WAZIRI JAFO ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWA KUPANDA MTI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewahimiza Watanzania kuendelea kutunza na kuhifadhi mazingira ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Amesema suala la hifadhi ya mazingira ni ajenda muhimu hivyo kila mwananchi anao wajibu wa kupanda miti na kuitunza ili kulinda mazingira. Dkt. Jafo ametoa…

Read More

Nguvu zaidi zinahitajika ulinzi ghuba ya Chwaka

Unguja. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Ayoub Mohammed Mahmoud amesema umefika wakati sasa kuongeza nguvu ya ulinzi katika Ghuba ya Chwaka, kutokana na kuwepo kwa baadhi ya wavuvi kuendelea na uharibifu wa hifadhi za bahari na rasilimali zake. Ameyasema hayo leo Ijumaa Januari 24, 2025 wakati akizindua na kukabidhi boti ya doria kwa ajili…

Read More

Samsung introduces device financing to facilitate smartphone penetration in the country. – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Dar es Salaam. According to a Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) report, more Tanzanians are now using smartphones as the numbers of feature phone users start declining. The statistics indicate that the usage of smartphones among Tanzanians increased from 15% in December 2021 to 32.59 percent in March 2024. This is a positive sign…

Read More

Serikali kuwapima afya ya akili waajiriwa wapya

Dodoma. Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma itafanya upekuzi wa afya ya akili (psychonomic test) kwa waajiriwa wapya, lengo likiwa ni kuhakikisha wanaoingia katika ajira mpya wanakuwa na utimamu wa akili. Mbali na hilo, Serikali imekemea utovu wa nidhamu, vitendo vya rushwa, vitisho na ubabe kwa waajiri na watumishi wa umma….

Read More

Azam, Coastal muvi ziliisha mapema CAF

WAWAKILISHI wa Tanzania na visiwani Zanzibar katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho, timu za Azam FC, Coastal Union, JKU na Uhamiaji, wameaga kirahisi mashindano hayo makubwa katika michezo ya awali tu. Azam ilicheza Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kumaliza katika nafasi ya pili kwenye Ligi Kuu Bara msimu uliopita…

Read More

Ndege ya kwanza kutengezwa Tanzania yaanza safari zake

Kampuni ya Airplanes Africa Limited (AAL) yenye makao yake Morogoro, imetangaza kuwa ndege tatu za kwanza zilizotengenezwa Tanzania, zinazojulikana kama Skyleader 600, zimeanza rasmi safari zake ndani na nje ya nchi. Mkurugenzi wa AAL, Bw David Grolig amesema kuwa ndege moja kati ya hizo tatu imetua kwa mara ya kwanza kwenye uwanja Ndege wa Kimataifa…

Read More

Biteko, Nape wanadanganya?

KWA mila na desturi zetu za Kiafrika mkubwa huwa hakosei, ndiyo maana tunasema bosi katoka kidogo siyo katoroka. Meneja  hajafika bado siyo kachelewa na baba hakurudi jana siyo kwamba baba alichepuka. Anaandika Nyaronyo Kicheere (endelea). Kwa mantiki hiyo, sisi watoto wa Kiafrika tuliolelewa vizuri tunakatazwa kusema kwamba mtu fulani mkubwa kasema uongo au kwamba mzee…

Read More

Masoko ya kazi ya ulimwengu yaliyofungwa na ulaji wa Amerika – maswala ya ulimwengu

Inakadiriwa kuwa watu milioni 407 wanataka kazi lakini hawana moja, na kusababisha watu wengi kuchukua nafasi wanaweza kuzidiwa kwa sababu ya ukosefu wa chaguzi. Mikopo: Unsplash/Alex Kotliarskyi Maoni na Maximilian Malawista (Umoja wa Mataifa) Ijumaa, Juni 06, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Jun 06 (IPS) – Wakati Asia na Pasifiki zinaonekana…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Fadlu, Azim wamembeba Chasambi

ULE mchezo ambao Ladack Chasambi alijifunga bao ambalo lilikuwa la kusawazisha kwa Fountain Gate dhidi ya Simba ungeweza kuwa mwanzo wa maisha magumu kwa winga huyo mwenye umri wa miaka 20. Maana tayari kulishaanza maneno maneno kutoka kwa baadhi ya mashabiki hoyahoya wakidai kuwa dogo alifanya lile tukio kwa makusudi kisa tu kuna siku alisema…

Read More