Waliohukumiwa kunyongwa kwa mauaji ya bodaboda waachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha adhabu ya kunyongwa hadi kufa iliyokuwa imetolewa dhidi ya Hamis Ernest na Renatus Simon, waliokuwa wamepatikana na hatia ya kumuua dereva wa bodaboda, Gervas Genus. Kuachiwa kwao kumetokana na Mahakama ya Rufani kubaini kuwa upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha shitaka hilo bila kuacha shaka. Uamuzi huo umetolewa Februari 27, 2026…

Read More

NMB Yakutana na Wafanyabiashara Tabora

Benki ya NMB imefanya kongamano maalum na wafanyabiashara wa mkoa wa Tabora, likilenga kujadili fursa za kifedha na huduma mbalimbali zinazotolewa na benki hiyo. Meneja Mwandamizi wa Idara ya Biashara wa NMB, Dickson Richard, akizungumza katika kongamano hilo lililofanyika katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, amesema benki imejipanga kuendelea kushiri. kiana kwa karibu na wafanyabiashara…

Read More

THBUB UNGUJA, PEMBA KUIMARISHA USHIRIKIANO

04 MACHI, 2026 ZANZIBAR *ZASISITIZA USHIRIKIANO MAENEO YA UTAALAMU, UZOEFU NAIBU Katibu Mtendaji Tume ya Haki za binadamu na Utawala Bora (THBUB), Bw. Juma Msafiri Karibona amehimiza suala la ushirikiano katika kutekeleza majukumu ya Tume hiyo kwa ofisi za Unguja na Pemba. Bw. Karibona aliyasema hayo ofisi za Tume zilizopo Mombasa, Wilaya ya Magharibi B…

Read More

Cheza Wild White Whale, Chukua Udhibiti wa Bahari ya Zawadi

MERIDIANBET inakuleta kwenye ulimwengu wa ajabu wa Wild White Whale, mchezo unaokuletea mizunguko ya ushindi bila kikomo. Kila mzunguko ni fursa mpya ya kubadilisha hali yako, na kila mchezaji ana nafasi ya kuwa nahodha wa bahari ya zawadi. Hapa, akili na mikakati yako ndiyo vitu vinavyohitajika. Cheza mizunguko 100 kwa pesa halisi, na Meridianbet inakuongezea…

Read More