Dar City, KIUT kazi ipo BDL

ULE uhondo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) unatarajiwa kurejea upya kesho Ijumaa na  Uwanja wa Donbosco Upanga kutakuwa na vita nzito kati ya Dar City dhidi ya KIUT. Mchezo huo unasuburiwa kwa hamu na mashabiki wengi kuona kama KIUT yenye historia ya kufunga vigogo wa ligi, baada ya kuzifunga JKT…

Read More

Pingamizi la Lissu latupwa | Mwananchi

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali pingamizi lililowasilishwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Lissu aliwasilisha pingamizi mahakamani hapo, Septemba 8, 2025 akihoji endapo  Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam ina mamlaka ya kusikiliza kesi ya uhaini. Uamuzi huo umetolewa leo, Septemba…

Read More

Tanzania yaongoza kuuza bidhaa zake Uganda

Dar es Salaam. Tanzania imeendelea kuwa kinara wa mauzo ya bidhaa zake nchini Uganda, ikifikisha thamani ya Dola za Marekani 2.26 bilioni (zaidi ya Sh5.58 trilioni) katika miezi 10 ya kwanza ya mwaka 2025. Kiasi hicho, kinazidi mauzo ya Kenya na hata jumla ya nchi nyingine zote za Afrika Mashariki. Kwa mujibu wa Benki Kuu…

Read More

Job, Aucho kuna jambo Yanga

MASHABIKI wa Yanga walikuwa na wasiwasi inakuwaje timu yao inakwenda Algeria kucheza na MC Alger katika mchezo wa Ligi Kuu Bara huku ikiwa na majeruhi wengi hasa wale wa kikosi cha kwanza. Wasiwasi huo umeibuka zaidi baada ya Novemba 30, 2024 kumshuhudia beki na nahodha wao msaidizi, Dickson Job akitolewa uwanjani dakika ya 82 akibebwa…

Read More

Grace Mapunda kuzikwa leo – Millard Ayo

Tayari mwili wa Mwigizaji Mkongwe Grace Mapunda ukiwa Nyumbani kwake Sinza Vatican kwaajili ya ibada fupi itakayofanyika Nyumbani hapo kisha Baadae kuelekea leaders mahali ambapo zitafanyika shughuli za mazishi ikiwemo kuaga Kisha kupelekwa makaburi ya Kinondoni kwaajili ya maziko    

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Jibu la Chalamanda ni rahisi sana

 MDAU mmoja hapa kijiweni amehoji kwa nini kipa wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda kaitwa katika kikosi cha timu ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kitakachocheza kwenye Kombe la Mapinduzi. Ameshangaa kuitwa kwa Chalamanda huku akiwa hayupo hata katika orodha ya makipa watano wanaoongoza kwa kucheza mechi nyingi bila kuruhusu mabao (clean sheet). Na akatoa mfano wa…

Read More

Tanzania yaendeleza mikakati kufikia usawa wa kijinsia

Dar es Salaam. Ili kufikia usawa wa kijinsia nchini kupitia Programu ya Jukwaa la Kizazi chenye Usawa (GEF), Tanzania imejizatiti kutekeleza uwiano sawa kati ya wanaume na wanawake. Kamati ya Kitaifa ya Ushauri (GEF) ilianzishwa na Rais Samia Suluhu Hassan Desemba 2021 kwa ajili kufuatilia na kushauri kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa jukwaa hilo. Akizungumza…

Read More

M/RAIS AKIHANI MSIBA KWA WANAKIJIJI KASUMO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiifariji familia na waombolezaji mbalimbali kufuatia kifo cha Bi. Doleta Minya kilichotokea tarehe 09 Julai 2024. Makamu wa Rais ametoa pole hizo wakati alipoitembelea familia ya marehemu akiwa Kijiji Kasumo Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma tarehe 11 Julai 2024.

Read More