Serikali kutumia ndege maalumu kutafuta madini

Shinyanga. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amezindua ndege ya kisasa ya utafiti wa kijiolojia wa anga, itakayosaidia shughuli za utafutaji wa madini kwa kutumia teknolojia ya juu. Ndege hiyo itakayoruka mita 30 kutoka usawa wa uso wa ardhi, mali ya kampuni ya Barrick, itaongeza usahihi wa upatikanaji wa miamba iliyo chini ya ardhi, kupunguza athari…

Read More

Dk Mwigulu awakingia kifua wazee, akiwaonya vijana

Arusha/Dar. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameonya tabia ya vijana kujibizana na kuwakejeli wazee, akisema vitendo hivyo vinavunja heshima na ni hatari kwa maadili katika jamii. Mtendaji mkuu huyo wa Serikali ambaye, kwa nafasi yake, ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), amesisitiza ni jambo la hatari kwa Taifa unapofika wakati vijana…

Read More

Hatua kuelekea maridhiano, siku 100 za Rais Samia

Dar es Salaam. Zikiwa zimesalia siku 11 kabla Rais Samia Suluhu Hassan kutimiza siku 100 madarakani tangu kuapishwa kwake Novemba 5, 2025, Tanzania inajaribu kufanya uponyaji wa kisiasa na migawanyiko iliyojitokeza huku ajenda ya maridhiano ikijitokeza kama ahadi. Pia, mchakato wa maridhiano unaibua mjadala mpana kufuatia uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 uliotikisa hali ya…

Read More

ES Tunis yaivurugia Simba Kwa Mkapa CAFCL

Simba ni rasmi kuwa haina nafasi tena kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu baada ya kushindwa kulinda mabao 2-0 na kumaliza kwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Esperance de Tunis kwenye mchezo wa hatua ya makundi uliopigwa Uwanja wa Benjamini Mkapa, leo. Bado Simba imeendelea kuburuza mkia kwenye kundi ikiwa na…

Read More

Balozi Kombo atua EU, wajadili kuimarisha uhusiano

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imefanya mazungumzo na viongozi wakuu wa Umoja wa Ulaya (EU) jijini Brussels nchini Ubelgiji, hatua inayotafsiriwa kuwa mwelekeo mpya wa diplomasia. Katika mazungumzo hayo, ujumbe wa Tanzania ulioongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ulijadiliana na viongozi wa EU, kuhusu…

Read More