Guterres analaani mgomo wa Israeli kwa viongozi wa Hamas huko Qatar kama ‘ukiukwaji mkali’ – maswala ya ulimwengu

Katika taarifa yake, António Guterres alizungumza dhidi ya kile alichokiita “ukiukaji mkali” wa uhuru wa Qatari na uadilifu wa eneo. Alisisitiza kwamba vyama vyote lazima vizingatie kufikia mapigano ya kudumu huko Gaza, “sio (juu) kuiharibu”. Hakuna viongozi wakuu waliouawa, anadai Hamas Hamas aliripoti kwamba watu sita waliuawa, pamoja na mtoto wa mmoja wa viongozi wake…

Read More

Tausi bingwa Daraja la Kwanza wanawake

NI rasmi kwamba Tausi FC maarufu kama Ukerewe Queens imekuwa bingwa wa Ligi Daraja la kwanza (WFDL) kwa wanawake baada ya kuichapa Bilo Queens kwa mabao 3-0 kwenye fainali iliyopigwa katika Uwanja wa Nyamagana, Mwanza. Mashindano hayo yalianza kupigwa Juni 8 hadi June 16, mwaka huu ambapo katika Uwanja wa Nyamagana yalishirikisha timu 16 zilizochuana…

Read More

Straika Namungo ndio basi tena!

MSHAMBULIAJI wa Namungo, Ibrahim Ali Mkoko amemaliza msimu kutokana na kufanyiwa tena upasuaji wa pili wa goti la mguu wa kulia, kutokana na mishipa yake kushindwa kupeleka damu kwa wakati sahihi. Akizungumza na Mwanaspoti, Daktari wa Namungo, Richard Yomba alisema mchezaji huyo kwa sasa hawezi kucheza tena mechi zote zilizosalia msimu huu, ingawa maendeleo yake…

Read More

Wenye ulemavu wa kupitiliza kufundishwa wakiwa nyumbani

Rombo. Serikali imeanza utekelezaji wa usajili wa mwongozo wa watoto wenye ulemavu unaowapa nafasi wale wenye changamoto zaidi kufundishwa wakiwa nyumbani. Hayo yameelezwa leo Jumapili Desemba 22, 2024 na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda wakati akikabidhi viti mwendo kwa watoto wenye mahitaji maalumu wilayani humo. Amesema Serikali haitamwacha mzazi abebe jukumu…

Read More