Kesi kuporomoka jengo Kariakoo yaendelea kupigwa kalenda

Dar es Salaam. Upande wa mashitaka umedai bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili watu sita wakiwemo wamiliki wa jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, Dar es Salaam. Wakili wa Serikali, Erick Kamala ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Jumanne Mei 13, 2025, wakati kesi hiyo…

Read More

Kukosekana elimu sababu watu kukimbia majiko ya umeme

Dar es Salaam. Wakati kampeni ya matumizi ya nishati safi ikiendelea kupigiwa chapuo kila sehemu, Wakala wa Umeme Vijijini (Rea) umesema kukosekana kwa elimu ni sababu ya watu wengi kuogopa kutumia majiko ya umeme kupikia, huku ikiwataka wananchi kuacha woga. Wito huo unatolewa ikiwa ni kampeni ya  matumizi ya kuni na mkaa ili  kuunga mkono…

Read More

Zubery Katwila avuta mashine tatu Bigman

KOCHA wa Bigman FC, Zubery Katwila ameanza kukisuka kikosi hicho baada ya kuzinasa saini za aliyekuwa beki wa kulia wa African Sports, Halfan Mbaruku, kiungo, Abubakar Hamis na mshambuliaji, Rafael Siame waliojiunga wakiwa wachezaji huru.  Akizungumza na Mwanaspoti, Katwila alisema bado hajapata taarifa rasmi za nyota wapya waliosajiliwa na viongozi wa timu hiyo, ingawa mojawapo…

Read More

Rais mwinyi akutana na Princess Sophie wa Uingereza

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameihakikishia Uingereza kwamba Zanzibar inaendelea na mikakati na juhudi kubwa ya kuhakikisha inadhibiti na kuumaliza ugonjwa wa Trakoma (Trachoma) nchini. Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Princess Sophie (Duchess of Edinburgh) aliyepo Zanzibar kwa ziara ya siku sita kutembelea…

Read More

Walimu kufeli mitihani ya wanafunzi, shida walimu au mfumo?

Katika hali isiyo ya kawaida, walimu wanaweza kufeli mitihani ileile waliyowatahini wanafunzi wao? Je, hali hii inaweza kuwa kipimo cha kuonyesha kuwa walimu hawa ni wabovu iwapo watastukizwa kufanya mitihani hiyo pasipo maandalizi? Turejee historia. Tukio hili lilizuka mwaka 2011, wakati aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Joyce Ndalichako, alipowapima ghafla…

Read More

Ahadi tano za Trump akiingia White House

Zikiwa zimebakia siku 12 za kuapishwa kwa Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, tayari mambo muhimu aliyoyaahidi kwa Wamarekani yanamsubiri ofisini kwake na anatarajiwa kuanza na moja baada ya jingine. Trump, ambaye ni Rais wa 45 na 47 wa Marekani, anatarajiwa kuapishwa Januari 20, 2025, akichukua nafasi ya Joe Biden, ambaye anamaliza muda wake akiwa…

Read More

Namba za chama Yanga zaanza kutisha CAF

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Clatous Chama amehusika kwenye mabao manane kati ya 17 yaliyofungwa na Yanga ikitinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, akimfunika Stephane Aziz Ki ambaye amehusika kwenye mabao matano akifunga manne na asisti moja. Yanga ilianzia hatua za awali kwenye michuano hiyo imecheza mechi nne na kati ya hizo imefunga…

Read More