McCarthy amtaja Jose Mourinho Kenya

KOCHA wa Kenya, Benni McCarthy amesema ushindi wao wa kihistoria dhidi ya Morocco kwenye CHAN 2024 umetokana na mbinu alizojifunza kutoka kwa Jose Mourinho, akisisitiza kucheza pungufu ya mchezaji mmoja si kisingizio cha kupoteza kama timu ina nidhamu na mipango sahihi. Ushindi wa Kenya dhidi ya Morocco, uliifanya timu hiyo kuendelea kujikita kileleni mwa msimamo…

Read More

TAASISI ZA FEDHA ZAKOPESHA TRILIONI 33

Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Serikali imesema kuwa hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2023, mikopo yenye jumla ya shilingi trilioni 33.2 imetolewa na Benki na taasisi za fedha ambazo hutoa mikopo yenye dhamana inayotosheleza (fully secured), yenye dhamana inayotosheleza sehemu tu ya mkopo(partially secured) na isiyo na dhamana (unsecured). Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma na…

Read More

Serikali yabanwa utekelezaji mkakati wa kupunguza matumizi

Dodoma. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imeitaka Serikali kutekeleza mkakati wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima baada uchambuzi wake kubaini hautekelezwi ipasavyo. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Oran Njeza amesema hayo leo Jumanne Juni 18, 2024 alipotoa maoni ya kamati kuhusu tathimini ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023, Mpango wa Maendeleo…

Read More

Msongo wa mawazo unavyoweza kukunenepesha

Dar es Salaam. Wanasaikolojia wanasema moja kati ya sababu zinazoweza kumfanya mtu kuwa mnene kupindukia,  ni kukabiliwa na msongo wa mawazo. Mwanasaikolojia Charles Kalungu amesema msongo unaweza kumfanya mtu anenepe kwa sababu ya kuvurugwa kwa mfumo mzima wa mwili na akili,  ambapo mtu hujaribu kujitafutia furaha kupitia kula vyakula bila kujali kama vina  faida au…

Read More

Daktari kwenye mistari ya mbele ya tetemeko la ardhi la Afghanistan – maswala ya ulimwengu

Nyumbani mwake huko Jalalabad, takriban kilomita 50 mbali na kitovu, Dk Sahak na mkewe walitoka nje ya chumba chao kupata watoto wao wanane tayari kwenye barabara ya ukumbi. “Mara moja nilifikiria juu ya Herat,” daktari wa Afghanistan katika miaka yake ya marehemu aliniambia, akizungumzia matetemeko ya ardhi ambayo yaliharibu mkoa wa magharibi wa nchi hiyo…

Read More

Mjue koala, mnyama anayelala saa 22 kwa siku

Dar es Salaam. Wakati dunia ikiadhimisha siku ya mnyama wa porini aitwaye koala leo Mei 3, jamii imesisitizwa kuhusu umuhimu wa kulala na utunzaji wa mazingira. Koala ni mnyama wa familia ya wombat ambaye kwa kawaida hupatikana nchini Australia. Wanajulikana kwa vichwa vyao vikubwa, masikio mafupi yenye manyoya na miili isiyo na mkia na wanachukuliwa…

Read More

MAPESSA INTERTRADE YAPAMBANIA UJENZI VIWANDA VYA UCHENJUAJI, KEMIKALI CHUNYA

Kampuni ya Uuzaji wa Vifaa na Kemikali za Uchenjuaji Madini Chunya, MAPESSA Intertrade Ltd imeiomba Serikali  kuendelea kuhamasisha wadau na Wawekezaji kuanzisha viwanda vya utengenezaji Vifaa vya uchenjuaji  na kemikali  zinazotumika  katika uzalishaji wa  madini ya dhahabu ili viweze kupatikana kwa bei nafuu na kwa urahisi zaidi kwa  wachimbaji wadogo. Akizungumza  na Madini Diary hivi…

Read More

MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA YAFANIKISHA KAYA MASIKINI 400,000 KUONDOLEWA TASAF

Na Mwandishi Wetu MIAKA minne ya serikali ya awamu ya sita madarakani Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF),kupitia Mpango wa kunusuru kaya maskini umefanikiwa kuhitimisha kaya za walengwa takribani 400,000 nchi nzima baada ya kuhudumiwa kwa takribani miaka 10. Hilo limefanikiwa kutokana na utekelezaji wa afua mbalimbali ambapo zimeboresha maisha,kuongeza rasilimali na zinaweza kuendelea kuendesha maisha…

Read More