Simbu, Gisemo kubeba mioyo ya Watanzania Tokyo

MATUMAINI ya Tanzania kuongeza medali ya tatu katika historia ya mashindano ya dunia ya riadha yapo mikononi mwa wanariadha wawili Aphonce Simbu na Josephat Gisemo watakaoshiriki kuanzia Septemba 13, mwaka huu, jijini Tokyo, Japan. Awali, Tanzania ilitarajia kupeperusha bendera kwa wanariadha wanne, lakini mipango hiyo ikayumba baada ya bingwa wa marathoni wa Wanawake, Magdalena Shauri…

Read More

Jamhuri ya Afrika ya Kati yaingia katika awamu ya ‘maamuzi’ baada ya uchaguzi wa kihistoria – Masuala ya Ulimwenguni

Muhtasari wa Baraza la Usalama Jumatano, Mwakilishi Maalum Valentine Rugwabiza alisema uchaguzi wa tarehe 28 Disemba 2025 uliashiria “hatua muhimu katika uimarishaji wa mchakato wa amani na mamlaka ya Serikali.” Uchaguzi wa pamoja wa rais, wabunge, mikoa na manispaa – ikijumuisha kura za kwanza za manispaa tangu 1988 – ziliwakilisha “oparesheni kubwa zaidi za uchaguzi…

Read More

Yanga ilivyomchomoa kocha Uingereza | Mwanaspoti

KATIKA mpango wa kuibua na kuendeleza vipaji vya vijana, Yanga imeonyesha kuwa siriazi na jambo lake baada ya kumchomoa Kocha Mohamed Badru huko Uingereza ambako alikuwa akiinoa May & Baker F.C. Badru atakuwa kocha mkuu wa mradi wa Yanga Soccer School, uliozinduliwa Novemba 15, 2025, ukilenga kutafuta wachezaji wenye vipaji kati ya umri wa miaka…

Read More

DKT NCHIMBI AWAHUTUBIA WANA LONGIDO,ARUSHA.

MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John  Nchimbi, amewahutubia Wananchi wa Longido kwenye mkutano mdogo wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Polisi, leo Ijumaa Septemba 12,2025. Mara baada ya kuwasili eneo la Mkutano,Balozi Nchimbi alikaribishwa kwa kuvalishwa vazi la heshima la…

Read More

KASULU YAANDAA BONANZA LA MICHEZO KUHAMASISHA UCHAGUZI NA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

Mkuu wa Wilaya ya Kasulu,mkoani Kigoma, Mhe. Kanali Isaac Mwakisu, amesema wananchi wanapaswa kujitokeza kwa wingi kushiriki mapokezi ya Mwenge wa Uhuru pamoja na Uchaguzi Mkuu ujao, kwani matukio hayo ni ya kitaifa na yanabeba taswira ya mshikamano wa Watanzania. Baadhi ya viongozi na wananchi waliojitokeza kwenye bonanza hilo Mkuu wa Wilaya ya Kasulu,mkoani Kigoma,…

Read More

Kamati ya Miundombinu yapitisha Mpango na Bajeti ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ya 2026/2027

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imepitisha Randama ya Mpango na Bajeti ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa mwaka wa fedha 2026/2027 inayolenga kuongeza kasi ya utoaji wa Huduma za Mawasiliano na Teknolojia ya Habari zitakazochochea ukuaji wa Uchumi wa Kidijitali.    Akiwasilisha taarifa hiyo mbele ya Kamati, Waziri wa Mawasiliano…

Read More