Wachimbaji wadogo walivyozalisha dhahabu ya Sh3.4 trilioni

Geita. Serikali imesema sekta ya madini imechangia zaidi ya ajira 35,000 kwa vijana na wanawake huku kilo 22,000 za dhahabu yenye thamani ya zaidi ya Sh3.4 trilioni ikizalishwa na wachimbaji wadogo katika kipindi cha miaka minne iliyopita. Uzalishaji huo umechochewa kupitia fursa za maonyesho ya teknolojia ya madini yanayofanyika kila mwaka mkoani Geita. Katika kipindi…

Read More

AKU yaikosha Lindi mafunzo ya ualimu

Dar es Salaam. Uongozi wa Mkoa wa Lindi umesema mradi wa kuwafundisha wakufunzi umesaidia kuwajengea uwezo watendaji kuanzia ngazi elimu, kata, shule hadi halmashauri za mkoa huo. Mradi huo unaoitwa ‘Foundations for Learning’ ulikuwa unatekelezwa na Taasisi ya Maendeleo ya Elimu ya Chuo Kikuu cha Aga Khan, Afrika Mashariki (IED, EA) kuanzia mwaka 2022 hadi…

Read More

NISHATI SAFI INATEKELEZWA KWA VITENDO GEITA

::::::::::: Wananchi wakiwa katika banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ili kununua majiko ya gesi na majiko banifu kwa bei ya ruzuku katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini mkoani Geita.  Maonesho hayo yamefunguliwa rasmi na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa.  

Read More

DK.SAMIA ATOA HOFU WAKULIMA BEI YA MBAAZI NA UFUTA, WANYAMA WAHARIBIFU TUNDURU

Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Tunduru MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wakulima wa mbaazi na ufuta katika wilayani Tunduru mkoani Ruvuma kwamba Serikali inaendelea na mazungumzo na Serikali ya India kwa ajili ya kuuza mazao hayo. Akihutubia wananchi wa Kijiji cha Nakapanya wilayani Tunduru mkoani Ruvuma leo Septemba…

Read More

Makocha wazawa waichunia Simba | Mwanaspoti

Wakati uongozi wa Simba ukianza kupokea maombi na wasifu wa makocha mbalimbali kwa ajili ya kumrithi Kocha Mkuu, Fadlu Davids aliyeamua kutimkia Raja Casablanca, hadi sasa hakuna kocha mzawa aliyeomba nafasi hiyo. Hilo linatokea huku kocha huyo akiiaga klabu hiyo huku akijiunga na rasmi na Raja Casablanca ya Morocco. Tangu juzi mara baada ya kuwepo…

Read More

Simbu aipandisha chati Tanzania kidunia

Ushindi wa medali ya dhahabu katika marathoni kwa mwanariadha Alphonce Simbu kumeifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi 20 bora katika mchezo wa riadha kati ya nchi 198. Tanzania kwa sasa ni nchi ya 19 kwa mujibu wa  orodha ya viwango vya dunia iliyotolewa jana na Shirikisho la riadha duniani (WA) na ya tatu katika bara…

Read More