
BEI YA MAFUTA ZANZIBAR YAPANDA
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) imetangaza bei mpya za mafuta kwa mwezi Febuari 2025 ambapo bei hizo zimetajwa kupanda. Akitoa taarifa hiyo kwa Waandishi wa Habari Kaimu Meneja Kitengo cha Uhusiano Shara Chande Omar kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) katika ukumbi wa…