Magenge ya Haiti yanapanuka huku polisi wakishutumiwa kwa ‘kunyonga kwa muhtasari’ – Global Issues

Angalau magenge 26 yanaendesha shughuli zake katika mji mkuu wa Haiti wa Port-au-Prince na maeneo ya karibu na “viwango vya kutisha vya vurugu.” Takriban watu milioni 1.4 wamelazimika kuyahama makazi yao na maelfu ya wengine kufariki. Ofisi mpya ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa ripoti iliyochapishwa Jumanne huko Geneva inaelezea athari za kuongezeka…

Read More

Vita, Nguvu, na Upinzani – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Asoka Bandarage (colombo, sri lanka) Jumatano, Machi 25, 2026 Inter Press Service COLOMBO, Sri Lanka, Machi 25 (IPS) – Kifungu cha 2(4) cha Mkataba wa Umoja wa Mataifa kinakataza nchi wanachama kutumia vitisho au nguvu dhidi ya uadilifu wa eneo au uhuru wa kisiasa wa nchi yoyote. Kwa kukiuka sheria za kimataifa, Marekani…

Read More

Mani Gamera anavyoleta mageuzi soka la Zanzibar

BURUDANI ya Soka Zanzibar haitegemei wachezaji pekee wakiwa uwanjani, badala yake hata baadhi ya makocha wamekuwa kivutio kwa mashabiki wa mpira visiwani hapa. Ikitokea timu ina kocha wa aina hiyo, siku ya mechi watu hufika uwanjani si tu kuangalia utaalamu wake, bali hata kufurahia kumwona namna anavyoshangilia baada ya kupata matokeo mazuri. Kocha wa Fufuni…

Read More

Sekta binafsi zaitwa kuwekeza kwenye soka

WAZIRI wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu Zanzibar, Mudrik Ramadhan Soraga, ametoa wito kwa sekta binafsi kudhamini ligi za soka kutoka madaraja ya chini. Amesema, klabu nyingi za madaraja ya chini zinakabiliwa na changamoto za kifedha ambazo zinazorotesha maendeleo yao, hali inayosababisha vipaji vya vijana wengi kushindwa kuendelezwa. “Ushiriki wa wadau mbalimbali katika sekta…

Read More

Nafisa anavyokamata soko kwa aina 12 za chai, ya nazi ikitamba

Tanga. Jiji la Tanga, linalosifika kwa upepo mwanana wa bahari na mandhari ya minazi, limeendelea kujijengea sifa si kwa utulivu wake pekee, bali pia kwa kuibua wabunifu wanaotumia fursa zilizopo kubadili maisha yao. Miongoni mwao ni Nafisa Mohamed, mwanamke aliyethubutu kubadili mtazamo wa watu kuhusu chai na kuigeuza kuwa fursa ya kiuchumi. Katika jamii nyingi,…

Read More

FYATU MFYATUZI: Fyatu kukutana na fyatu Tarampu

Leo, nabanja na Fyatu mwenzangu Donnie Tarampu usawa huu anapokongoliwa na waajemi. Nimeomba tukutane nimshaiwishi aje kwenye bara letu kuwasomba maimla wote wanaowafyatua mafyatu wao. Japo, yeye anahangaishwa na wese, sisi pia tunalo wese ambalo ni ukwasi waliofyatua na kuficha nje. Awafyatue na kuwajengea gereza maalumu au kuwasweka Guantanamo ili watoi wetu wajao waende kuona…

Read More