Dk Mwinyi aonya biashara pembezoni mwabarabara akizindua soko la Chuini
Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amesema hakuna tena sababu kwa wananchi kuendelea kufanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi au pembezoni mwa barabara, kwa kuwa Serikali imeboresha miundombinu na kujenga masoko yenye viwango vya kimataifa. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo, Septemba 4, 2025, wakati akizindua Kituo cha Mabasi na Soko la Chuini Kwanyanya,…