Ibenge: Wiki mbili tu zinatosha

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema wiki mbili jijini Arusha zitatosha kutoa uelekeo wa maandalizi ya msimu mpya, huku akiweka wazi ameona mwanga baada ya kukuutana na wachezaji  na kuzungumza na mmoja mmoja. Azam kabla ya kuondoka jijini mapema leo kwenda Arachuga, walikuwa na siku tatu za maandalizi ambapo kocha alipata nafasi ya…

Read More

Yanga yatibua dili la Fei Simba

TANGU atambulishwe na Azam FC Juni 8, 2023,  baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu, nyota Feisal Salum almaarufu Feitoto, amekuwa akihusishwa na klabu mbalimbali ndani na nje ya nchi. Lakini klabu ambayo amekuwa akihusishwa nayo zaidi ni Simba, huku wengi wakiamini inaweza kutokea kama ilivyotokea kwa John Bocco na wenzake mwaka 2017. Hata hivyo,…

Read More

CCM KUPITISHA WAGOMBEA WENYE UWEZO UCHAGUZI MKUU- GAVU

Na Mwandishi Wetu KATIBU wa NEC Oganizesheni na Mafunzo CCM Issa Haji Usi maarufu Gavu amesisitiza Watanzania kuendelea kukiamini Chama cha Mapinduzi kwa kuwa kinaendelea na mipango yake ya kuwaletea Wananchi Maendeleo. Akizungumza wakati Kongamano la Umoja wa Vijana wa chama hicho UVCCM Wilaya ya Temeke kuelezea utekelezaji wa ilani ya CCM, Gavu amesema kupitia…

Read More

Geita: Serikali, Equity Bank Wachangia Elimu kwa Madawati

Serikali wilayani Geita imezitaka taasisi mbalimbali nchini kuendelea kujitolea kusaidia sekta ya elimu kama njia ya kuchangia maendeleo ya taifa. Akizungumza wakati wa kupokea msaada wa madawati 100 yaliyotolewa na Benki ya Equity Tanzania kwa Shule ya Sekondari ya Wasichana Nyankumbu, Afisa Tarafa wa Wilaya ya Geita Moreen Komanya alisema hatua kama hiyo ni muhimu…

Read More

TFS Yaivutia China kwa Mbinu za Uhifadhi Endelevu

Tanzania imeendelea kujijengea heshima kimataifa katika usimamizi endelevu wa misitu baada ya kupokea ujumbe wa wataalamu wa misitu kutoka Jimbo la Yunnan, nchini China, waliowasili nchini kwa ziara ya kikazi yenye lengo la kubadilishana uzoefu na utaalamu wa uhifadhi. Ujumbe huo, ulioanza ziara yake Novemba 11 na unatarajiwa kumalizika Novemba 14, 2025, leo Jumatano umetembelea…

Read More

PPRA yahimiza wananchi kutumia fursa ya sheria ya manunuzi kujikwamua kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti Ununuzi wa Umma (PPRA), Mhandisi Juma Mkobya, amewahimiza wananchi kutumia fursa zinazotolewa na Sheria ya Manunuzi ya Umma ya mwaka 2023 ili kujikwamua kiuchumi. Mhandisi Mkobya alitoa wito huo jijini Mwanza Oktoba 12, 2024 alipokuwa akielimisha wananchi waliotembelea banda la mamlaka hiyo kwenye maonesho ya…

Read More