NGUMI NUSU FAINAL KLABU BINGWA TAIFA NI PATA SHIKA, NGUO KUCHANIKA
▫️Nusu fainali ya kwanza kufanyika usiku wa leo kwa mapambano 14 ▫️Magereza warudi kwa kishindo msimu huu 18-09-2025, Tanga. MASHINDANO ya ngumi Klabu Bingwa ya Taifa yamefikia hatu ya nusu fainali ambapo usiku wa leo jumla ya mapambano 14 yatapiganwa katika uwanja wa Urithi, Jijini Tanga. Mapambano hayo yatawakutanisha jumla ya mabondia 27 ambapo mahasimu…