Viongozi wa ulimwengu wanapaswa kujitolea kwa haki za binadamu, haki ya kimataifa – maswala ya ulimwengu

Watu waliohamishwa kutoka Jabalia, Gaza, wanaishi katika jengo lililoharibiwa katika jiji la Gaza. Hatua ya kumaliza kumaliza uhalifu wa Israeli dhidi ya Wapalestina. Mikopo: Habari za UN na saa ya haki za binadamu (New York) Ijumaa, Septemba 19, 2025 Huduma ya waandishi wa habari New YORK, Septemba 19 (IPS) – Viongozi wa Ulimwenguni wakikusanyika kwenye…

Read More

Kinachosubiriwa Samia, Dk Nchimbi wakiunguruma Ruvuma

Songea. Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) zitahamia mkoani Ruvuma ambako mgombea urais, Samia Suluhu Hassan na mgombea mwenza, Dk Emmanuel Nchimbi watafanya mikutano kwa siku tatu tatu. Samia na Dk Nchimbi wanakutana tena katika mkoa mmoja tangu walipozindua kampeni za chama hicho kitaifa, Agosti 28, 2025 kwenye Uwanja…

Read More

TISEZA na TCB kushirikiana kurahisisha huduma kwa wawekezaji

Mkurugenzi Mkuu wa  Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (Tanzania Investment and Special Economic Zones Authority – TISEZA), Gilead Teri na Afisa Mtendaji Mkuu wa TCB, Adam Mihayo wakibadilishana mikataba mara baada ya kusaini jijini Dar es Salaam  Septemba 18, 2025. Mkurugenzi Mkuu wa  Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi…

Read More

TBS YAZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 TANGU KUANZISHWA

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amezindua maadhimisho ya miaka 50 ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na kuliagiza shirika hilo kutumia maadhimisho hayo kama fursa ya kutangaza huduma zao. Uzinduzi huo umefanyika Septemba 18,2025 katika ofisi za TBS zilizopo Ubungo Jijini Dar es Salaam ambapo Dkt. Abdallah amesema shirika hilo…

Read More

MADEREVA WA MAGARI WAELIMISHWA KUHUSU USALAMA WA BARABARANI

Na Albert Kawogo MADEREVA wanaotumia barabara ya Bagamoyo kuelekea mikoa ya kaskazini ya Tanzania wametakiwa kuwa makini katika kufuata sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali zinazoweza kusababisha vifo na ulemavu wa kudumu Akizungumza katika zoezi maalum la ukaguzi wa magari na utoaji wa elimu kwa madereva wa magari yote yanayopitia njia ya Bagamoyo Mkuu…

Read More