Profesa Mbarawa asisitiza ukaguzi njia za reli, usalama wa abiria
Dodoma. Serikali imeuagiza uongozi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuendelea kusimamisha safari za treni kwa muda pale wanapojenga mashaka ya miundombinu. Wito huo umetolewa leo Jumapili Februari Mosi, 2026 na Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa ahadi za Rais Samia Suluhu Hassan ndani ya siku 100 tangu aingie…