UNFPA, AMREF NA CANADA WASHIRIKIANA KUTOA MSAADA WA AFYA WILAYA YA ILALA
::::::::: Mkuu wa Wilaya ya Ilala amepokea rasmi vifaa vya kazi, mavazi ya kujikinga kwa wahudumu wa afya, pamoja na magari mawili na baisikeli 56 kutoka kwa Shirika la UNFPA na AMREF kwa kushirikiana na serikali ya Canada kupitia Global Affairs. Vifaa hivi vimekabidhiwa kwa ajili ya kuunga mkono jitihada za Serikali za kupunguza vifo…