Mil.120 za mapato ya ndani zajenga wodi 3 Mbinga

Mkurugenzi wa Idara ya Afya Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais-TAMISEMI Dkt. Rashid Mfaume amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Joseph Kashushura kwa kutenga fedha Shilingi Mil. 120 kutoka mapato ya ndani kwa ajili ya kutekeleza ujenzi wa wodi tatu ( wanaume, wanawake, watoto) zinazojengwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya…

Read More

Vi Agroforestry lapanda miti milioni 163 Afrika Mashariki

Musoma. Shirika lisilokuwa la kiserikali la Vi Agroforestry limepanda miti zaidi ya milioni 163 katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda katika kipindi cha miaka kumi iliyopita huku lengo kuu likiwa ni kukabiliana na athari zinazoendelea kutokea kutokana na mabadiliko ya tabianchi. Takwimu hizo zimetolewa na Ofisa Mazingira, Bioanuai na Mabadiliko ya Tabianchi kutoka shirika…

Read More

MAWAKILI WA SERIKALI WATAKIWA KUENDELEA KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA HIFADHI YA JAMII

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari amewataka Mawakili wa Serikali kuyatumia mafunzo yanayotolewa kuhusu Hifadhi ya Jamii, katika kuhakikisha kuwa Sheria na Kanuni za Hifadhi ya Jamii zinalinda na kusimamia haki na maslahi ya Wanachama wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.Mwanasheria Mkuu wa Serikali, ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kuhusu…

Read More

TotalEnergies Yapanua Mradi wa VIA Creative Kufikia Wanafunzi wa Sekondari

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Katika kuimarisha usalama wa wanafunzi barabarani, kampuni ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited kwa kushirikiana na TotalEnergies Foundation na NafasiArt Space, wamezindua rasmi mradi wa VIA Creative kwa mwaka 2025 ambao unatumia sanaa ya muziki, maigizo na njia bunifu kuelimisha na kuwahamasisha wanafunzi kuhusu usalama barabarani. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi…

Read More