BEI YA MAFUTA ZANZIBAR YAPANDA

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) imetangaza bei mpya za mafuta kwa mwezi Febuari 2025 ambapo bei hizo zimetajwa kupanda. Akitoa taarifa hiyo kwa Waandishi wa Habari Kaimu Meneja Kitengo cha Uhusiano Shara Chande Omar kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) katika ukumbi wa…

Read More

Vita ulaji vyakula vya asili na vya kisasa janga jipya

Dar es Salaam. Katika miji yenye shughuli nyingi kama Dar es Salaam, Lagos  Nairobi na mingineyo barani Afrika, harufu ya vyakula vya haraka na vilivyosindikwa ( junk foods) inashindana na pengine hata kuzidi harufu ya vyakula vya jadi vinavyopikwa na wauzaji wa mitaani. Afrika, bara lenye urithi tajiri wa upishi, linashuhudia mabadiliko makubwa ya lishe,  ambayo sasa…

Read More

Dosari zipatiwe ufumbuzi kuelekea uteuzi wa wagombea

Dar es Salaam. Uchaguzi wa serikali za mitaa uliopangwa kufanyika Novemba 27, 2024, unatoa fursa kwa wananchi kuchagua viongozi wa ngazi ya mitaa, vijiji, na vitongoji. Mchakato huu ni muhimu kwa kuwa unaimarisha utawala wa kidemokrasia na kuleta uwakilishi wa moja kwa moja wa wananchi. Hata hivyo, kuelekea uteuzi wa wagombea Novemba 8, 2024 kumekuwa…

Read More

Mamalishe Soko la Kinyasini walia kukosa huduma ya choo, Serikali yatoa neno

Unguja. Mamalishe wa Soko la Kinyasini, lililopo Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja, wamelalamikia kukosa huduma ya choo, jambo linalowalazimu kufungiana kanga kujiziba wanapokwenda kujisitiri. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mwananchi leo Jumatatu, Januari 13, 2025, Semeni Salumu, mmoja wa mamalishe hao, amesema hali hiyo inawasikitisha kwa kuwa soko hilo linatakiwa kuwa na…

Read More

Wakili Mkuu wa Serikali Atoa Wito wa Matumizi ya Mifumo ya Kidijitali kwa ajili ya Ufuatiliaji wa Migogoro na Uimarishaji wa Haki

Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi ametoa wito kwa taasisi zote za kisheria na wadau wa haki nchini kutumia mifumo ya kidijitali kupata takwimu sahihi zitakazowawezesha kufuatilia migogoro yote waliyoisikiliza ili kuhakikisha inamalizika kwa mafanikio. Dkt. Possi ametoa wito huo leo tarehe 01 Februari, 2025 alipotembelea mabanda ya maonesho ya taasisi mbali mbali nchini…

Read More

UDSOL YAANDAA KILELE CHA MASHINDANO YA KIMAHAKAMA

:::::::: Shule Kuu ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam imesema inatarajia kufanya kilele cha msimu wa tatu wa fainali za Mashindano ya Mahakama Igizi (UDSoL). Kupitia taarifa iliyotolewa leo na Mratibu wa UDSoL, Dkt. Petro Protas, imesema kuwa kilele hicho kitafanyika Juni 4, 2025, katika Ukumbi wa Council Chamber, ulioko katika Kampasi…

Read More