amaan Stadium (Amaan Complex) kuanzia saa 2:15 usiku, huku presha ikiwa kubwa kwa kila upande kusaka ushindi muhimu….

Read More