
WAZIRI JAFO ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWA KUPANDA MTI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewahimiza Watanzania kuendelea kutunza na kuhifadhi mazingira ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Amesema suala la hifadhi ya mazingira ni ajenda muhimu hivyo kila mwananchi anao wajibu wa kupanda miti na kuitunza ili kulinda mazingira. Dkt. Jafo ametoa…