Wananchi watahamaki kupatwa kwa mwezi Dar

Dar es Salaam. Jana, Jumapili Septemba 7, 2025, Tanzania ilishuhudia tukio adimu la kupatwa kwa mwezi ambalo limeacha simulizi tofauti miongoni mwa wananchi. Wakati baadhi ya makundi yalionekana kujikusanya mitaani kushuhudia kwa mshangao anga likibadilika na mwezi kufunikwa kwa kivuli cha dunia, wengine walihisi hofu kubwa na kujifungia ndani kwa imani kuwa ni ishara ya…

Read More

Absa Bank Tanzania champions CEO collaboration and investment at The 200 CEOs Business Forum as Diamond Sponsor

  Dar es Salaam, 27 August 2025 — Absa Bank Tanzania reaffirmed its commitment to powering growth in Tanzania’s real economy as the Diamond Sponsor of The 200 CEOs Business Forum, an exclusive convening of the nation’s top corporate leaders. The high-level forum was graced by Deputy Permanent Secretary, Ministry of Industry and Trade, Honorable…

Read More

Mafwele, wengine 42 kutoa ushahidi kesi ya askari wanaodaiwa kughushi vibali vya silaha

Dar es Salaam. Mashahidi 43, akiwemo Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Faustine Mafwele, wanatarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya kughushi vibali vya kumiliki silaha inayowakabili watu tisa, wakiwemo maofisa sita wa Jeshi la Polisi. Wakili wa Serikali, Cathbert Mbiling’i, ameieleza Mahakama…

Read More

Mpina, INEC sasa mwendo wa kanuni, sheria

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimeingia vitani na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) baada ya mgombea wake wa urais, Luhaga Mpina kuenguliwa katika mchakato wa uchaguzi mkuu, hatua iliyokilazimu chama hicho kwenda mahakamani kupinga uamuzi huo kikidai ni batili na unadumaza misingi ya demokrasia. Kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi, pingamizi dhidi…

Read More

‘Endelezeni mema baada ya Ramadhan’

Pemba. Waumini wa dini ya Kiislamu wamehimizwa kuendeleza amali njema walizokuwa wakizifanya katika mwezi mtukufu wa Ramadhan ili kustahili malipo mema Akhera. Wito huo umetolewa na Sheikh Hamad Khamis mara baada ya kumalizika kwa swala ya Idd El-Fitr iliyoswaliwa katika Msikiti wa Ijumaa Sizini, Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba. Akizungumza na waumini hao,…

Read More

Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 – Upinzani Kuliko Msukosuko – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Marco Longari/AFP Maoni na Inés M. Pousadela (montevideo, urugwai) Jumatatu, Machi 09, 2026 Inter Press Service MONTEVIDEO, Uruguay, Machi 9 (IPS) – Fikiria jinsi Siku ya Kimataifa ya Wanawake ilivyokuwa miaka michache iliyopita, na jinsi inavyoonekana sasa: tarehe hiyo hiyo, wakati uleule wa kimataifa wa kutafakari, lakini mandhari ya kimataifa iliyobadilika sana. Haki za…

Read More

Malindi hali mbaya Ligi Kuu Zanzibar

TIMU ya Malindi FC inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar, imepoteza matumaini baada ya kutoka kuwania ubingwa wa ligi hiyo hadi kupambana isishuke daraja. Sababu mojawapo inayotajwa kuiangusha timu hiyo ni mabadiliko ya mara kwa mara ya uongozi uliosababishwa na wengine kujiuzulu huku baadhi ya wachezaji muhimu nao kuondoka katikati ya msimu. Hivi karibuni, Mwenyekiti wa timu…

Read More