Kesi kuporomoka jengo Kariakoo yaendelea kupigwa kalenda
Dar es Salaam. Upande wa mashitaka umedai bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili watu sita wakiwemo wamiliki wa jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, Dar es Salaam. Wakili wa Serikali, Erick Kamala ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Jumanne Mei 13, 2025, wakati kesi hiyo…