Vifo vya raia vifo katika wiki moja huku kukiwa na uhasama unaokua – maswala ya ulimwengu

Takwimu hii inawakilisha a ongezeko mara tatu kutoka wiki iliyopita, Wakati angalau raia 89 walipoteza maisha wakati wa uhasama unaoendelea. Mgogoro huo unachanganywa na kuongeza vurugu huko Kusini Kordofan na Blue Nile States, ambapo janga la kibinadamu liko, kulingana na Mratibu wa kibinadamu wa UN kwa Sudan. Clementine Nkweta-Salami. Kuongezeka kwa vurugu Wiki hii, mzozo…

Read More

Nabii Mkuu Geor Davie ateuliwa UN-PAF Afrika Mashariki

Dar es Salaam. Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Ngurumo ya Upako la jijini Arusha, Nabii Mkuu GeorDavie Moses ameteuliwa na Shirika la Mabalozi wa Amani la Umoja wa Mataifa (United Nations Peace Ambassadors Forum – UN-PAF) kuwa Balozi na Mwakilishi wa Afrika Mashariki. Uteuzi huo umetangazwa hivi karibuni jijini New York, Marekani, ambapo Mwenyekiti wa…

Read More

Mafuta bora kiafya, namna ya kutumia

Dar es Salaam. Mafuta ni muhimu katika mwili kwa kuwa yanasaidia ufyonzwaji wa vitamini A, D, E na K. Kiafya binadamu anatakiwa kutumia kiasi cha kidole gumba chake kama kipimo cha mafuta alayo kwa siku. Mafuta, hasa yatokanayo na samaki, yana virutubishi muhimu (asidi za omega 3 na 6) ambavyo ni bora kwa ukuaji wa…

Read More

Mkutano wa Afya Ulimwenguni unafungua wakati wa kura ya makubaliano ya makubaliano ya juu, Mgogoro wa Fedha wa Ulimwenguni-Maswala ya Ulimwenguni

Tedros Adhanom Ghebreyesus, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Ulimwenguni, aliwasihi nchi wanachama zibaki zikizingatia malengo yaliyoshirikiwa hata licha ya kutokuwa na utulivu wa ulimwengu. “Tuko hapa kutumikia masilahi yetu wenyewe, lakini watu bilioni nane wa ulimwengu wetu“Alisema katika hotuba yake kuu katika Mataifa ya Palais des.” Kuacha urithi kwa wale wanaotufuata; kwa watoto wetu…

Read More

BALOZI NCHIMBI MSIBANI KWA NDUGU MALIMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akitoa pole kwa familia ya marehemu Mobutu Malima, nyumbani kwake Kishili, Nyamagana, mkoani Mwanza, tarehe 20 Juni 2025. Ndugu Malima, ambaye alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Naibu Katibu Mkuu (Bara), Makao Makuu ya CCM, Dodoma alifariki tarehe 15 Juni na anatarajiwa kuzikwa Jumapili,…

Read More

Bado Watatu – 4 | Mwanaspoti

KADHALIKA katika chupa hizo pia kutakuwa na alama zao za vidole kwa vile kila mmoja alikuwa akishika chupa na kujimiminia. Baada ya kuwaza hivyo niliinuka nikaenda pale kando ya meza na kuzitazama zile bilauri bila kuzigusa. Nikahisi kwamba alama zao zilikuwepo. Nikatoa kitambaa kutoka mfukoni mwangu na kumwambia mwenyeji wangu anipatie mfuko ili nitie zile…

Read More

Sh100 milioni za marehemu zampeleka jela miaka mitano

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imemhukumu Mkazi wa Gerezani, Samweli Gombo kifungo cha miaka mitamo jela baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa fedha kiasi Sh102.9 milioni. Fedha hizi alizoiba kwenye akaunti ya benki ya NMB ya marehemu baba yake wa kambo, Staniford Gombo. Pia, Mahakama hiyo imemuamuru…

Read More

Mvua yasababisha barabara nne kufungwa Dar

Dar es Salaam. Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha kufungwa kwa baadhi ya barabara mkoani Dar es Salaam. Maeneo ambayo barabara zimefungwa ni Jangwani, Mkwajuni, Africana, na ya kutokea Kibada kuelekea Kisarawe 2, ambako daraja limevunjika na kukata mawasiliano. Kwa mujibu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Dar es Salaam, kufungwa kwa barabara hizo kumesababishwa na…

Read More