Fyatu kujifyatua na kujinoma na king’ora!

Baada ya kuchoka msongamano wa Bongo isiyo na bongo za kutatua changamoto na kero zake, nimechemsha bongo. Niwajuze waziwazi. Nina mpango wa kununua na kufunga king’ora kwenye mchuma wangu kuepuka kusota kwenye foleni kama mafyatu makapuku wakati mie ni munene wao kama wale wanene wa kaya. Maana, kama sikosei, ndiyo mfumo wa kifyatu wa wanene…

Read More

Kilio wizi mita za maji Manispaa ya Iringa

Iringa. Wakazi wa Manispaa ya Iringa wamelalamikia ongezeko la wizi wa mita za maji unaoendelea katika manispaa hiyo, hali inayosababisha hasara kubwa kwa kulazimika kununua mita nyingine kila wakati. Wakizungumza na Mwananchi Digital leo Jumanne Agosti 13, 2024, wananchi hao wamesema wizi huo umekuwa ukitokea katika mitaa ya Mawelewele, Kihesa, Mkwawa, Gangilonga na maeneo mengine,…

Read More

Marufuku mikopo kausha damu wilayani Mbogwe

Mkuu wa wilaya ya Mbogwe Bi. Sakina Mohamed amepiga Marufuku Mikopo umiza katika wilaya yake kwa madai imekuwa haiko kisheria kutokana na Akina Mama wengi kulizwa kwa kuongezwa riba zisizokuwa na lengo la Kumnyanyua mwanamke kiuchumi. Akizungumza katika Hafla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Mwanamke na Samia wilayani humo Sakina amesema kumekuwepo na Kesi nyingi…

Read More

KONA YA FYATU MFYATUZI: Tutateka, kutekwa na kutekana mpaka lini?

Japo kadhia hii inaonekana kuzoeleka kama siyo kukubalika, fyatu sikubaliani na jinai hii. Siku hizi, katika kaya yetu, utekaji umegeuka dili. Unaweza kutekwa, kuteka, hata kujiteka. Hamkusikia ndata wakisema kuna mafyatu walijiteka wakadai walitekwa? Msinikumbushe kisa cha fyatu aliyelala kwa mchepuko akarejea home akamwambia bi mkubwa kuwa alikuwa amemezwa na fish. Tuache utani. Kaya yetu…

Read More

Polisi yamdaka anayedaiwa kuiba mtoto wa miaka minne

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi linamshikilia Zakia Mohamed (26) mkazi wa Mikwambe wilaya ya Kigamboni jijini Dar es salaam kwa tuhuma za kumuiba mtoto Zulkalya Ndambwe (4) tangu Agosti 8, 2024. Kwa mujibu wa taarifa ya Polisi iliyotolewa leo Jumanne Agosti 27, 2024, na Msemaji wake, David Misime, Zakia amekiri kumuiba mtoto huyo na…

Read More

Polisi yawashikilia watu 21 wakituhumiwa kwa uhalifu

Unguja. Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linawashikilia watuhumiwa 21 wakidaiwa kujihusisha na matukio ya wizi, uporaji na unyang’anyi wa kutumia mapanga.  Watuhumiwa wamekamatwa baada ya polisi kufanya oparesheni maalumu ya kuwasaka watu wanaojihusisha na matukio ya uhalifu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 16, 2024 ofisini kwake, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi,…

Read More

Wawili kizimbani wakidaiwa kukwepa kodi ya TRA

Dar es Salaam. Wakazi wawili jijini hapa wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakishtakiwa kwa makosa tisa yakiwamo ya kughushi nyaraka za kiwanja, kukwepa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kutakatisha Sh54 milioni. Washtakiwa hao ni Mohamed Awadhi (49) na Kassim Simba (56) wanaodaiwa kukwepa kodi ya TRA kwa kulipa Sh54 milioni…

Read More