Serikali kuongeza ulizi Kwa Mkapa, kamera 200 kufungwa

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amewaonya mashabiki wa mpira wa miguu wanaofanya vurugu uwanjani akisema watashughulikiwa, kwani Serikali ina ukarabati kwa kuweka kamera zaidi ya 200. Kauli hiyo ameitoa leo Desemba 18, 2024 katika mkutano wa Waziri Wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na wadau…

Read More

Rais Samia aeleza sababu kuifungua Dodoma

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan ametaja umuhimu wa kujengwa kwa miundombinu ya kisasa katika Jiji la Dodoma, akiwahimiza wananchi kuitumia miundombinu hiyo kuboresha na kukuza shughuli zao za kiuchumi. Ametoa kauli hiyo leo Juni 14, 2025, wakati wa mkutano wa hadhara jijini Dodoma, baada ya kufanya ukaguzi wa barabara ya Mzunguko wa Nje na Uwanja…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA SULUHU HASSAN AIONA TANZANIA YENYE MAENDELEO, NEEMA TELE

*Awaomba wananchi wachague wagombea wa CCM Uchaguzi Mkuu Oktoba 29 Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mvomero  MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amesema kwamba Tanzania ijayo itakuwa nchi yenye neema itakayotekeleza miradi ya maendeleo bila kutegemea fedha za mikopo mikubwa huku wananchi wakipata huduma bora za kijamii kama elimu,umeme, afya,maji na…

Read More

MIKOA MINNE KUNUFAIKA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Christina Mndeme akiongoza kikao kazi kinacholenga kuanzisha mradi wa matumizi ya nishati safi ya kupikia shuleni utakaotekelezwa katika mikoa ya Dar es Salaam, Kigoma, Tabora na Dodoma, kilichofanyika jijini Dodoma. Kulia ni Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Kemilembe Mutasa. Mkurugenzi wa…

Read More

Raha, karaha wenza kupishana sana umri

Mwanza. Simulizi ya Neema Daudi, mwanamke wa miaka 20 aliyeolewa na mzee wa miaka 50, imekuwa gumzo linalozua maswali mengi kuhusu uhalali, uhalisia na uhalali wa ndoa kati ya watu wanaopishana sana umri.  Ingawa ndoa ni muungano wa ridhaa, kuna nyakati ambapo ridhaa hiyo huzaa mateso makubwa kwa mmoja wa wenza, hasa pale tofauti ya…

Read More

Maonyesho ya Kilifair kuanza | Mwananchi

Arusha. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maonyesho ya Kimataifa ya Utalii ya Karibu Kili fair, yatakayofanyika jijini Arusha. Maonyesho hayo yatafanyika kuanzia Juni 6 hadi 8, 2025,katika viwanja vya Magereza (Kisongo) mkoani Arusha. Kauli hiyo imetolewa leo Juni 2,2025 na Mkuu wa Mkoa wa Arusha,…

Read More

Wauza pombe kali watano wafikisha mahakamani

Bukoba. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa Kagera imewafikisha mahakamani wafanyabiashara watano wauzaji na wazalishaji vinywaji vikali wilayani Karagwe. Watano hao wamefunguliwa kesi mbili zenye mashtaka tisa yanayohusisha kuendesha viwanda bandia bila Leseni ambavyo vinatumika kuzalisha bidhaa hizo na kuuza bila kuwa stika zilidhibitishwa na TRA. Washtakiwa hao wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba,…

Read More