Geay mzigoni Berlin akikutana na Sawe

NYOTA wa riadha wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay atakuwa mzigoni tena na mara hii akitarajiwa kutimka katika mbio za Berlin Marathon nchini Ujerumani, Septemba 21, mwaka huu. Katika mbio hizo mwanariadha huyo Mtanzania atakuwa sambamba na wanariadha kibao kutoka sehemu mbalimbali akiwamo Mkenya  Sabastian Sawe mwenye umri wa miaka 30 ambaye kwa sasa anashikilia…

Read More

Simbachawe ataja umuhimu wapinzani kukosoa, atoa angalizo

Rorya. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema hakuna sababu ya viongozi wa Serikali na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kukasirika pale vyama vya upinzani vinapowakosoa kwani kwa kufanya hivyo, vyama hivyo vinatimiza takwa la kikatiba. Simbachawene ameyasema hayo leo Jumatano, Oktoba 2, 2024 kwenye…

Read More

BARAZA LA WAFANYAKAZI PSPTB LAFUNGULIWA

  BODI ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imefanya kikao cha Baraza la wafanyakazi leo ili kujadili mafanikio, changamoto na njia za kuweza kutatua changamoto zilizojitokeza wakati wa uundaji wa bajeti mwaka unaokuja wa 2025/2026. Akizungumza kwenye kikao hicho Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Wataalamu Ununuzi na Ugavi Godfred Mbanyi amesema baraza ni chombo…

Read More

‘Unthinkable’ inaendelea katika Jiji la Gaza, UNICEF ONOR – Maswala ya Ulimwenguni

Tess Ingram, Meneja wa Mawasiliano wa UNICEFMashariki ya Kati na Ofisi ya Mkoa wa Kaskazini mwa Afrika, hivi karibuni ilitumia siku tisa huko, ikielezea kama “mji wa hofu, kukimbia na mazishi.” “Kimbilio la mwisho kwa familia kaskazini mwa Gaza ni Haraka kuwa mahali ambapo utoto hauwezi kuishi“Alisema, akizungumza kutoka kwa enclave hadi waandishi wa habari…

Read More

Mabegi manne ya dawa zisizofaa yakamatwa uwanja wa ndege

Mamlaka ya Dawa na Chakula Zanzibar ZFDA imefanikiwa kukamata mabegi manne yenye Dawa za Matumizi ya Binadamu ambazo zinadaiwa kua sio salama kwa matumizi ya Binadamu dawa ambazo zimeingia kupitia uwanja wa ndege wa Abeid Amaan karume Airport (AAKIA) siku ya Jana Kaimu Mkurugenzi wa ZFDA amesema dawa hizo zimeingia kupitia ndege ya Ethiopia Airline…

Read More