Jacob Massawe awatolea uvivu mawakala

KIUNGO mshambuliaji wa Namungo, Jaccob Massawe amesema mawakala wanapaswa kuacha tamaa na kuangalia malengo ya wachezaji wadogo akitolea mfano ishu ya Clement Mzize. Mkongwe huyo anayeitumikia Namungo kwa msimu wa tano sasa tangu ajiunge nayo msimu wa 2020/21 akitokea Gwambina. Akizungumza na Mwanaspoti, Massawe mwenye uwezo wa kucheza kama winga amesema mawakala wengi wanakwamisha viwango…

Read More

Waganda waja kivingine mbio za magari Afrika

UJUMBE mzito wa madereva na mashabiki wa mbio za magari kutoka Uganda unatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kwa ajili ya kusherehesha mashindano ya magari ubingwa wa Afrika yatakayochezwa nchini  Septemba 19, 20 na 21 mkoani Morogoro. Waganda wanakuja Morogoro wakiwa na mabingwa watarajiwa, Mtanzania Yassin Nasser ambaye ni dereva na Mganda Ally Katumba, ambaye ni msoma…

Read More

TUONGEE KIUME: Mwanamume anatetea na kubadili maisha ya watu

Wiki kadhaa zilizopita nilikuwa barabarani naendesha gari. Mara nikafika sehemu yenye barabara nyembamba. Mbele yangu upande wa kulia kuna gari inakuja, na upande wa kushoto kuna mkokoteni unakwenda ninapoelekea. Ikabidi nisimame kusubiri mwenye mkokoteni asogee mbele ili niweze kupita vizuri kwa usalama. Lakini ghafla nikasikia, pipiiiiii!!! Honi kibao. Kuangalia nyuma naona ni bodaboda mwenye haraka…

Read More

Ahadi za Samia kwa wananchi wa Chamwino

Chamwino. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi kumaliza changamoto zote za huduma za kijamii katika Jimbo la Chamwino kwa kile alichoeleza kuwa “Jimbo la Rais halitakiwi kuwa na changamoto zozote.” Samia ametoa ahadi hizo leo Jumapili, Agosti 31, 2025, Chamwino mkoani Dodoma, ikiwa ni kituo chake cha kwanza cha kampeni…

Read More

Aliyekuwa Spika Bunge la Ukraine auawa kwa kupigwa risasi

Dar es Salaam. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Ukraine, Andriy Parubiy ameuawa kwa kupigwa risasi katika Jiji la Magharibi la Lviv jana Jumamosi, kwa mujibu wa taarifa za Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu. Taarifa zinaeleza kuwa,  mtu mwenye silaha alifyatua risasi kadhaa na kumuua Parubiy papo hapo kisha kukimbia na msako mkubwa umeanzishwa kumtafuta muuaji…

Read More